Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mwema 100% ndio maana wote tunakufa (mwili)...ila ukizidisha maovu ndio unazidi kupunguza muuda wa kuishi mbaya zaidi unakufa mpaka roho..Hii kauli ya mshahara wa dhambi ni mauti ina maana wema hawafi au?
Siyo kweli kwamba ukizidisha maovu ndiyo muda wa kuishi unapongua. Je watoto wanaokufa wakiwa wadogo, au wengine same day wanapozaliwa wana maovu gani?Hakuna mwema 100% ndio maana wote tunakufa (mwili)...ila ukizidisha maovu ndio unazidi kupunguza muuda wa kuishi mbaya zaidi unakufa mpaka roho..
Unachosema sawa, ila kujiloweka mpaka unapata watoto 4 na wanawake tofauti nayo inataka moyo...ukipungua kidogo unahisi tayari, miwaya [emoji38]...kwa kifupi life halina formula maalumu, ni kumuomba Mungu tu atusaidie.M naweza msinielewe
Kama una mpango wa KUOA sasa..
Itazame Dunia Kwenye Engo ya Utandawazi ..
Itazame kwenye Engo ya Maadili
Itazame kwenye Engo ya Ushetani.
Itazame kwenye Engo ya Uchaji Mungu.
Alafu jiulize, HUYO UNAYETAKA KUMUOA, ANAHOFU NA MUNGU??? ATAFANYA NYUMBA YAKO IBARIKIWE ???.
Ni Mara mia, Kuzalisha uwe na watoto wako hata wanne, wa wanawake tofauti..LAKINI SIO UBEBANE NA MFUPA ULOMSHINDA FISI.
Kwa Dunia ya sasa tuliyonayo, ambayo Suala la Uchaji Mungu linazidi kupotea, WATU hawana mpango na Mungu, WATU ni ushetani tuu.
UKIPATA KABINTI SIO KAZURI KWA SURA, WALA UMBO, LAKINI KANASWALI, KANASALI KWA MOYO WAKE WOTE, NA AKILI ZAKE ZOTE NA NGUVU ZAKE ZOTE ..KAOE CHAPCHAP.
Achana na minyama minyama hiyo ,mihips, mikalio, Ndoa sio mikalio, ndoa sio minyama, mihips.
Huwajui Majini kijana.Yapo majini ya kutengeneza pia.Jini ukufanyia Kazi uitakayo kwa malipo ya akitakacho jini.
Atakuwa zake Kenya sasa hivi, pale na Moshi ni pua na mdomo..Sema ataishi kwa kutangatanga sana.
Ibilisi akishakutumia ukaa pembeni kukucheka.
Nenda wewe kachunguze kupata uhakika
Hata akiishi ulaya amani atoipataAtakuwa zake Kenya sasa hivi, pale na Moshi ni pua na mdomo..
Ni kweli kabisaHuko Kwenye madhabahu wanavuana sana chupi ogopa sana watu wa dini hakuna chakuzama Wala kudumbukia ni usanii tu dini ni vichaka vya watu kutimiza malengo yao
Wapo wa aina nyingi kwa namna nyingiHuwajui Majini kijana.
Wana kauli chafu Sana tena mbele ya watoto hasa ukiwa huna pesa,na kama huna Mungu tegemea kuishi jela.Haya mambo ya mwanamke kumwambia mwanaume,
'Kama ww mwanaume kweli nipige uone mbwa ww huna lolote kitandani kwanza sifuri'.
Ndo matokeo yake hayo
Walokole wale mademu wa maombi nimewala sana. Alafu wanapumzi balaa hata upake mkongo wanahimili show yakibabe usiku kucha. Wanakauli yao kwa show hii uliyonipa nitakua kilasiku nikizidiwa nakuja kwako.Huko Kwenye madhabahu wanavuana sana chupi ogopa sana watu wa dini hakuna chakuzama Wala kudumbukia ni usanii tu dini ni vichaka vya watu kutimiza malengo yao
Waaache wapare wakwe zangu hao, kisangara mojerMzava aliteseka sana aisee mpare mwenzangu huyo😎 sipatii picha kama huyo mama nae alikuwa mpare wanawake wa kipare walivyo naviburi ujumlishe na kuwa ana pesa pia weee😇😇😇
Unaongea with experienceKama hujaoa , Weee kua nao wengi tu wakutosha ,na usiwapende kwa dhati.
Yaan usipende kiasi kwamba hata umkute analiwa nje hapo, Unajipitia zako kimya kimya.
Huyooooooo...Yann malumbano ?? Akili yake.... Papuchi yake[emoji23][emoji23]
Wewe ukiletewaa, Vaa ndomu pigaaa pigaaa, arudi kwake , siku isonge.
Mausenge sengee ,ohoooo Baby siwez ishi bila wewe..ohoooo baby wee ni Moyo wangu, ohoooo baby weee nikila kitu kwangu ...mamaeeee zako.
Unayempenda, naye anampenda mwingine, mwingine naye anampenda mwingine ,naye ana mwingine.
Umeupiga mwingi sana hapaM naweza msinielewe
Kama una mpango wa KUOA sasa..
Itazame Dunia Kwenye Engo ya Utandawazi ..
Itazame kwenye Engo ya Maadili
Itazame kwenye Engo ya Ushetani.
Itazame kwenye Engo ya Uchaji Mungu.
Alafu jiulize, HUYO UNAYETAKA KUMUOA, ANAHOFU NA MUNGU??? ATAFANYA NYUMBA YAKO IBARIKIWE ???.
Ni Mara mia, Kuzalisha uwe na watoto wako hata wanne, wa wanawake tofauti..LAKINI SIO UBEBANE NA MFUPA ULOMSHINDA FISI.
Kwa Dunia ya sasa tuliyonayo, ambayo Suala la Uchaji Mungu linazidi kupotea, WATU hawana mpango na Mungu, WATU ni ushetani tuu.
UKIPATA KABINTI SIO KAZURI KWA SURA, WALA UMBO, LAKINI KANASWALI, KANASALI KWA MOYO WAKE WOTE, NA AKILI ZAKE ZOTE NA NGUVU ZAKE ZOTE ..KAOE CHAPCHAP.
Achana na minyama minyama hiyo ,mihips, mikalio, Ndoa sio mikalio, ndoa sio minyama, mihips.
Bahati mbaya siku hizi hayo Magubeli yanashinda nyumba za ibada na kupretend kwamba ni memaHayo yote ili tuweze kufanikiwa kabla ya kupata mwenza ni kumshirikisha Mungu tu, kuanzia kumpata mahusiano mpaka ndoa, hizo hatua zote ukimshirikisha Mungu umefaulu sana.
Hapo alichemkaNdoa ni kipimo cha akili, Nyerere alikuwa hampi uongozi mtu asiye na ndoa
Upatikanaji wa taarifa ndio umekuwa rahisi, zamani watu walikuwa wanauana zaidi kuliko sasa.Inatakiwa sasaivi serikali iajiri sana watu wengi wa saikolojia wawe kila kata ikiwezekana moja ya kazi yao ni kutembelea kila nyumba na kuzungumza nao,mauaji ya kifamilia sasaivi yamekuwa mengi sana,juzi moshi mtoto kamuua mama,haya temeke jana napo mtoto wa kiume kamuua baba,na leo ni Baba kamuua mama,Allah atunusuru sana