muhogo_kiks
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 1,627
- 4,445
Si mje tu! Kwani kuna tatizo gani? Kama sisi tunaweza kuwa wamachinga na omba omba kwenu kwanini nyie mshindwe huku kwetu.I like this part, " The Tanzania Head of State will be seeking to lure Kenya’s business community to consider investments in the neighbouring country. "
Ona venye ulivyo fala, kwani hamjui kubrand ndiyo mtegemee wakenya kuwafanyia branding?Si mje tu! Kwani kuna tatizo gani? Kama sisi tunaweza kuwa wamachinga na omba omba kwenu kwanini nyie mshindwe huku kwetu.
Ila mkija msituzingue. Maparachichi yetu myabrand kama product of Tanzania na yaende ulaya kupitia hapa hapa. Tunandege za kutosha na viwanja vya kutosha.
Napia muache kusema kila kitu kizuri cha Tanzania ni chenu. Mnakera sana! [emoji23]
Nyie janja yenu ni janja ya nyani tu. Safari hii tumewaonea huruma tu. Mtake msitake. Mama ni muugwana sana ndo maana kaona aware chance mapema. Mkizingua tu imekula kwenu. Hii nafasi haitojirudia.Ona venye ulivyo fala, kwani hamjui kubrand ndiyo mtegemee wakenya kuwafanyia branding?
Mazungumzo ndio kila kitu dunian, Mama Anafanya vizuri, Bado USA,CANADA,European Union, England, China,na nyumbani waweke kitako wajue wajue unataka wafanye nini, Tunataka BIASHARA zifufuliwe ili watu wapate ajira, mtaani hali ni ngumu sana, Tunaomba BOT izipe kampuni ambazo zina return ya zaidi ya Bilion moja kwa Mwaka mikopo isiyo na riba kwa miaka 5 ili zipite ktk kipindi hiki kigumuJapo haya mataifa tumekua watani wa jadi, ila hatukuwahi kufikia kwenye kilele cha chuki ambacho tumeshuhudia miaka michache ya hivi majuzi, hongera sana mama, binafsi nitaacha shughuli zangu ili tu nikuone hata kama wapambe hawataruhusu tukukaribie sisi akina Yahaya wa mtaani......
==========================
President Uhuru Kenyatta speaking with Tanzania's President Samia Suluhu
FILE
Tanzania’s President Samia Suluhu is expected to arrive in Nairobi in the next few days for a state visit.
First among President Suluhu’s to-do list is meeting with President Uhuru Kenyatta at State House which will mark the end of a 5-year period since a Tanzania Head of State last visited Kenya.
The discussion will range from bilateral matters and areas of cooperation in terms of regional trade policies that have suffered tensions in recent years.
President Uhuru Kenyatta greeting Tanzania's President Samia Suluhu during the funeral service of the Late John Magufuli
FILE
After meeting with Kenyatta, Suluhu has planned a roundtable with the local business community and private sector.
The Tanzania Head of State will be seeking to lure Kenya’s business community to consider investments in the neighbouring country.
She is keen on revising the hostile economic policies introduced by her predecessor John Pombe Magufuli - that were particularly punitive on Kenyan-owned businesses.
Investors have suffered losses due to the tense trade ties between the two countries that have caused the destruction and seizure of goods.
President Suluhu has kickstarted an aggressive campaign to improve what her administration has termed as economic diplomacy.
In her recent first address to Parliament since assuming the role of President, she communicated that her administration would promote investments by creating a good business environment.
“The government will be taking specific steps to promote investment by looking into investment policies, laws, and regulations, remove clauses that are hampering smooth investments, including unpredictable policies, an unstable tax system and unnecessary bureaucracies,” she stressed.
President Suluhu’s visit to Kenya comes just months after her trip to Uganda where she signed the Ksh400 billion East Africa Crude Oil Pipeline deal.
- Uganda’s oil pipeline will be built through Tanzania instead of Kenya as initially planned.
Kenya lost out on the deal after Uganda raised concerns about the feasibility of the pipeline going through Kenya.
President Yoweri Museveni welcomes President Samia Suluhu to Uganda on March 11, 2021Uhuru Confirms Tuesday's Meeting With Visiting Tanzanian President
Tanzania’s President Samia Suluhu is expected to arrive in Nairobi in the next few days for a state visit.www.kenyans.co.ke
Mazungumzo ndio kila kitu dunian, Mama Anafanya vizuri, Bado USA,CANADA,European Union, England, China,na nyumbani waweke kitako wajue wajue unataka wafanye nini, Tunataka BIASHARA zifufuliwe ili watu wapate ajira, mtaani hali ni ngumu sana, Tunaomba BOT izipe kampuni ambazo zina return ya zaidi ya Bilion moja kwa Mwaka mikopo isiyo na riba kwa miaka 5 ili zipite ktk kipindi hiki kigumu
When we speak of Kenya's business community, basically we mean Indians who have invested in KenyaI like this part, " The Tanzania Head of State will be seeking to lure Kenya’s business community to consider investments in the neighbouring country. "
Waziri wa mambo ya Nje ni Mama mzoefu sana kwenye Diplomasia ya kawaida na ya uchumi, pia Raisi anaonekana ni mtu mwenye maono makubwa sana ya maendeleo hivyo atachagua team Nzuri. Mungu amsaidieKwa namna alivyoanza huyo mama naona atakua na kundi la washauri wazuri tu, kwanza keshaanza kuwekana sawa na upinzani Tanzania, halafu papo hapo ameamua kurekebisha mahusiano ya kimataifa na majirani pia. Kwenye jopo la washauri wake kutakua wadau waliokua wanasubiri sana fursa za kushauri, na hapo hata kiuchumi ataweka sawa sana.
Hawa Kenge ni wapumbavu sana! Wanafikiria wao tu ndo wanaongea vernaculars!
Sio ninyi hutuita Kinjekitile sababu ya kukumbatia utamaduni wetu?
Nyerere hakukataza lugha za kikabila bali alikataza ukabila, ukabila sio lugha tofautisha tribalism na lugha
Nyerere alihimiza kuenzi utamaduni na jadi zetu kwa kutengeneza kitu kinaitwa utani wa kikabila, kila kabila Tanzania lina kabila rafiki ambao ni majirani na wanasaidiana na kutaniana in a simple way ni kama ujirani mwema yaani kabila na kabila liwe na mahusiano mazuri na muingiliano chanya kama kushiriki kwenye shughuli za uzalishaji mali, kilimo, kuoana, kusaidiana na kushirikiana kiujumla
Matokeo yake sera hii ya Nyerere imekuja sio tu kuunganisha makabila jirani bali makabila yote Tanzania mzima yameshikamana na wanaruhusiwa kuenzi mila na desturi zao lakini pale panapokua na shughuli ya kabila zaidi ya moja ni marufuku kuongea kikabila, sio sababu kikabila hakifai bali sababu hakuna maana kuongea lugha ambayo sitakuelewa wakati ipo lugha inayojulikana na kila mtanzania.
wanaoishi mijini tu na tena wale wa baba na mama makabila tofauti na wasiofundisha watoto wao lakini nakuhakikisha over 75% can speak their vernaculars! Nenda majumbani kwao ndo utajua hujui!wengi wenu hamjui vernaculars zenu. Mnaogopa kuzizungumza hadharani maana mtaitwa wakabila. Watoto wenu wanazaliwa na kukuwa watu wazima bila kujua kuzungumza lugha zao za asili eti kwa sababu lugha hizi zimedhalilishwa na kudharauliwa sana huko TZ. Lugha hizi zinachukuliwa kama takataka huko TZ.
Yeyote anayeizungumza hata anaweza kuitiwa polisi akamatwe kwa kisingizio kwamba yeye ni mkabila.
wengi wenu hamjui vernaculars zenu. Mnaogopa kuzizungumza hadharani maana mtaitwa wakabila. Watoto wenu wanazaliwa na kukuwa watu wazima bila kujua kuzungumza lugha zao za asili eti kwa sababu lugha hizi zimedhalilishwa na kudharauliwa sana huko TZ. Na aliyeleta hii dhana potovu ni Mwalimu Nyerere mwenyewe. Lugha hizi zinachukuliwa kama takataka huko TZ.
Yeyote anayeizungumza hata anaweza kutiwa mbaroni na polisi kwa kisingizio kwamba yeye ni mkabila.
Cc MK254
Hawa watu hawaeleweki. Wanasema kwamba wao sio wakabila ila wanataja kabila la mtu waziwazi? Huo ni unafiki wa hali ya juu. Kama wao sio wakabila basi wasitaje kamwe kabila la mtu.Nilishangaa na kuona huruma sana unakuta mbaba mtu mzima kabisa lakini lugha yake ya asili hawezi hata kusalimia, japo kidogo wanaotokea mikoani kama Moshi, Mwanza na Kagera hujaribu jaribu lakini wengi wa hapo Dar ni hovyoo kabisa, wamemezwa na mambo ya Uswahilini mpaka wamekua watumwa wasiokua na asili yoyote, mtu hajui lugha yake ya asili na pia uandishi wa Kiswahili ni umagumashi, Kingereza ndio hajui chochote kabisaaaa.
Wanakuambia kuongea Kingereza ni ukoloni, kuongea lugha ya asili ni ushamba, na hata hicho Kiswahili bado anayumba yumba kwenye uandishi. Kile hunishanga, mtuhumiwa akikamatwa kwenye uhalifu wowote hutajwa kabila lake kwenye dodoso, check hii...
Sio jambo la ajabu given the historical background of the two countries with their path each country took.mkuu, Kenya ina makampuni 529 ndani ya Tanzania, against Tanzania's 23 ndani ya Kenya kufikia mwaka 2016.
I hope you know what I mean.
Historia yetu ya njia ya uchumi ndio ilitugharimu.Hehehe!! Yaani tu, duh....nimejikuta nacheka sana, ila sidhani kama tatizo lipo kwa viongozi wao, hii ni wao wenyewe wajilaumu, hawana ule uthubutu, waoga waoga sana hawa ndugu zetu.
Mkileta retail kama hizo malls mtafunga wenyewe ,,middle class Tzn ni kama hakuna na purchasing power imeshuka Sana labda awamu ya pili ya Mama akijitahidi kurudisha pesa kwa watu.Please get ready to see Naivas, Quickmart, Tumaini among other big retailers in Tanzania. Get ready for Cooperative Bank to enter in Tanzania, get ready for more of Kenyan made products. Get ready to see most big companies in Tanzania hiring Kenyans as experts to work for them.
Wewe ni taahira sababu unaongea kitu kisichokuwepowengi wenu hamjui vernaculars zenu. Mnaogopa kuzizungumza hadharani maana mtaitwa wakabila. Watoto wenu wanazaliwa na kukuwa watu wazima bila kujua kuzungumza lugha zao za asili eti kwa sababu lugha hizi zimedhalilishwa na kudharauliwa sana huko TZ. Na aliyeleta hii dhana potovu ni Mwalimu Nyerere mwenyewe. Lugha hizi zinachukuliwa kama takataka huko TZ.
Yeyote anayeizungumza hata anaweza kutiwa mbaroni na polisi kwa kisingizio kwamba yeye ni mkabila.
Cc MK254
Wewe ni kichaaHawa watu hawaeleweki. Wanasema kwamba wao sio wakabila ila wanataja kabila la mtu waziwazi? Huo ni unafiki wa hali ya juu. Kama wao sio wakabila basi wasitaje kamwe kabila la mtu.