Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Ya lini hii ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya lini hii ?
Tulisema ikishusha mmoja wale top three,akili itawakaa tu.Hapa issue siyo nani,hapa issue ni kuwa watu hatimaye wamekubali kuvaa barakoa
Dadadeeeki wenyewe wamezitafuta zilipoTulisema ikishusha mmoja wale top three,akili itawakaa tu.
Wakawadanganye wafuasi wao wasiyo jua kusoma alama za nyakatiWamevaa barakoa kujikinga na magonjwa ya moyo.
Miss Zomboko kwa mara ya kwanza leo nimeona mchango wako lakini ningependa kusikia machache toka kwako kuhusiana na msiba mzito wa kitaifa tuliopata; wewe kwa binafsi na maoni yako unauzungumziaje msiba huu?Hii sidhani kama ni ya leo
Ramaphosa amekuja saa ngapi Tanzania mkuu?
Hii sidhani kama ni ya leo
Ramaphosa amekuja saa ngapi Tanzania mkuu?
Mabadiliko yameanza