Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea

Mzava aliteseka sana aisee mpare mwenzangu huyo😎 sipatii picha kama huyo mama nae alikuwa mpare wanawake wa kipare walivyo naviburi ujumlishe na kuwa ana pesa pia weee😇😇😇
Boss ngoja nikukate kauli. Hakuna mwanamke mvumilivu kwenye ndoa Kama mwanamke wa kipare. Wanawake wa kichaga especially uchagani magharibi ndio wa kuogopwa wakiwa na pesa.
Umeshaona ndoa ya mwanamke wa kipare imevunjika halafu huyo mwanamke ndio kasababisha?
 
Si ndomana wakiendaga kwa wenye hela
Wanaishiwa kubanikwaaaa

Ova
 
Kanisani siku hizi sio sehemu salama sana kutafuta mchumba, ushahidi wengi uenda kutafuta mke au mme na sio kumtafuta Mungu,wakishapata mume au mke na kanisani mguu ukata.
Kanuni rahisi sana inasema hivi "Ukiona sehemu kuna mchanganyiko kati ya mtoto wa kike na wa kiume,hapo hakuna usalama hata pawe wapi".
 
Bora kuwa malaya tu mi nikijua mke wangu kashaanza umalaya nje ya ndoa nakuwa malaya mara 3 yake😅 na wala sijali huku naandaa exit plan tu au tunatengana tu kila mtu alale chumba chake wakati tuna co-parent!
Yuko jamaa yangu TANGA kipindi hicho Cha awamu zaukweli alimuona mkewe anaanza umalaya. Jamaa alimuambia mke, wewe si Malaya, ziingize pesa Mimi nitazitoa nje. Siku ya kwanza jamaa kalala kwa best wake asubuhi kaja kuoga,. Kubadili nguo na kuondoka kazini, siku ya pili hivyo hivyo. Haraka sana mwanamke aliitisha kikao Cha usuluhishi.
 
Hahahahahahah kwa uvumilivu ni sahihi ila kwa kiburi pia ni sahihi!
 
Hakuna Mwanadamu anaye weza kumtuma Jini bali waganga wanawategemea majini katika shughuli zao.

Kuwafarakanisha mke na mume wake ni katika aina ya uchawi ambao majini waliwafundisha watu na majini wenyewe huwa wanafanya wenyewe.
Yapo majini ya kutengeneza pia.Jini ukufanyia Kazi uitakayo kwa malipo ya akitakacho jini.
 
Utakuta ushapigiwa sana lakini haujui tu, nimejaribu kuwaza tu
 
Huyu jamaa namfahamu, ni mjasiriamali mzuri sana, kitimoto yake tamu balaa, mke mzuri sana lakini ndio basi tena shetani kamkamata, yameisha hapo
 

Ndiyo tatizo la mtu mweusi akipata vijihela ulimwengu wote ni wake, isipokuwa wachache wanatambuwa thamani ya mtu/mumewe/mke
 
Mambo mengi ya nini mtu umeshaona hakuthamini sepa habari ya kuanza kujitia nuksi kisa mbususu inahusu?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nikweli Usemacho Mama...

Shida inaanzia hapo kwenye kuchukua Hatua, ...Tunatofautiana sana.


Mwanaume mwengine, unakuta yeye amempenda mwanamke mmoja tu.,Hataki nje ya mwanamke wake, anamjali,kumtunza ,yaan ile kujinyima ili mradii Mwanamke ang'ae.


Alafu ndo yanakuja mambo hayo....

Hawa wengi wao, Asipojiua, Anaua.
 
Unaweza kuta jamaa alikuwa anaingiza hela mara kumi ya mshahara wa huyo dada ila Wabongo walivyo weupe wanafikiri kila mtu TRA anapata mshahara wa ajabu kumbe kawaida tu. Mkisikia TRA au banker mnafikri kodi zote au zile bank deposits ni zao.
 
Pesa uleta matatizo mengi Sana kwenye ndoa ikipungua au ikiongezeka.
Filisika ujue tabia ya mkeo,subiri mume apate pesa ujue tabia yake kama alikuwa mshinda nyumbani ashindi home yupo bize,
Nguvu ya mwanaume ipo kwenye pesa kwa ulimwengu wa Sasa,ambapo thamani ya mtu ni pesa,huna pesa sahau kuhusu upendo, marafiki,undugu.
Ni watu wawili tu duniani hawatokuacha ukiwa huna pesa,ambao nao tukiwa na pesa tunawasahu,Yesu Kristo na mama yako mzazi wengine wote uvutwa kwako na kile watakachopata toka kwako.
 
Unaweza kuta jamaa alikuwa anaingiza hela mara kumi ya mshahara wa huyo dada ila Wabongo walivyo weupe wanafikiri kila mtu TRA anapata mshahara wa ajabu kumbe kawaida tu. Mkisikia TRA au banker mnafikri kodi zote au zile bank deposits ni zao.
Wafanyakazi wa bank ndio wanatia huruma hasa wale wa madirishani😅 ukimuona alivyoulambia unaweza sema jamaa ana hela kinyama😅!

Nafikiri kupendeza ni mojawapo ya code of conduct ukiwa mwajiriwa wa bank.
 
Kweli kabisa.., kuna jamaa juzi alikuwa analinganisha pesa na hekima nikamwambia ulimwengu wa leo utakushangaza sana 😅 hakuniamini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…