Mama Samia una wabunge 90+% futa vyama vya upinzani

Mama Samia una wabunge 90+% futa vyama vya upinzani

Namshauri Mama kuliko nchi kuwa katika mivutano wakati mlikubaliana kufata demokrasi ya vyama vingi , amuru waziri wa Sheria na katiba apeleke mswada wa dharura bungeni kufuta vyama vya upinzani hapa nchini.

Najickia huzuni Sana namna mambo yanavyoenda.


Mama nilikupenda na niliona umsikivu na usiependa uonevu na udikteta.

Najua unapita hapa kusoma thread.
Akifuata vyama vya upinzani ,yafuatayo yatatokea;

...Hakutakuwa na uadui tena wa kisiasa wa nje ya CCM bali ndani ya CCM,

...Hakutakuwa na upinzani na uadui wa ndani ya nchi kisiasa bali uadui na upinzani utatoka nje ya nchi,

... Atopata ushirikiano wa kimataifa na atatengwa kiuchumi na kisiasa.

Ivyo CCM haina ubavu wa kuimili hayo yote,haitaki upinzani ni kweli, lakini haina uwezo wa kuufuta
 
Namshauri Mama kuliko nchi kuwa katika mivutano wakati mlikubaliana kufata demokrasi ya vyama vingi , amuru waziri wa Sheria na katiba apeleke mswada wa dharura bungeni kufuta vyama vya upinzani hapa nchini.

Najickia huzuni Sana namna mambo yanavyoenda.


Mama nilikupenda na niliona umsikivu na usiependa uonevu na udikteta.

Najua unapita hapa kusoma thread.
Mahafidhina ya ccm yameishamwelekeza kibra
 
Namshauri Mama kuliko nchi kuwa katika mivutano wakati mlikubaliana kufata demokrasi ya vyama vingi , amuru waziri wa Sheria na katiba apeleke mswada wa dharura bungeni kufuta vyama vya upinzani hapa nchini.

Najickia huzuni Sana namna mambo yanavyoenda.


Mama nilikupenda na niliona umsikivu na usiependa uonevu na udikteta.

Najua unapita hapa kusoma thread.
Wakifuta vyama vyingi hawatapewa misaada. Ndio maana wanataka vyama feki na wapinzani feki ili kuwadanganya mabeberu watoe pesa. Waafrika tunatia aibu sana.
 
Acha wamvuruge ili aishie 2025. Kuna watu wanamdanganya halafu yeye hajui
 
Namshauri Mama kuliko nchi kuwa katika mivutano wakati mlikubaliana kufata demokrasi ya vyama vingi , amuru waziri wa Sheria na katiba apeleke mswada wa dharura bungeni kufuta vyama vya upinzani hapa nchini.

Najickia huzuni Sana namna mambo yanavyoenda.


Mama nilikupenda na niliona umsikivu na usiependa uonevu na udikteta.

Najua unapita hapa kusoma thread.
Kuliko kutumia kodi zetu kupeleka magari ya washa washa wafute vyama vya upinzani wabaki wenyewe ccm
 
Namshauri Mama kuliko nchi kuwa katika mivutano wakati mlikubaliana kufata demokrasi ya vyama vingi , amuru waziri wa Sheria na katiba apeleke mswada wa dharura bungeni kufuta vyama vya upinzani hapa nchini.

Najickia huzuni Sana namna mambo yanavyoenda.


Mama nilikupenda na niliona umsikivu na usiependa uonevu na udikteta.

Najua unapita hapa kusoma thread.
Naung nawe katika hili.
 
Namshauri Mama kuliko nchi kuwa katika mivutano wakati mlikubaliana kufata demokrasi ya vyama vingi , amuru waziri wa Sheria na katiba apeleke mswada wa dharura bungeni kufuta vyama vya upinzani hapa nchini.

Najickia huzuni Sana namna mambo yanavyoenda.


Mama nilikupenda na niliona umsikivu na usiependa uonevu na udikteta.

Najua unapita hapa kusoma thread.
Hana UJANJA huo UNADHANI NYERERE ilikuwa ni HIARI yake? Vyama vya Upinzani Vipo kwa Takwa la DUNIA MBONA MAGUFULI ALISHINDWA KUVIFUTA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Mamax3! Kwanini haya na kwa faida ya nani???
 
Sio mama tu bali ni mfumo mzima wa ccm wanaogopa kitu kuondoka madarakani, ccm ni cancer, nawashangaa wanaotegemea uchaguzi kuiondoa ccm madarakani, kwani walishatamka wazi kuwa ccm hawawezi kutoa madaraka kwa njia ya kura hayo mamifumo ya vyama vingi ni usanii tu, kama wanachofanyiwa znz au wale wanapigwa na kupotezwa kwa kuongea ukweli au kuekwa ndani kwa kesi za ugaidi mkadhani kuwa ni kweli wana kesi basi mjue ni drama, linapokuja suala la ccm kutoka madarakani basi wako taari kuuwa ilimradi wabaki madarakani, ugaidi wa ccm haukuanza leo bali umeanza tokea 1964 katika visiwa jirani na historia inathibitisha hivyo
Kweli asee
 
Hakuna kufuta vyama vya upinzani.

  • Polisi watakosa kazi, maana kuna watu mili yao inawasha.
  • Kina Mbowe, Sugu, Msigwa, Mnyika, Lissu wangetajirika vipi bila vyama vya siasa
  • Waandishi wa habari watakosa matukio yenwyw msisimko pale nyumbu wanapokuwa wanagongwaaa visago heavy.

Kwahiyo tuendeleeee
Kubwa jinga at work
 
Back
Top Bottom