Mama Samia: Katika wakati muhimu Watanzania kushikamana ni wakati huu, Si wakati wa kusikiliza maneno yanayotoka nje yakatuparaganya vichwa

Mama Samia: Katika wakati muhimu Watanzania kushikamana ni wakati huu, Si wakati wa kusikiliza maneno yanayotoka nje yakatuparaganya vichwa

Makamu wa Rais yupo anazurura huko huku tukiwa hatujui Nchi inaongozwa na nani sasa hivi

Huu ukondoo haupaswi kupigiwa chapuo. Next time inatakiwa achaguliwe Makamu wa Rais strong mwenye uwezo wa kumcontrol boss wake na kuchukua hatamu za uongozi bila hofu wala woga pale inapobidi.

Wenzetu Kenya waliliona hilo kitambo na ndio maana wakaweka cheo cha Deputy President - mtu ambae Rais wa Nchi hawezi kumtumbua kienyeji

Huyu mama anatia shaka kama yupo tayari na kama anao uwezo wa kukamata uongozi. Usalama wa Taifa wanapaswa kuchukua hii kama lesson moving forwa
Mkuu Mimi nashangaa mnavyowasingizia hao usalama wa taifa Kwan wao ndo wanachagua rais..
Si tunaonaga michakato inavyoendaga dodoma..
Au nyie mnakuaga wapi sjui ..sjui mnasahau..
Usalama wa taifa tunawaonea t mkuu ..
Inawezekana wanatoa ushauri Ila nafkiri wanaishiaga hapo kwenye ushauri tu..
 
"Ni kawaida ya mwanadamu kukaguliwa kaguliwa, mara mafua, mara homa mara chochote kile."

Ni nani huyo anayekaguliwa tena wakati?

Kama ni no 1 ina maana PM aliudanganya umma kuwa yupo fit na anachapa kazi?

Kama ni no 1 je hawa watu wanaokamatwa kuwa wanazusha je wataachiwa huru maana tuhuma zao wanazoshtakiwa itaonekana ni kweli kwa kauli hii?
Hilo ni neno. Kama anayekaguliwa kaguliwa ni yeye, sasa uzushi umko wapi? Yule fundi simu aachiwe halaka na wamlipe fidia....!!
 
My take:

Sasa hivi kuna power struggle ndani ya chama chetu. Mama kagundua anaweza kuwa side-stepped na MATAGA gang.
Speech yake ya leo ni kilio kwa Watanzania wote (hususani wasio wafuasi wa chama chetu na wasio MATAGA gang) wamuunge mkono ili asienguliwe na hao wahafidhina.

It's there for all to see and hear!
Wachache wenye akili hii. Raha ya JF lakini.
 
Si tulikubaliana kuwa kusalimiana tutakuwa tunapungiana mkono akiwa na CONVOY lake sasa leo tunapata salamu kwa kinywa cha mtu mwingine.
 
Lakini nataka niwaambie kwamba katika wakati muhimu watanzania kushikamana ni wakati huu, kujenga umoja, ni wakati huu. Si wakati wa kusikiliza maneno yanayotoka nje nasi yakatuparaganya vichwa.

Nawaomba wote tushikane kwa umoja kwa mshikamano wetu kama watanzania, tuendelee kuchapa kazi kama sisi tulivyokuja tunachapa kazi, tunaangalia miradi, watu wote shughulikeni na mambo yenu, jengeni Taifa lenu tujenge umoja na mshikamano wetu ili Tanzania yetu iwe Taifa Imara.
Haya ndiyo yalitakiwa wakati wote, si wakati huu pekee (sijui ana maana gani na wakati huu). Kuna kitu gani kilichotokea tofauti "wakati huu"?
 
Haya ndiyo yalitakiwa wakati wote, si wakati huu pekee (sijui ana maana gani na wakati huu). Kuna kitu gani kilichotokea tofauti "wakati huu"?
Kilichotokea ni kuibuka kwa mzushi huko Ubelgiji anayelichafua taifa letu!
 
"Niwashukuru kwamba nimeweza kusimama tumesalimiana, ninalotaka kuwahakikishia ndugu zangu, Tanzania tuko salama, Tanzania tuko salama. Ni kawaida ya mwanadamu kukaguliwa kaguliwa, mara mafua, mara homa mara chochote kile"

Maneno haya Mama yetu mbona yanaleta maswali sana, Anashukuru ameweza kusimama? Mbona hatujawai pewa taarifa yoyote kua alikua anaumwa? Au kusimama kwa namna gani? Maana hiyo ziara imeandaliwa muda maana ake alijiandaa kwa hilo.

Huyu aliyekaguliwa kaguliwa ni yupi?

Yaani Leo mama yetu kasafiri kutoka DSM ili kuja kutuhisia watanzania tuwe na umoja na kushikamana kipindi hiki. Hiki kipindi anachokisema mama yetu ni kipindi cha namna gani?

Maana huku sisi tunaendelea kujifukiza, na kushagilia nchi yetu pamoja kua dunia inakubwa na korona sisi uchumi umepanda hadi uchumi wa kati.

Leo sijamuelewa kabsa Mama Yetu
Mimi nitasimama na Samia Suluhu. Unakumbuka wakati nikikupiga shule yako ya MCEd pale Huria. Yale macho mlegezo si mchejo yaani.
 
Naanza kuamini kuwa akina @Chahali na ile story You Tube na Kigogo Tweer wametuingiza chaka.
Kigogo huwa hawezi kusema taarifa halafu zikabaki kuwa tetesi indefinetely, hiyo haipo. Kigogo akisema kitu lazima na wengine wataki-confirm baada ya muda mfupi. Alichokiona hapa Kigogo ni kwamba amemkosa Rais ila akwa hajui yuko wapi na nini kinaendelea. Kwa hiyo ikabidi sasa abuni stori ya ukosekano huo.

Mimi hapa nilipo nina theory moja tu kuhusu kutokuonekana kwake. Possibly ameamua kufanya hivyo kupunguza kelele za watu ili asionekane kuwa Rais wa nchi ndiye anayehamasisha watu kutokuvaa barakoa, wakati kuna watu wanadai kuwa tuna Corona. Yeye anaamini ni kweli kuna kitu kipo kinagharimu maisha ya watu, ila siyo Corona. Now in the presence of anything else different from Corona, JPM huwezi kumuona hata siku moja amevaa Barakoa

Kama kweli Corona isingekuwa imeisha, mwaka jana 2020 tusingeweza kufanya kampeni za uchaguzi, na hata Tundu Lissu mwenyewe asingekuja. Muda wote TL alikuwa hapa amefanya kampeni hadi kumaliza akiwa hajavaa barakoa. Je, kipindi hicho Corona ilikuwepo au haikuwepo?
 
Hii sub anatoka kapteni na kumvalisha kitambaa kapteni msaidizi?
Au ni pre season match ambacho fitness inaangaliwa zaidi ili kujihakikushia namba kikosi cha 1?

Naona kama warming up imekuwa kubwa sana.
 
Back
Top Bottom