Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,413
- 4,020
Anagombea vyombo vya dola
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waongeze sheria ya mtu ukishakuwa mbunge awamu moja inatosha hakuna kugombea tena....Sheria ya kugombea ubunge ibadilishwe ikiwa ni pamoja na umri wa kugombea maana naona wazee safari hii wamekomaa
Ndo apo sasa afu kutwa kutusema vijana tujiajiri wakati wao kutwa kung'anh'ania madaraka....Huyu nae, haridhiki yaani hadi aibu..
AliteuliwaKapitie tena makabrasha mkuu huyu mama hajawahi kuwa mbunge kwa mujibu wa maelezo yako
Na mimi sitapost chochote mwaka mzimaNitakukumbusha.. uzi huu nitaufufua.. kama akikatwa nitaomba mods anipige ban mwaka mzima
Hahahaha eti VASCO DA GAMAHuyu mama hataki kukaa nyumbani kumlea Vasco da Gama
Kijana amekurupukaUmemtukana bure!
Kama ungekuwa makini ungeona na kusikia tone aliyotumia Drifter ni ya upande uliopo wewe kwenye siasa.
Jifunze kusoma between lines.
Sina chuki na mama lakini ukweli lazima usemwe, akichaguliwa yeye ni upotevu wa nafasi bure tu.
Mama angeweza kufanya mambo mengine na mataasisi yao akaachia wengine hiyo nafasi ya bungeni.
Kwanza yeye na mumewe wote wanapata huduma za serikali vizuri tu hana njaa ya pesa.
Kama anajiona bado kijana hapendi kukaa hivi hivi angejikita hata kwenye miradi ya kilimo na ufugaji ya familia. Watu wenye mitaji na mitandao (Business network connections) kama hawa ndio hufaa kuonesha mfano wa kufanya biashara kubwa za kusafirisha nje bidhaa au mazao ya kilimo na ufugaji kwenda nje ya nchi. Huko atazalisha ajira nyingi sana.
Siasa awaachie wanawe akina Ridhiwan a.k.a Riz-moko (Riz1).
Trust me anapigwa kwa kura za maoni mapema sana.Mtu atayemkata huyu mama hayupo..
Hapo ndipo utakapojua ccm ina wenyewe na wenyewe ni kina nani
Mama Salma ameshapita asubuhii kabisa amechukua jimbo
Na kwa taarifa mwaka 2015 alipigwa kwenye kura za maoni lindi mjiniAnaweza kukatwa na hamna kitu mtafanya,kwani si alishawahi kumwambia Mumewe anawashwa washwa?
Kwa sasa Mwenye Chama ni mmoja tu,wengine wote wameshatwa mkia na cha kufanya hakuna.
Anapigwa mapema sana mzee nipo lindi huku nimekuja kikazi huyu mama akipita kura za maoni basi yale yote anayofanya rais magufuli ni ya uongo.magu yupo siriaz sana mwaka huu.takukuru wanafanya kazi yao vzr kabisa.Mama kama hakuweza kuitumia ipasavyo nafasi ya u-first lady kutoa mchango wake kwa mama Tanzania ktk kipindi hicho, kwa sasa uharibifu wa nafasi ya ubunge na kuongeza tatizo la ukosefu wa ajira. Nashauri wanamchinga wampige chini kwenye sanduku la kura!
Ushindi kabla ya saa 2 asubuhiMtu atayemkata huyu mama hayupo..
Hapo ndipo utakapojua ccm ina wenyewe na wenyewe ni kina nani
Mama Salma ameshapita asubuhii kabisa amechukua jimbo