Mama Samia: Paul Makonda alisimama ndani ya Bunge la Katiba na kusema mimi nafaa kuwa Makamu wa Rais na Bunge zima likashangilia!

Kama ni hivyo ni vizuri amkumbuke!! Amsemee vizuri!!
 

Kwahiyo mama Samia nae aseme BASHITE anafaa kuwa VICE President? Amuache tu Bashite awe anakwenda kula ubwabwa nyumbani kwake, mambo ya serikali Bashite kisha yanyea; mama asije kujipaka kinyesi bure!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…