OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Usiulize sana, jiulize ulinzi mbona uko mkali sanasijaona mahali akimshukuru Mhe. Rais kwenye hotuba yake, angalau kumtaja tu.
Jipe moyo mzeeMkuu wala usisikilize hizi mitandao nakwambiaje mwamba yupo fresh kabisa.
Njaaa inaua watuAcha uongo mbona hata akina Halima &co wamegundua utopolo wa chadema ndiyo maana wameenda kinyume. Mtu mwenye akili timamu lazima apuuze mikakati yenu.Yaani Tundu lissu, Mnyika, salum mwalim, Gwarugwa plus Faru John utegemee kupata taarifa reliable kweliiiiiiiiiiiiiiiiii du chadema majanga matupu. Hongera Halima &co kwa kujitambua, hata hivyo mmepoteza muda wenu sana huko
Kasimu yeye anasema mweshimiwa yupo ofisini anachapa kazi mafaili kibao. Tunazidi kuelewa“Ni kawaida ya mwanadamu kukaguliwa kaguliwa, mara mafua mara homa mara chochote”. Samia Suluhu.
Wenye akili tumekuelewa mama ila sidhani kama MATAGA wamekuelewa.
Ziara ya kuandaa watu ...huwa inaanza kuondoka kwenye denier na kukubali kweli anaumwa lakini sio serious ni check up ...na mengine mengine ...ili kuwaandaa watu kwa Tangazo kubwa ikibidi ...na yeye pia kuanza kuonekana na wananchi kuwa anatawala ili ikitokea lolote isilete vacum ndio maana leo kawekewa live TBC ...MIKAKATI imeanzaMshikamano upi tena mama Samia? Au mgonjwa wetu ndo moto ushakata? Tuambieni tuanze kulibeba!!
Tupe picha za samia akiwa ziarani kabla ya leo,
Yaani naona kama Mama kachomoa betri.Kasimu yeye anasema mweshimiwa yupo ofisini anachapa kazi mafaili kibao. Tunazidi kuelewa
Kasimu yeye anasema mweshimiwa yupo ofisini anachapa kazi mafaili kibao. Tunazidi kuelewahH
Wewe umeona lini mama kapewa live TBC kwenye ziara za kawaida ???
Acha kutaja magalasa, andaa machozi mkuuAcha uongo mbona hata akina Halima &co wamegundua utopolo wa chadema ndiyo maana wameenda kinyume. Mtu mwenye akili timamu lazima apuuze mikakati yenu.Yaani Tundu lissu, Mnyika, salum mwalim, Gwarugwa plus Faru John utegemee kupata taarifa reliable kweliiiiiiiiiiiiiiiiii du chadema majanga matupu. Hongera Halima &co kwa kujitambua, hata hivyo mmepoteza muda wenu sana huko
watu wasiojulikanaMara yuko wapi? Hatumuoni, wamemtoa dar wafanye vikao, sijui watampora mwache azurure, nani hao jamani,🤔🤔
Poor methodologyZiara ya kuandaa watu ...huwa inaanza kuondoka kwenye denier na kukubali kweli anaumwa lakini sio serious ni check up ...na mengine mengine ...ili kuwaandaa watu kwa Tangazo kubwa ikibidi ...na yeye pia kuanza kuonekana na wananchi kuwa anatawala ili ikitokea lolote isilete vacum ndio maana leo kawekewa live TBC ...MIKAKATI imeanza