Uchaguzi 2020 Mama Salma Kikwete achukua fomu ya kuwania kuteuliwa kugombea jimbo la Mchinga kupitia CCM

Uchaguzi 2020 Mama Salma Kikwete achukua fomu ya kuwania kuteuliwa kugombea jimbo la Mchinga kupitia CCM

View attachment 1507914

Tutapambana na wewe jukwaani bila kukuonea aibu , kwahiyo ujitayarishe kwa madongo yasiyo ogopa kofia ya Mzee , tunapopambana na mwanaccm yeyote huwa hatubagui .

ulishakuwa First lady na ukaanzisha mfuko wa WAMA , hatujasahau kitu mama yangu , yako maswali kadhaa utajibu upende usipende , aliyekushauri uingie majukwaani kakuchuuza sana , sisi tunakusubiri kwa hamu

Usije kusema hatukukuambia.
Umeenda mbali sana mkuu.jina lake halirudi kwenye kura za maoni.mtapambana na mtu mwingine kabisa
 
Trust me anapigwa kwa kura za maoni mapema sana.

Huyu atakatwa kwa ruhusa ya mume wake. Najua ccm wajanja sana. Inawezekana kuna watia nia wengi wenye majina makubwa wanataka wawakate... inawezekana huyu mama kawekwa kama chambo membe mwaka 2015.. watamkata huyu mama na kuwakata hao wengine kibabe.. ili wakilalamika waseme hata mke wa rais tumemkata hajalalamika
 
Habari wadau

Nimeona former first lady kachukua fomu kusini

Akili zangu za back bench nahisi huyu mama ni fake no 9 atakuwa kama chambo tu ..anaenda kukatwa kibabe kwenye mchakato wa ccm kumpata mgombea wa chama

Mkato atakaoukatwa huyu mama jimboni kwake utatumika kuwakata watia nia wengi wa ccm wenye majina makubwa majimbo mengine

Hao Watakaokatwa watakosa nguvu ya kulalamika maana hata first lady amekatwa pia wao nani waachwe

Watia nia mjiandae na kilio kizito
 
Mama Salma kugombea siyo bahati mbaya ni planned mission ila namsikitikia hasa wakati wa kampeni atanangwa hadi kujuta sidhani kama amewahi kutana na mbilinge za majukwaani
 
Ngoja tusubiri utabiri wako, muda ni rafiki mzuri wa utabiri wako
 
"All animals are equal, but some animals are more equal than the others"
George Orwell, The Animal Farm.
 
Mama salama alikua active kwenye siasa kabla hata kikwete kuwa Rais,
Hakuna mwenye ubavu wa kumshinda Salma huko mchinga
 
Anaweza kukatwa na hamna kitu mtafanya,kwani si alishawahi kumwambia Mumewe anawashwa washwa?

Kwa sasa Mwenye Chama ni mmoja tu,wengine wote wameshatwa mkia na cha kufanya hakuna.

Aisee kutoka first lady hadi ubunge...
Laigwanani aliwahi kutaja vipaumbele vinavyotakiwa...
Shule
Shule
Shule
 
Yani kutoka kwenye ufirst lady mpaka kugombania ubunge.inamana Hana biashara zingine
 
Huyu hakutakiwa kugombea ss,too much!
Mungu yupo lkn!

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Back
Top Bottom