Mama Samia na wengine wote wamevaa Barakoa

Wamevaa barakoa kujikinga na magonjwa ya moyo.
 
Hatimaye wafanyabiashara wa Covid 19 wamefanikiwa kukiondoa kizuizi kilichokuwa kimebaki kuuza chanjo,barakoa & vipimo vyao vya kuchononoa makalio
 
Hii sidhani kama ni ya leo
Ramaphosa amekuja saa ngapi Tanzania mkuu?
Miss Zomboko kwa mara ya kwanza leo nimeona mchango wako lakini ningependa kusikia machache toka kwako kuhusiana na msiba mzito wa kitaifa tuliopata; wewe kwa binafsi na maoni yako unauzungumziaje msiba huu?
 
Hii sidhani kama ni ya leo
Ramaphosa amekuja saa ngapi Tanzania mkuu?

Kuna wakati unatamani uandike neno moja limvunjie mtu heshma milele ila vidole vinakusaliti kwa kuwa wewe hu wa type hizo, inabd uishie kuliombea taifa kwa ujumla wake tu!.
 
Kiwango cha upimaj kiboreshwe,watakaokutwa na shida watengwe
 
Picha ya zamani sana ktk sadc summit,wabongo kwa uzushi!
 
Umbea mbaya sana hasa kwa mtoto wa kume. Hii picha ya siku nyingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…