Mama Samia ameanza vibaya kwa kupuuza kuvaa Barakoa

Mama Samia ameanza vibaya kwa kupuuza kuvaa Barakoa

Shida yenu mnataka kupangia watu jinsi ya kuongoza.
HICHI NDICHO ALICHOKIKATAA marehemu mkamuita mkaidi na kiburi.
Marehemu katuachia ujasiri wa ajabu sana.alijua corona inaua lakini alitupa moyo na kutuacha tuishi tutakavyo
TUNAUENZI UJASIRI WAKE.
HATUMUOGOPI ADUI YETU.
MAANA MUNGU YUPO NDANI YETU
MATAGA kazini
 
Hivi kusema ukweli ili kutahadharisha watu wajikinge na huu ugonjwa ni kuwa Israel? Usikimbie ukweli thamini uhai wako na wa binadamu wenzio. Usiogope kusema ukweli siku yoyote ile hata kama ukweli husika ni MCHUNGU.
Wacha weee!! Izraeli katika ubora wako.
 
Ooh uzi mzima unalia lia tu. Okay kesho atavaa mkuu. Kama mzee kavuta kwa corona mbona mkewe yupo fit au haiambukizi?(nukuu hapo juu kuwa corona imemgharimu uhai na urais)
Corona ikikushindwa unakuwa Carrier wa kuangamiza wengine wenye afya hafifu.Ndio maana ni muhimu kujikinga usisambaze au kusambaziwa maambukizi!
 
Uzuri wa kauli Kama hii haijaanzia kwako zimeanza kitambo kwa mke wa Bill gate hivyo tumewazoea
Endelea na ubishi wenu tu maana kila mchuma majanga daima ula na jamaa zake
 
Mi siyo mwanasayansi lakini andiko lako wewe mbongo ambaye haujawai fanya research hata moja lina upotoshaji kuhusu barakoa.
Wanasayansi haohao walioeleza jinsi ya maambukizi covid, wameitaja barakoa kama ni kinga ya covid kwenye mkusanyiko ambapo mtu yeyote(asiyevaa barakoa) akikohoa ama kupiga chafya na hayo majimaji unayoyasema yakampata mwingine(asiyevaa barakoa) hapo infection inaweza tokea kirahisi.

Lakini baadae wakaja kusema covid kama alivyo ana uwezo wa kukaa hewani for some seconds,, saa muda huo kwa mtu ambaye hajavaa barakoa anaweza contact.

Lakini juhudi zote hizo za kupinga barakoa ni majaribio yako ya kutaka kuenzi juhudi za mzee.
Ametangulia mbele za haki.[emoji120]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Corona inaambukizwa kwa njia gani? hewa au mtu kujishika puani na mdomoni? je Corona inaambukizwa kwa maji kugusa ngozi au kuingia kupitia mdomo au puani ? Japani ni nchi ambayo moja ya utamaduni wao ni kuvaa barakoa hata kabla ya Corona je hakuna maambukizi ?

Hoja ya why tunavaa barakoa ni nini? huwezi kusema ni kinga dhidi ya Corona coz barakoa hazijatengenezwa special kwa ajili ya corona zimekuwepo miaka nenda rudi kwenye vyumba hasa mahospitalini sasa iweje leo ndo ziwe kinga ya Corona ? unavalishwa barakoa kwa ajili ya kuzia contact ya mikono ambayo imekuwa contaminated na corona virus kuipeleka puani na mdomoni kama Corona ingekuwa inaambukiza kwa hewa na jinsi unavyoua unadhani balaa lake lingekuwaje?

Pia unatakiwa kujua hili upumue vizuri mapafu yanatakiwa kufanya kazi yake vzr bila ya kuwa distab na kitu kingine sasa ukiyapa kazi nyingine ya kuchambua oxygen na carbon dioxide kwenye mchanganyiko wa hewa ndani ya barakoa yako nadhani utakuwa huyatendei haki mapafu yako? fikiria wale wenye majonjwa ya Moyo ,Ini,Figo,Kisukari hawa unawaweka kwenye hatari kiasi gani? hand sanitaizer ni bora
 
Unaaminisha:
Israel:Origin. Word/name. Hebrew. Meaning. 'God Contended', 'Wrestles with God', 'Triumphant with God'
Au una maana nyingine wewe mvaa kipedo mwenye Sigda? 😡
 
Tarehe 19.05.2020 wakati Tanzania ikikabiliwa na wimbi la kwanza la janga la korona, nilichapisha uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu mustakabali wa urais wa Magufuli kwa jinsi "alivyozembea" kushuguhulikia janga hilo. Na katika kuhitimisha uchambuzi huo wa kurasa 23 nilibashiri kuwa janga hilo lingegharimu urais na uhai wake. You know the rest of the story. Kanuni za JF zinakataza kuweka links, otherwise I would have shared (it's a free ebook anyway).

But I'm not here to take credits bali kutanabaisha kuwa I am disappointed kuona Mama Samia akiendeleza "ubishi" wa mtangulizi wake katika handling ya janga hilo. I know mie si mtu sahihi kumshauri Rais wetu lakini yeye na takriban kila Mtanzania anafahamu vizuri the price late Magufuli paid kwa negligence kwenye kushughulikia janga hilo. As much as nisingependa kuwa "prophet of doom," Mama Samia anapaswa kuchukua hatua sasa, vingenevyo...

Pongezi nyingi kwa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa "kuonyesha uongozi licha ya kuwa mstaafu."
View attachment 1731079
Na pongezi pia kwa mama Janeth Magufuli ambaye leo amewasili Dodoma akiwa na barakoa.
View attachment 1731080
Mama Samia anapaswa kuelewa kuwa licha ya dunia kumwangalia kwa makini endapo atachukua hatua stahili kuinusu Tanzania dhidi ya janga hilo, lakini pia anaangaliwa na mamilioni ya Watanzania kuwapa leadership katika kuikabili Korona.



Kuna watakaosema ni mapema mno "kulaumu," lakini when it comes to COVID, timing is everything.

I'm not expecting much from her, kwa sababu tatizo zaidi ni CCM na sio mtu gani anaongoza nchi, lakini hili la barakoa lipo ndani ya uwezo wake.

I stand to be corrected.

Wewe vaa barakoa.
 
Hivi kusema ukweli ili kutahadharisha watu wajikinge na huu ugonjwa ni kuwa Israel? Usikimbie ukweli thamini uhai wako na wa binadamu wenzio. Usiogope kusema ukweli siku yoyote ile hata kama ukweli husika ni MCHUNGU.
Umetoa Tahadhari au umetoa Taarifa ya Vifo vya Mwezi ujao na kuclaim tutasaga Meno?
 
otherwise I would have shared (it's a free ebook anyway).
Kwa jina hilo hilo?

Kuhusu kuanza vibaya kwa Suluhu, nadhani ni swala la muda tu.

Bado hajatambua vizuri kwamba yeye ni rais.

Atakapozinduka toka ndotoni sioni atakavyoghaili jambo muhimu kama huu ugonjwa.

Kwa bahati mbaya sana, wakati bado yumo usingizini, maambukizi yataendelea kuenea, na watu wataendelea kufa.

Nampa wiki mbili toka sasa, kama atakuwa bado anaota, nitajua kumbe na yeye ni mpuuzi tu, hana busara yoyote.
 
Tarehe 19.05.2020 wakati Tanzania ikikabiliwa na wimbi la kwanza la janga la korona, nilichapisha uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu mustakabali wa urais wa Magufuli kwa jinsi "alivyozembea" kushuguhulikia janga hilo. Na katika kuhitimisha uchambuzi huo wa kurasa 23 nilibashiri kuwa janga hilo lingegharimu urais na uhai wake. You know the rest of the story. Kanuni za JF zinakataza kuweka links, otherwise I would have shared (it's a free ebook anyway).

But I'm not here to take credits bali kutanabaisha kuwa I am disappointed kuona Mama Samia akiendeleza "ubishi" wa mtangulizi wake katika handling ya janga hilo. I know mie si mtu sahihi kumshauri Rais wetu lakini yeye na takriban kila Mtanzania anafahamu vizuri the price late Magufuli paid kwa negligence kwenye kushughulikia janga hilo. As much as nisingependa kuwa "prophet of doom," Mama Samia anapaswa kuchukua hatua sasa, vingenevyo...

Pongezi nyingi kwa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa "kuonyesha uongozi licha ya kuwa mstaafu."
View attachment 1731079
Na pongezi pia kwa mama Janeth Magufuli ambaye leo amewasili Dodoma akiwa na barakoa.
View attachment 1731080
Mama Samia anapaswa kuelewa kuwa licha ya dunia kumwangalia kwa makini endapo atachukua hatua stahili kuinusu Tanzania dhidi ya janga hilo, lakini pia anaangaliwa na mamilioni ya Watanzania kuwapa leadership katika kuikabili Korona.



Kuna watakaosema ni mapema mno "kulaumu," lakini when it comes to COVID, timing is everything.

I'm not expecting much from her, kwa sababu tatizo zaidi ni CCM na sio mtu gani anaongoza nchi, lakini hili la barakoa lipo ndani ya uwezo wake.

I stand to be corrected.

Mmeshaanza na madomo yenu kama ya chooni
 
Mheshimiwa Samia ameshajua kilichomuua hayati Magufuli ndio maana hana wasi wasi na hicho unachokiopa wewe.
Kwa upande wako wewe ndio umeanza na malawama yasiyokuwa na msingi.
 
Evarist Chahali Kama hofu yako ni maambuki ya COVID 19 fanya kitu chochote kilicho ndani ya uwezo wako kutoa suluhu kwa hao watanzania unaowaongelea hapa akiewemo rais wetu. Kumbuka hakuna rais wa nchi bila wananchi

Na nikukumbushe makusanyiko ya watu bila barakoa wala sanitzer yapo nchi nzima. Hata ukimuuliza Tundu atakuambia alikua anaingia hadi kariakoo bila barakoa....

Labda sababu wewe na ukoo wako mnaishi ughaibuni ndio maana hujui..... ila kama una ndugu huku waulize vile wanaishi watakusaidi labda ili uweze kulisaidia taifa lako

Kama nia yako ni COVID 19 acha kulalamika fanya kitu chochote kilicho ndani ya uwezo wako kutoa suluhu kwa hao watanzania unaowaongelea hapa


Na kwa msaada zaidi nikukumbushe makusanyiko ya watu bila barakoa wala sanitzer yapo nchi nzima.

Labda sababu wewe na ukoo wako mnaishi ughaibuni ndio maana hujui..... ila kama una ndugu huku waulize vile wanaishi watakusaidi labda ili uweze kulisaidia taifa lako


Hii ni Kawe leo




Hii ni Mwenge leo




Kariakoo 5 months ago







Hii ndio hali halisi


Dada, social distancing ikiweza kuwa applicable hakuna haja ya barakoa.

Kwenye mikusanyiko ya watu ukiacha barakoa hasa ukiwa njemba (mwanaume), mzee na magonjwa mengine yanakuhusu basi tambua umechoka kuishi duniani.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Mama Samia amechiwa deni kubwa sana na mtangulizi wake, deni la kuifanya mioyo ya watu walikuwa wanamwamini Maguli imgeukie yeye, kuna vitu ni lazima afanye, sio kukengeuka misingi ya JPM ghafla tu kama mnavyotaka.
 
Dada, social distancing ikiweza kuwa applicable hakuna haja ya barakoa...
Ile ngoma unapenya mpaka kwenye macho,hata kwa kushika tu sehemu zenye virusi, so kwenye mikisanyiko barakoa bado si chochote.
 
Back
Top Bottom