Mama wa jirani yangu ameniomba chumvi na sukari saa kumi usiku

Mama wa jirani yangu ameniomba chumvi na sukari saa kumi usiku

Wakuu habari.
Mungu wangu awatie nguvu na moyo wa mapambano awajalie neema na baraka.

Naomba kujua
Chumvi inahusika vipi kutibu tatizo la tumbo.

Jirani yangu(mpangaji mwenzangu) dada wa umri kati ya miaka 15 hadi 20 kanigongea saa kumi kamili usiku anahitaji chumvi na sukari mama yake anaumwa tumbo

Katika hali isiyo ya kawaida kanigongea dirishani ikiwa mlango wangu na wake viko karibu karibu sana tofauti na kwenda nyuma ya nyumba kugonga dilisha alikuwa anaweza kugonga mlango ni rahisi zaidi.

Sikuona ishu sana nilitulia kidogo baadae nikaamka akaja mlangoni nikampatia chumvi nikimwambia sukari nimemaliza.

Amekaribia mwezi tangu amepata chumba mahali hapa. Lakini sijawahi sikia kuhusu tatizo la mamaake tangu amefika.

Nimelifikilia ili suala sana.imekaaje hii wataalamu?

Ikumbukwe mchana wa siku hiyo nimemwaga maji ya baraka na upako ndani kwangu na nyumba yote kwa ujumla hii ni kiimani zaidi kumradhi.alafu usiku wa saa kumi mtu anakuja kuniomba chumvi na sukari.

Pengine chumvi inaweza kuwa dawa nzuri zaidi endapo ikichanganywa na sukari Kiimani kikemia hii imekaa vipi?tujuzane tupunguza gharama za matibabu kwa case za namna hii.coz hizi products ni cheap sana.
Mix ya chimvi na sukari n dawa mujaribuuuu ya tumboo mkuu
 
TAFUTA MAFUTA YA DUA OIL MADUKA YA TIBA ASILI JIPAKE SIKU SABA NA MMIMINIA MLANGON MNAPOINGILIA NA DIRISHAN KWAKO
 
Ukiogopa sanaaa chxukua mkojo wako wa asbh chukua karatasi andika jina lake kama walijua ingiza kwa mkojoo sema neno kama alitaka kjkudhuru imrudie tikisa mara 7 nikokwa wakala nasubiri majibu

Ukimaliza jipake mwili mzima isiguse kichwa usijifute mpaka ukaukie mwilini then kama unasafari kaogekawaida nenda

Tiba mujarabuuu
 
Alikuwa amevaa kanga moja ?

1723759150554.png
 
Wakuu habari.
Mungu wangu awatie nguvu na moyo wa mapambano awajalie neema na baraka.

Naomba kujua
Chumvi inahusika vipi kutibu tatizo la tumbo.

Jirani yangu(mpangaji mwenzangu) dada wa umri kati ya miaka 15 hadi 20 kanigongea saa kumi kamili usiku anahitaji chumvi na sukari mama yake anaumwa tumbo

Katika hali isiyo ya kawaida kanigongea dirishani ikiwa mlango wangu na wake viko karibu karibu sana tofauti na kwenda nyuma ya nyumba kugonga dilisha alikuwa anaweza kugonga mlango ni rahisi zaidi.

Sikuona ishu sana nilitulia kidogo baadae nikaamka akaja mlangoni nikampatia chumvi nikimwambia sukari nimemaliza.

Amekaribia mwezi tangu amepata chumba mahali hapa. Lakini sijawahi sikia kuhusu tatizo la mamaake tangu amefika.

Nimelifikilia ili suala sana.imekaaje hii wataalamu?

Ikumbukwe mchana wa siku hiyo nimemwaga maji ya baraka na upako ndani kwangu na nyumba yote kwa ujumla hii ni kiimani zaidi kumradhi.alafu usiku wa saa kumi mtu anakuja kuniomba chumvi na sukari.

Pengine chumvi inaweza kuwa dawa nzuri zaidi endapo ikichanganywa na sukari Kiimani kikemia hii imekaa vipi?tujuzane tupunguza gharama za matibabu kwa case za namna hii.coz hizi products ni cheap sana.
Mpe halafu usitutangazie. ndiyo mambo ya ujirani hayo.
 
Wakuu habari.
Mungu wangu awatie nguvu na moyo wa mapambano awajalie neema na baraka.

Naomba kujua
Chumvi inahusika vipi kutibu tatizo la tumbo.

Jirani yangu(mpangaji mwenzangu) dada wa umri kati ya miaka 15 hadi 20 kanigongea saa kumi kamili usiku anahitaji chumvi na sukari mama yake anaumwa tumbo

Katika hali isiyo ya kawaida kanigongea dirishani ikiwa mlango wangu na wake viko karibu karibu sana tofauti na kwenda nyuma ya nyumba kugonga dilisha alikuwa anaweza kugonga mlango ni rahisi zaidi.

Sikuona ishu sana nilitulia kidogo baadae nikaamka akaja mlangoni nikampatia chumvi nikimwambia sukari nimemaliza.

Amekaribia mwezi tangu amepata chumba mahali hapa. Lakini sijawahi sikia kuhusu tatizo la mamaake tangu amefika.

Nimelifikilia ili suala sana.imekaaje hii wataalamu?

Ikumbukwe mchana wa siku hiyo nimemwaga maji ya baraka na upako ndani kwangu na nyumba yote kwa ujumla hii ni kiimani zaidi kumradhi.alafu usiku wa saa kumi mtu anakuja kuniomba chumvi na sukari.

Pengine chumvi inaweza kuwa dawa nzuri zaidi endapo ikichanganywa na sukari Kiimani kikemia hii imekaa vipi?tujuzane tupunguza gharama za matibabu kwa case za namna hii.coz hizi products ni cheap sana.
Umri kati ya mika 15 na 20 ndio umri upi huo? Hii chai bila sukari.

Alitaka umkule kote kote huyo umeachia.
 
Sasa kama unaamini ktk hayo maji ya upako na mafuta hofu yako inatoka wp tena?
Mkuu hofu sina hiyo ni minor case...
Major issue n kutka kjua kwa namna gn chumv na sukar inakuw tiba y tumbo
 
Mpe, anataka kutengeneza oral ya kienyeji ya maji, chumvi na sukari anywe. Seems anaharisha tumbo linasumbua.

Shida ya watanzania kila kitu wamekihusisha na uchawi, ulozi, uganga. Nakumbuka miaka ya nyuma huko vijijini ulikua huwezi kusema chumvi dukani ama kwa jirani ukapewa ikishafika sa 1 ama jua kuzama. Eti useme dawa ya mboga😂.

Ulikua huwezi kuuziwa sindano ama wembe usiku, hadi asubuhi. Mambo ya ajabu kabisa.
 
Back
Top Bottom