Mama wa jirani yangu ameniomba chumvi na sukari saa kumi usiku

Mama wa jirani yangu ameniomba chumvi na sukari saa kumi usiku

mahatmaxlla

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2017
Posts
896
Reaction score
1,435
Wakuu habari.
Mungu wangu awatie nguvu na moyo wa mapambano awajalie neema na baraka.

Naomba kujua
Chumvi inahusika vipi kutibu tatizo la tumbo.

Jirani yangu(mpangaji mwenzangu) dada wa umri kati ya miaka 15 hadi 20 kanigongea saa kumi kamili usiku anahitaji chumvi na sukari mama yake anaumwa tumbo

Katika hali isiyo ya kawaida kanigongea dirishani ikiwa mlango wangu na wake viko karibu karibu sana tofauti na kwenda nyuma ya nyumba kugonga dilisha alikuwa anaweza kugonga mlango ni rahisi zaidi.

Sikuona ishu sana nilitulia kidogo baadae nikaamka akaja mlangoni nikampatia chumvi nikimwambia sukari nimemaliza.

Amekaribia mwezi tangu amepata chumba mahali hapa. Lakini sijawahi sikia kuhusu tatizo la mamaake tangu amefika.

Nimelifikilia ili suala sana.imekaaje hii wataalamu?

Ikumbukwe mchana wa siku hiyo nimemwaga maji ya baraka na upako ndani kwangu na nyumba yote kwa ujumla hii ni kiimani zaidi kumradhi.alafu usiku wa saa kumi mtu anakuja kuniomba chumvi na sukari.

Pengine chumvi inaweza kuwa dawa nzuri zaidi endapo ikichanganywa na sukari Kiimani kikemia hii imekaa vipi?tujuzane tupunguza gharama za matibabu kwa case za namna hii.coz hizi products ni cheap sana.
 
Wakuu habari.
Mungu wangu awatie nguvu na moyo wa mapambano awajalie neema na baraka.

Naomba kujua
Chumvi inahusika vipi kutibu tatizo la tumbo.

Jirani yangu(mpangaji mwenzangu) dada wa umri kati ya miaka 15 hadi 20 kanigongea saa kumi kamili usiku anahitaji chumvi na sukari mama yake anaumwa tumbo

Katika hali isiyo ya kawaida kanigongea dirishani ikiwa mlango wangu na wake viko karibu karibu sana tofauti na kwenda nyuma ya nyumba kugonga dilisha alikuwa anaweza kugonga mlango ni rahisi zaidi.

Sikuona ishu sana nilitulia kidogo baadae nikaamka akaja mlangoni nikampatia chumvi nikimwambia sukari nimemaliza.

Amekaribia mwezi tangu amepata chumba mahali hapa. Lakini sijawahi sikia kuhusu tatizo la mamaake tangu amefika.

Nimelifikilia ili suala sana.imekaaje hii wataalamu?

Ikumbukwe mchana wa siku hiyo nimemwaga maji ya baraka na upako ndani kwangu na nyumba yote kwa ujumla hii ni kiimani zaidi kumradhi.alafu usiku wa saa kumi mtu anakuja kuniomba chumvi na sukari.

Pengine chumvi inaweza kuwa dawa nzuri zaidi endapo ikichanganywa na sukari Kiimani kikemia hii imekaa vipi?tujuzane tupunguza gharama za matibabu kwa case za namna hii.coz hizi products ni cheap sana.
Waulize madereva wa malori kwanini husafiri na kokakola na chumvi, wizara ya afya hufundisha kutengeneza oral yaani mchanganyiko wa chumvi na sukari kwa ajili ya tatizo la tumbo kuendesha(kuharisha), mchanganyiko huu husaidia kurudisha maji mwilini.
 
Wakuu habari.
Mungu wangu awatie nguvu na moyo wa mapambano awajalie neema na baraka.

Naomba kujua
Chumvi inahusika vipi kutibu tatizo la tumbo.

Jirani yangu(mpangaji mwenzangu) dada wa umri kati ya miaka 15 hadi 20 kanigongea saa kumi kamili usiku anahitaji chumvi na sukari mama yake anaumwa tumbo

Katika hali isiyo ya kawaida kanigongea dirishani ikiwa mlango wangu na wake viko karibu karibu sana tofauti na kwenda nyuma ya nyumba kugonga dilisha alikuwa anaweza kugonga mlango ni rahisi zaidi.

Sikuona ishu sana nilitulia kidogo baadae nikaamka akaja mlangoni nikampatia chumvi nikimwambia sukari nimemaliza.

Amekaribia mwezi tangu amepata chumba mahali hapa. Lakini sijawahi sikia kuhusu tatizo la mamaake tangu amefika.

Nimelifikilia ili suala sana.imekaaje hii wataalamu?

Ikumbukwe mchana wa siku hiyo nimemwaga maji ya baraka na upako ndani kwangu na nyumba yote kwa ujumla hii ni kiimani zaidi kumradhi.alafu usiku wa saa kumi mtu anakuja kuniomba chumvi na sukari.

Pengine chumvi inaweza kuwa dawa nzuri zaidi endapo ikichanganywa na sukari Kiimani kikemia hii imekaa vipi?tujuzane tupunguza gharama za matibabu kwa case za namna hii.coz hizi products ni cheap sana.
Mkuu,unakaribia KUFA!!
 
Wakuu habari.
Mungu wangu awatie nguvu na moyo wa mapambano awajalie neema na baraka.

Naomba kujua
Chumvi inahusika vipi kutibu tatizo la tumbo.

Jirani yangu(mpangaji mwenzangu) dada wa umri kati ya miaka 15 hadi 20 kanigongea saa kumi kamili usiku anahitaji chumvi na sukari mama yake anaumwa tumbo

Katika hali isiyo ya kawaida kanigongea dirishani ikiwa mlango wangu na wake viko karibu karibu sana tofauti na kwenda nyuma ya nyumba kugonga dilisha alikuwa anaweza kugonga mlango ni rahisi zaidi.

Sikuona ishu sana nilitulia kidogo baadae nikaamka akaja mlangoni nikampatia chumvi nikimwambia sukari nimemaliza.

Amekaribia mwezi tangu amepata chumba mahali hapa. Lakini sijawahi sikia kuhusu tatizo la mamaake tangu amefika.

Nimelifikilia ili suala sana.imekaaje hii wataalamu?

Ikumbukwe mchana wa siku hiyo nimemwaga maji ya baraka na upako ndani kwangu na nyumba yote kwa ujumla hii ni kiimani zaidi kumradhi.alafu usiku wa saa kumi mtu anakuja kuniomba chumvi na sukari.

Pengine chumvi inaweza kuwa dawa nzuri zaidi endapo ikichanganywa na sukari Kiimani kikemia hii imekaa vipi?tujuzane tupunguza gharama za matibabu kwa case za namna hii.coz hizi products ni cheap sana.
Kijana wa mwamposa usihofu Wala kwenda kutoa ushuuda WA miujiza huko kawe

Apo anahitaji ivyo vitu kwajili ya kurudisha maji mwilini yaliyopotea wakati WA kutapika au kuharisha
 
Wakuu habari.
Mungu wangu awatie nguvu na moyo wa mapambano awajalie neema na baraka.

Naomba kujua
Chumvi inahusika vipi kutibu tatizo la tumbo.

Jirani yangu(mpangaji mwenzangu) dada wa umri kati ya miaka 15 hadi 20 kanigongea saa kumi kamili usiku anahitaji chumvi na sukari mama yake anaumwa tumbo

Katika hali isiyo ya kawaida kanigongea dirishani ikiwa mlango wangu na wake viko karibu karibu sana tofauti na kwenda nyuma ya nyumba kugonga dilisha alikuwa anaweza kugonga mlango ni rahisi zaidi.

Sikuona ishu sana nilitulia kidogo baadae nikaamka akaja mlangoni nikampatia chumvi nikimwambia sukari nimemaliza.

Amekaribia mwezi tangu amepata chumba mahali hapa. Lakini sijawahi sikia kuhusu tatizo la mamaake tangu amefika.

Nimelifikilia ili suala sana.imekaaje hii wataalamu?

Ikumbukwe mchana wa siku hiyo nimemwaga maji ya baraka na upako ndani kwangu na nyumba yote kwa ujumla hii ni kiimani zaidi kumradhi.alafu usiku wa saa kumi mtu anakuja kuniomba chumvi na sukari.

Pengine chumvi inaweza kuwa dawa nzuri zaidi endapo ikichanganywa na sukari Kiimani kikemia hii imekaa vipi?tujuzane tupunguza gharama za matibabu kwa case za namna hii.coz hizi products ni cheap sana.
Nakushauri usichukulie poa! Mambo ya uchawi na ushirikina yapo sana duniani na Tanzania tupo namba 2 baada ya Nigeria. Kuombwa chumvi na sukari usiku sio jambo la kawaida na kwa mazingira hayo uliyoeleza nahisi kabisa kutakuwa na jambo la kishirikina wahusika wanataka kufanya kwako.

Tafuta mtumishi wa kweli wa Mungu Aliye Hai akuombee kwa Jina la Yesu na kuvunja mipango yoyote ya giza juu yako. Usichukulie poa!
 
Back
Top Bottom