mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
MATAGA kazini
Wacha weee!! Izraeli katika ubora wako.
Corona ikikushindwa unakuwa Carrier wa kuangamiza wengine wenye afya hafifu.Ndio maana ni muhimu kujikinga usisambaze au kusambaziwa maambukizi!Ooh uzi mzima unalia lia tu. Okay kesho atavaa mkuu. Kama mzee kavuta kwa corona mbona mkewe yupo fit au haiambukizi?(nukuu hapo juu kuwa corona imemgharimu uhai na urais)
Si umejionea mwenyewe lakini?Wewe kichomiz wewe👣👣👣
Endelea na ubishi wenu tu maana kila mchuma majanga daima ula na jamaa zakeUzuri wa kauli Kama hii haijaanzia kwako zimeanza kitambo kwa mke wa Bill gate hivyo tumewazoea
MeonaSi umejionea mwenyewe lakini?
Corona inaambukizwa kwa njia gani? hewa au mtu kujishika puani na mdomoni? je Corona inaambukizwa kwa maji kugusa ngozi au kuingia kupitia mdomo au puani ? Japani ni nchi ambayo moja ya utamaduni wao ni kuvaa barakoa hata kabla ya Corona je hakuna maambukizi ?Mi siyo mwanasayansi lakini andiko lako wewe mbongo ambaye haujawai fanya research hata moja lina upotoshaji kuhusu barakoa.
Wanasayansi haohao walioeleza jinsi ya maambukizi covid, wameitaja barakoa kama ni kinga ya covid kwenye mkusanyiko ambapo mtu yeyote(asiyevaa barakoa) akikohoa ama kupiga chafya na hayo majimaji unayoyasema yakampata mwingine(asiyevaa barakoa) hapo infection inaweza tokea kirahisi.
Lakini baadae wakaja kusema covid kama alivyo ana uwezo wa kukaa hewani for some seconds,, saa muda huo kwa mtu ambaye hajavaa barakoa anaweza contact.
Lakini juhudi zote hizo za kupinga barakoa ni majaribio yako ya kutaka kuenzi juhudi za mzee.
Ametangulia mbele za haki.[emoji120]
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Yaani hawa jamaa kila kitu wanaombea mabaya.Aisee kama watu wenyewe ndio wa aina hii mara mia tubaki na Ccm tuAah...mbona Lissu alipokuwa huku kwenye kampeni hakuwa akivaa...! Msianze utabiri uchwara
Unaaminisha:Izraeli
Wewe vaa barakoa.Tarehe 19.05.2020 wakati Tanzania ikikabiliwa na wimbi la kwanza la janga la korona, nilichapisha uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu mustakabali wa urais wa Magufuli kwa jinsi "alivyozembea" kushuguhulikia janga hilo. Na katika kuhitimisha uchambuzi huo wa kurasa 23 nilibashiri kuwa janga hilo lingegharimu urais na uhai wake. You know the rest of the story. Kanuni za JF zinakataza kuweka links, otherwise I would have shared (it's a free ebook anyway).
But I'm not here to take credits bali kutanabaisha kuwa I am disappointed kuona Mama Samia akiendeleza "ubishi" wa mtangulizi wake katika handling ya janga hilo. I know mie si mtu sahihi kumshauri Rais wetu lakini yeye na takriban kila Mtanzania anafahamu vizuri the price late Magufuli paid kwa negligence kwenye kushughulikia janga hilo. As much as nisingependa kuwa "prophet of doom," Mama Samia anapaswa kuchukua hatua sasa, vingenevyo...
Pongezi nyingi kwa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa "kuonyesha uongozi licha ya kuwa mstaafu."
View attachment 1731079
Na pongezi pia kwa mama Janeth Magufuli ambaye leo amewasili Dodoma akiwa na barakoa.
View attachment 1731080
Mama Samia anapaswa kuelewa kuwa licha ya dunia kumwangalia kwa makini endapo atachukua hatua stahili kuinusu Tanzania dhidi ya janga hilo, lakini pia anaangaliwa na mamilioni ya Watanzania kuwapa leadership katika kuikabili Korona.
Kuna watakaosema ni mapema mno "kulaumu," lakini when it comes to COVID, timing is everything.
I'm not expecting much from her, kwa sababu tatizo zaidi ni CCM na sio mtu gani anaongoza nchi, lakini hili la barakoa lipo ndani ya uwezo wake.
I stand to be corrected.
Umetoa Tahadhari au umetoa Taarifa ya Vifo vya Mwezi ujao na kuclaim tutasaga Meno?Hivi kusema ukweli ili kutahadharisha watu wajikinge na huu ugonjwa ni kuwa Israel? Usikimbie ukweli thamini uhai wako na wa binadamu wenzio. Usiogope kusema ukweli siku yoyote ile hata kama ukweli husika ni MCHUNGU.
Kwa jina hilo hilo?otherwise I would have shared (it's a free ebook anyway).
Mmeshaanza na madomo yenu kama ya chooniTarehe 19.05.2020 wakati Tanzania ikikabiliwa na wimbi la kwanza la janga la korona, nilichapisha uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu mustakabali wa urais wa Magufuli kwa jinsi "alivyozembea" kushuguhulikia janga hilo. Na katika kuhitimisha uchambuzi huo wa kurasa 23 nilibashiri kuwa janga hilo lingegharimu urais na uhai wake. You know the rest of the story. Kanuni za JF zinakataza kuweka links, otherwise I would have shared (it's a free ebook anyway).
But I'm not here to take credits bali kutanabaisha kuwa I am disappointed kuona Mama Samia akiendeleza "ubishi" wa mtangulizi wake katika handling ya janga hilo. I know mie si mtu sahihi kumshauri Rais wetu lakini yeye na takriban kila Mtanzania anafahamu vizuri the price late Magufuli paid kwa negligence kwenye kushughulikia janga hilo. As much as nisingependa kuwa "prophet of doom," Mama Samia anapaswa kuchukua hatua sasa, vingenevyo...
Pongezi nyingi kwa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa "kuonyesha uongozi licha ya kuwa mstaafu."
View attachment 1731079
Na pongezi pia kwa mama Janeth Magufuli ambaye leo amewasili Dodoma akiwa na barakoa.
View attachment 1731080
Mama Samia anapaswa kuelewa kuwa licha ya dunia kumwangalia kwa makini endapo atachukua hatua stahili kuinusu Tanzania dhidi ya janga hilo, lakini pia anaangaliwa na mamilioni ya Watanzania kuwapa leadership katika kuikabili Korona.
Kuna watakaosema ni mapema mno "kulaumu," lakini when it comes to COVID, timing is everything.
I'm not expecting much from her, kwa sababu tatizo zaidi ni CCM na sio mtu gani anaongoza nchi, lakini hili la barakoa lipo ndani ya uwezo wake.
I stand to be corrected.
Evarist Chahali Kama hofu yako ni maambuki ya COVID 19 fanya kitu chochote kilicho ndani ya uwezo wako kutoa suluhu kwa hao watanzania unaowaongelea hapa akiewemo rais wetu. Kumbuka hakuna rais wa nchi bila wananchi
Na nikukumbushe makusanyiko ya watu bila barakoa wala sanitzer yapo nchi nzima. Hata ukimuuliza Tundu atakuambia alikua anaingia hadi kariakoo bila barakoa....
Labda sababu wewe na ukoo wako mnaishi ughaibuni ndio maana hujui..... ila kama una ndugu huku waulize vile wanaishi watakusaidi labda ili uweze kulisaidia taifa lako
Kama nia yako ni COVID 19 acha kulalamika fanya kitu chochote kilicho ndani ya uwezo wako kutoa suluhu kwa hao watanzania unaowaongelea hapa
Na kwa msaada zaidi nikukumbushe makusanyiko ya watu bila barakoa wala sanitzer yapo nchi nzima.
Labda sababu wewe na ukoo wako mnaishi ughaibuni ndio maana hujui..... ila kama una ndugu huku waulize vile wanaishi watakusaidi labda ili uweze kulisaidia taifa lako
Hii ni Kawe leo
Hii ni Mwenge leo
Kariakoo 5 months ago
Hii ndio hali halisi
Mbona matusi tena mkuu? Toa hoja kistaarabu tujifunzehuna akili wewe jamaa,kwa hiyo hamvai barakoa kwa sababu ya Lissu? ndio maana mnakufa kisenge mnakenua tu kwenye majeneza. mnazidi akili na ng'ombe
Ile ngoma unapenya mpaka kwenye macho,hata kwa kushika tu sehemu zenye virusi, so kwenye mikisanyiko barakoa bado si chochote.Dada, social distancing ikiweza kuwa applicable hakuna haja ya barakoa...