Mama Samia ameingia kwenye mtego wa wafanyabiashara kubembelezwa kulipa kodi, tumekwisha!

Mama Samia ameingia kwenye mtego wa wafanyabiashara kubembelezwa kulipa kodi, tumekwisha!

Mimi nataka Kila mtanzania alipe lkn Hawa wanao lalamika kwenye mitandao naomba nao watuonyeshe wanavyo lipa sio kutaka wengine ndoo walipe wakati wote tunajenga tz,na ningeshauri nida tuwe tunalipia angalau 500 kwa mwezi,hii ni hela nyingi sana,msipende wengine wakamliwe,wote ni watz,tunajenga tz,iwe fahari kwa Kila mtz kuonyesha unavyo lipa,Kama wewe hulipi kaa kimyaa,shida yetu kwenye mdomo tuko vzr lkn kwenye action ni ziro distance,nawatakaia karume day
 
Kaangalie kampuni za Marekani zilizohamia China kwa kuongeza Corporate Taxes.

Sera za Republican mara zote zimekuwa kupunguza kodi ili kuvutia Enterprises zilizotimkia China kurudi Marekani. Ilifika kipindi mpaka Trump akawa ana advertirse kuwa anapenda kuona bidhaa nyingi zikiandikwa "Made in America".

Huna exposure hujui vitu halafu unakuja kutapika ukilaza wako hapa!!!
Nilijua tu watu wajinga hua hawachambui taarifa, wakimeza wanameza hata uharo.

Nimekwambia kodi sio sababu pekee inayowakimbiza wafanya biashara, kuna sababu nyingi zaidi ya kodi. Kasome zaidi sababu ya baadhi ya makampuni kuhamishia shughuli zao China, kasome uongeze ufahamu ndio uje utoe uharo wako kichwani.

Soma credible source of information. Sio unasoma uawazi unakuja kuharisha hapa.
 
Kaangalie kampuni za Marekani zilizohamia China kwa kuongeza Corporate Taxes.

Sera za Republican mara zote zimekuwa kupunguza kodi ili kuvutia Enterprises zilizotimkia China kurudi Marekani. Ilifika kipindi mpaka Trump akawa ana advertirse kuwa anapenda kuona bidhaa nyingi zikiandikwa "Made in America".

Huna exposure hujui vitu halafu unakuja kutapika ukilaza wako hapa!!!
Nimemshangaa huyu alipoandika eti mawazo yale ya Rais Samia ni Matope, hizo hasira zimenistua sana. Jf inataka watu kama wewe big up
 
Wewe umeelewa kweli mama alichosema ..

Huko shule umesoea vitu gani ,mbona umekaza ubongo namna hio ....

Mama mbona kaeleweka kabisa ...


Kasema kodi zitolewe lakin kwa kufuata taratibu na haki ,na sio nguvu
Kama enzi za mzee ruksa tu. Mama atapigwa chenga kulipwa kodi hadi aone nchi kaibeba begani. Cha moto kitafuata.
 
Ushauri wangu tafuta juice safi ya ndimu unywe utulize hasira.

Samia Suluhu Hassan ndo Rais wa JMT utake usitake na so far kwenye yote amefanya vizuri Kwa asilimia 99.9.
Na watambue Mama tunampa miaka 30 ya kuongoza Jamuhuri ya Tanzania
 
Maombi yangu siku zote ilikua mama asiingie mkenge wa wafanya biashara maana tunajua kitakachotokea.

Bahati mbaya mama ameuvaa mkenge wa wafanya biashara. Tusitegemee chochote cha maana kufanyika kwa miaka 4 ijayo. Mama mwenyewe amekiri kua kwa kauli yake makusanyo yatashuka, unajiuliza kwa nini yashuke?

Mama ana matumaini kua makusanyo yakishuka baada ya muda yatapanda, yatapandaje? Nini kitayapandisha?

Ukiona kiongozi hayuko firm and strong kwenye kodi, basi ujue hiyo nchi iko doomed to fail. Nashukuru hayati alikua wazi kwenye hilo, alikua wazi na firm kwenye hilo

Kodi ni jambo ambalo halihitaji kubembelezana, hakuna mfanyabiashara anaetaka kulipa kodi, awe tajiri mkubwa awe mdogo hakuna. Kipindi kile Magufuli anaingia kina Azam walikutwa wanakwepa kodi ya kutosha,itakuaje kwa wafanya biashara wadogo na wa kati? Hilo liko wazi kodi ni jambo ambalo hakuna mfanya biashara anataka kulisikia.

Hakuna mfanyabiashara atakaelalamika ikiwa mfumo wa kukusanya kodi ni dhaifu, hayupo. Maana mifumo dhaifu ya kukusanya kodi ni faida kwa wafanya biashara.

Siku zote wafanya biashara hawako tayari kulipa kodi kwani itawapunguzia mapato yao.

Hizo nchi za ulaya hawabembelezani kwenye kodi na kila mwananchi anajaza tax returns awe na kazi awe hana kazi. Nchi zote zilizoendelea hawana cha msalia mtume kwenye kodi.

Sisi tunabembelezana kuhusu kulipa kodi halafu tunaenda kuomba msaada na mikopo kwa watu ambao hawabembelezani kwenye kodi, hizi ni akili ama matope?

Tanzania nchi yenye watu 60m inaenda kuomba msaada Finland nchi yenye watu 5m wakazi wa Dar tu wanazidi wananchi wa Finland, ama Norway 5m ama Sweden 10m, hii ni akili kweli? Na sababu no moja tu, Finland kila mtu analipa kodi na hakuna kubembelezana na ukikwepa kulipa kodi unafilisiwa kabisa.

Mama ameanza kupenda cheap popularity, ameanza kucheka na nyani atavuna tu mabua.
Siku sikia neno kubembelezana nlisikia ustaraabu
 
Usionyeshe hadharani kile usichojua maana kama uko serious , hapa kazi tu ni pamoja na ninyi wapiga debe kuanxisha biashara ili zipigwe kodi unayoililia.

Lakini nye walalia maneno msio na kitu kichwani heri mkalime tu kuliko kujazana mijini.
Hii mijamaa haijui biashara zilikuwa zina kufa na mwisho serikali isingepata kodi kabisa!
 
Hapa kwenye issue za Kodi mama angeenda slow kidogo apokee ushauri afanye analysis ya kutosha ndo atoe matamko na maelekezo . I can see umakini mkubwa unahitajika kwenye hili maana tunaweza kuja kulaumiana badae.
 
Maombi yangu siku zote ilikua mama asiingie mkenge wa wafanya biashara maana tunajua kitakachotokea.

Bahati mbaya mama ameuvaa mkenge wa wafanya biashara. Tusitegemee chochote cha maana kufanyika kwa miaka 4 ijayo. Mama mwenyewe amekiri kua kwa kauli yake makusanyo yatashuka, unajiuliza kwa nini yashuke?

Mama ana matumaini kua makusanyo yakishuka baada ya muda yatapanda, yatapandaje? Nini kitayapandisha?

Ukiona kiongozi hayuko firm and strong kwenye kodi, basi ujue hiyo nchi iko doomed to fail. Nashukuru hayati alikua wazi kwenye hilo, alikua wazi na firm kwenye hilo

Kodi ni jambo ambalo halihitaji kubembelezana, hakuna mfanyabiashara anaetaka kulipa kodi, awe tajiri mkubwa awe mdogo hakuna. Kipindi kile Magufuli anaingia kina Azam walikutwa wanakwepa kodi ya kutosha,itakuaje kwa wafanya biashara wadogo na wa kati? Hilo liko wazi kodi ni jambo ambalo hakuna mfanya biashara anataka kulisikia.

Hakuna mfanyabiashara atakaelalamika ikiwa mfumo wa kukusanya kodi ni dhaifu, hayupo. Maana mifumo dhaifu ya kukusanya kodi ni faida kwa wafanya biashara.

Siku zote wafanya biashara hawako tayari kulipa kodi kwani itawapunguzia mapato yao.

Hizo nchi za ulaya hawabembelezani kwenye kodi na kila mwananchi anajaza tax returns awe na kazi awe hana kazi. Nchi zote zilizoendelea hawana cha msalia mtume kwenye kodi.

Sisi tunabembelezana kuhusu kulipa kodi halafu tunaenda kuomba msaada na mikopo kwa watu ambao hawabembelezani kwenye kodi, hizi ni akili ama matope?

Tanzania nchi yenye watu 60m inaenda kuomba msaada Finland nchi yenye watu 5m wakazi wa Dar tu wanazidi wananchi wa Finland, ama Norway 5m ama Sweden 10m, hii ni akili kweli? Na sababu no moja tu, Finland kila mtu analipa kodi na hakuna kubembelezana na ukikwepa kulipa kodi unafilisiwa kabisa.

Mama ameanza kupenda cheap popularity, ameanza kucheka na nyani atavuna tu mabua.
Mkuu,Nakupinga bila kusoma,Mfumo wa kodi wa Tanzania ni wa kipumbavu sana.Ukiona mtu anapewa TAX clearance halafu baadae anakuja kupewa penalti na wakati huo huo unatoa hongo ili ulipe kodi ndogo ujue kabisa kwamba Nchi ina matatizo kwenye mfumo wa kodi.Mlipa kodi anatakiwa kupewa NGUVU kuliko Mkusanya kodi ili kwetu sisi mkusanya kodi anayo NGUVU kuliko mlipa kodi.KODI nyingi zinazokusanywa ni DHULUMA.Hili nakwambia kama mtu ambaye ninafuatilia sana mfumo wa kodi tangu TRA ianze kukusanya kodi.Binafsi najua Mama Samia anayo NIA njema na uwezo ila watu kama wewe ambao hamjawahi kulipa kodi mtafikiri hajui anachofanya
 
Kodi zinatokana na economic activities, hakuna activities hakuna kodi. Kilichokuwa kinafanyika miaka hii 5 sio kukusanya kodi ilikuwa ni kupora pesa.

1617772253792.png
 
Mapato yaliyo ongezeka kwa serikali ilopita ilikua ni ukusanyaji wa madeni ya kodi za nyuma na sio kwamba compliance iliongezeka,compliance ipo mikononi mwa mlipa kodi mwenyew na kama akitaka ku-evade bado anaweza,zaidi sana tutaishia kua na kesi nyingi ambazo sio za msingi katika mahakama za kodi.

Ili kuepusha haya,waasisi wa sheria za kodi akina smith,waliweka ethics za kodi ambazo kati ya hizo ni lazima kodi iwe “convenient” kwa mlipakodi, Maana yake ni kwamba ukusanywaji wa kodi na kodi yenyewe iwe inamshawishi na kumuwezesha mlipa kodi kucomply mwenyew bila shuruti,

Nahisi Mama aliwahi kuzisikia hizi canons of taxation na ameamua kupita nazo.

Hio finland na nchi za wenzetu compliance ni kubwa sababu wana practise hizo canons za kodi na sio mabavu kama ulivonukuliwa hapo juu.
 
Kodi sio sababu ya kwanza ya kukimbiza wafanyabiashara. Hii ni hoja ya watu wajinga ambao hawakwenda shule.

Huko ulaya kuna very strict laws za kodi, umeona kama wafanyabiashara wanakimbia ulaya?
kodi sio sababu ya kukumbiza wafanyabiashara uko right kabisa.
mama hajasema ipunguzwe au iongezwe au wasilipe. bali style ya ukusanyaji ufuate sheria.
TRA and DRD teams walikuwa wana aggressiveness kwenye ukusanyaji kwa kutumia sheria hizo hizo,either waje na makadirio makubwa kuliko, wafunge account, kesi ya uhujumu uchumi ikuhusu.

tulipata kodi yes,but trail of distruction iliyokuwa inaachwa huko nyuma ni beyond.
hii mentality mfanyiabiasha ni adui inatakiwa iondoke.
lazima kuwepo balance. sheria zifuatwe za ulipaji kodi. nothing else.
 
Maombi yangu siku zote ilikua mama asiingie mkenge wa wafanya biashara maana tunajua kitakachotokea.

Bahati mbaya mama ameuvaa mkenge wa wafanya biashara. Tusitegemee chochote cha maana kufanyika kwa miaka 4 ijayo. Mama mwenyewe amekiri kua kwa kauli yake makusanyo yatashuka, unajiuliza kwa nini yashuke?

Mama ana matumaini kua makusanyo yakishuka baada ya muda yatapanda, yatapandaje? Nini kitayapandisha?

Ukiona kiongozi hayuko firm and strong kwenye kodi, basi ujue hiyo nchi iko doomed to fail. Nashukuru hayati alikua wazi kwenye hilo, alikua wazi na firm kwenye hilo

Kodi ni jambo ambalo halihitaji kubembelezana, hakuna mfanyabiashara anaetaka kulipa kodi, awe tajiri mkubwa awe mdogo hakuna. Kipindi kile Magufuli anaingia kina Azam walikutwa wanakwepa kodi ya kutosha,itakuaje kwa wafanya biashara wadogo na wa kati? Hilo liko wazi kodi ni jambo ambalo hakuna mfanya biashara anataka kulisikia.

Hakuna mfanyabiashara atakaelalamika ikiwa mfumo wa kukusanya kodi ni dhaifu, hayupo. Maana mifumo dhaifu ya kukusanya kodi ni faida kwa wafanya biashara.

Siku zote wafanya biashara hawako tayari kulipa kodi kwani itawapunguzia mapato yao.

Hizo nchi za ulaya hawabembelezani kwenye kodi na kila mwananchi anajaza tax returns awe na kazi awe hana kazi. Nchi zote zilizoendelea hawana cha msalia mtume kwenye kodi.

Sisi tunabembelezana kuhusu kulipa kodi halafu tunaenda kuomba msaada na mikopo kwa watu ambao hawabembelezani kwenye kodi, hizi ni akili ama matope?

Tanzania nchi yenye watu 60m inaenda kuomba msaada Finland nchi yenye watu 5m wakazi wa Dar tu wanazidi wananchi wa Finland, ama Norway 5m ama Sweden 10m, hii ni akili kweli? Na sababu no moja tu, Finland kila mtu analipa kodi na hakuna kubembelezana na ukikwepa kulipa kodi unafilisiwa kabisa.

Mama ameanza kupenda cheap popularity, ameanza kucheka na nyani atavuna tu mabua.
Kasema hisitumike nguvu kukusanya kodi bali itumike akili. Hao finland na Norway wanatumia akili na sio nguvu.
 
Mama amejipanga kukusanya Kodi kwenye mazingira rafiki tofautina na hapo nyuma walikuwa wanaporaa
 
Hakuna point uliyo ongea ww ujamuelewa mama Samia afu pia acha kufananisha Finland,Norway na nchi yetu Tanzania hao walishaendelea na kuwa na democrasia kubwa miaka mingi sana sisi kwanza tumetawaliwa na wakolo richa ya kutawaliwa tuna majanga kibao kwnye nchi yetu ww huyu mama ujamuelewa ukimuelewa basi utaacha kumbeza ila ana akili sana huyu mama...
 
kodi sio sababu ya kukumbiza wafanyabiashara uko right kabisa.
mama hajasema ipunguzwe au iongezwe au wasilipe. bali style ya ukusanyaji ufuate sheria.
TRA and DRD teams walikuwa wana aggressiveness kwenye ukusanyaji kwa kutumia sheria hizo hizo,either waje na makadirio makubwa kuliko, wafunge account, kesi ya uhujumu uchumi ikuhusu.

tulipata kodi yes,but trail of distruction iliyokuwa inaachwa huko nyuma ni beyond.
hii mentality mfanyiabiasha ni adui inatakiwa iondoke.
lazima kuwepo balance. sheria zifuatwe za ulipaji kodi. nothing else.
Nafurahishwa kujadiliana na watu kam wewe wanaojenga hoja.
 
Back
Top Bottom