Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea

Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea

Hakuna mwema 100% ndio maana wote tunakufa (mwili)...ila ukizidisha maovu ndio unazidi kupunguza muuda wa kuishi mbaya zaidi unakufa mpaka roho..
Siyo kweli kwamba ukizidisha maovu ndiyo muda wa kuishi unapongua. Je watoto wanaokufa wakiwa wadogo, au wengine same day wanapozaliwa wana maovu gani?
Itakuwa ni misinterpretation ya maandiko...
 
M naweza msinielewe

Kama una mpango wa KUOA sasa..

Itazame Dunia Kwenye Engo ya Utandawazi ..

Itazame kwenye Engo ya Maadili

Itazame kwenye Engo ya Ushetani.

Itazame kwenye Engo ya Uchaji Mungu.

Alafu jiulize, HUYO UNAYETAKA KUMUOA, ANAHOFU NA MUNGU??? ATAFANYA NYUMBA YAKO IBARIKIWE ???.

Ni Mara mia, Kuzalisha uwe na watoto wako hata wanne, wa wanawake tofauti..LAKINI SIO UBEBANE NA MFUPA ULOMSHINDA FISI.

Kwa Dunia ya sasa tuliyonayo, ambayo Suala la Uchaji Mungu linazidi kupotea, WATU hawana mpango na Mungu, WATU ni ushetani tuu.

UKIPATA KABINTI SIO KAZURI KWA SURA, WALA UMBO, LAKINI KANASWALI, KANASALI KWA MOYO WAKE WOTE, NA AKILI ZAKE ZOTE NA NGUVU ZAKE ZOTE ..KAOE CHAPCHAP.

Achana na minyama minyama hiyo ,mihips, mikalio, Ndoa sio mikalio, ndoa sio minyama, mihips.
Unachosema sawa, ila kujiloweka mpaka unapata watoto 4 na wanawake tofauti nayo inataka moyo...ukipungua kidogo unahisi tayari, miwaya [emoji38]...kwa kifupi life halina formula maalumu, ni kumuomba Mungu tu atusaidie.
 
Haya mambo ya mwanamke kumwambia mwanaume,

'Kama ww mwanaume kweli nipige uone mbwa ww huna lolote kitandani kwanza sifuri'.

Ndo matokeo yake hayo
Wana kauli chafu Sana tena mbele ya watoto hasa ukiwa huna pesa,na kama huna Mungu tegemea kuishi jela.
Hawana filters za kuchuja kauli chafu.
Kauli chafu ndio chanzo cha vifo vya wanawake wengi sana.
 
Huko Kwenye madhabahu wanavuana sana chupi ogopa sana watu wa dini hakuna chakuzama Wala kudumbukia ni usanii tu dini ni vichaka vya watu kutimiza malengo yao
Walokole wale mademu wa maombi nimewala sana. Alafu wanapumzi balaa hata upake mkongo wanahimili show yakibabe usiku kucha. Wanakauli yao kwa show hii uliyonipa nitakua kilasiku nikizidiwa nakuja kwako.
 
Mwanamke asiye na busara anapotema sumu means kauli chafu kwa mume kama huna kizuio ukaruhusu Yale maneno machafu yaingie moyoni mwako umekwisha.Yeye akitema sumu kwake ujiona ni nafuu madhara ni kwa anaetemewa sumu.
Madhara ya sumu ya mwanamke
1.Riziki kupotea kabisa nyumbani, malaika akai kabisa kwenye kelele
2.Ndo chanzo cha kupungua kwa nguvu za kiume.
3.wanaume kuwa walevi
4.magonjwa ya moyo, kupooza,pressure nk sababu ya sonona au sikitiko
5.Wanaume kuzikimbia nyumba zao.
6.Upunguza uondoa upendo kabisa
7.Vurugu na magomvi yasiyoisha.
Hata biblia inasema ni bora uishi pekee yako jangwani kuliko kuishi na mwanamke mkorofi.
All in all ukimpata mtu wa nyota yako umepata dhahabu.
 
Kama hujaoa , Weee kua nao wengi tu wakutosha ,na usiwapende kwa dhati.


Yaan usipende kiasi kwamba hata umkute analiwa nje hapo, Unajipitia zako kimya kimya.

Huyooooooo...Yann malumbano ?? Akili yake.... Papuchi yake[emoji23][emoji23]


Wewe ukiletewaa, Vaa ndomu pigaaa pigaaa, arudi kwake , siku isonge.


Mausenge sengee ,ohoooo Baby siwez ishi bila wewe..ohoooo baby wee ni Moyo wangu, ohoooo baby weee nikila kitu kwangu ...mamaeeee zako.


Unayempenda, naye anampenda mwingine, mwingine naye anampenda mwingine ,naye ana mwingine.
Unaongea with experience
 
M naweza msinielewe

Kama una mpango wa KUOA sasa..

Itazame Dunia Kwenye Engo ya Utandawazi ..

Itazame kwenye Engo ya Maadili

Itazame kwenye Engo ya Ushetani.

Itazame kwenye Engo ya Uchaji Mungu.

Alafu jiulize, HUYO UNAYETAKA KUMUOA, ANAHOFU NA MUNGU??? ATAFANYA NYUMBA YAKO IBARIKIWE ???.

Ni Mara mia, Kuzalisha uwe na watoto wako hata wanne, wa wanawake tofauti..LAKINI SIO UBEBANE NA MFUPA ULOMSHINDA FISI.

Kwa Dunia ya sasa tuliyonayo, ambayo Suala la Uchaji Mungu linazidi kupotea, WATU hawana mpango na Mungu, WATU ni ushetani tuu.

UKIPATA KABINTI SIO KAZURI KWA SURA, WALA UMBO, LAKINI KANASWALI, KANASALI KWA MOYO WAKE WOTE, NA AKILI ZAKE ZOTE NA NGUVU ZAKE ZOTE ..KAOE CHAPCHAP.

Achana na minyama minyama hiyo ,mihips, mikalio, Ndoa sio mikalio, ndoa sio minyama, mihips.
Umeupiga mwingi sana hapa
 
Hayo yote ili tuweze kufanikiwa kabla ya kupata mwenza ni kumshirikisha Mungu tu, kuanzia kumpata mahusiano mpaka ndoa, hizo hatua zote ukimshirikisha Mungu umefaulu sana.
Bahati mbaya siku hizi hayo Magubeli yanashinda nyumba za ibada na kupretend kwamba ni mema

Subiri umvalishe Pete ya ndoa ndio utaona

Wahanga wengi siku hizi ni wanaume
 
Inatakiwa sasaivi serikali iajiri sana watu wengi wa saikolojia wawe kila kata ikiwezekana moja ya kazi yao ni kutembelea kila nyumba na kuzungumza nao,mauaji ya kifamilia sasaivi yamekuwa mengi sana,juzi moshi mtoto kamuua mama,haya temeke jana napo mtoto wa kiume kamuua baba,na leo ni Baba kamuua mama,Allah atunusuru sana
Upatikanaji wa taarifa ndio umekuwa rahisi, zamani watu walikuwa wanauana zaidi kuliko sasa.
 
Back
Top Bottom