Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Why we uoni wahuni wa Magu walivyoborongaHapo alichemka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why we uoni wahuni wa Magu walivyoborongaHapo alichemka
Si wametupeleka uchumi wa Kati lakini? Au IMF na WB walimuogopa Magu hadi wakaamua watudanganyeWhy we uoni wahuni wa Magu walivyoboronga
Kesha vuka Namanga, bila Interpol kumpata ni kazi.Wivu wa mapenzi, mkiambiwa mtulie na mme mmoja hamtaki. Ila huyo mwanamme mshenzi asakwe popote alipo afikishwe kwenye vyombo vya sheria kujibu tuhuma zinazomkabili..
Mungu yupo kila mahala lakini uharifu unatendeka kila siku, kwa nini? Amezidiwa?Hayo yote ili tuweze kufanikiwa kabla ya kupata mwenza ni kumshirikisha Mungu tu, kuanzia kumpata mahusiano mpaka ndoa, hizo hatua zote ukimshirikisha Mungu umefaulu sana.
Rudisha avatar picha yako unapiga pushep kifua wazi na earphonesStop paying attention to them and you will never count them many.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unasema Felician huoni Idugunde the witch bado anaendelea kudunda tuSio kweli. Kuna kina felician kabuga walioagiza makontena ya mapanga kwa akili ya mauaji ya watutsi rwanda.. wana roho mbaya mpaka shetani wanaogopa. Ila mpaka leo wapo hai na miaka karibu 100
Huwa Serikali Haishindwi kitu Mkuu...
Mke Hujazaliwa nae,Hata Kama Kakuzaliwa watoto sijui eti Unefunga nae ndoa sasa Jamaa Ataenda Kuozea jela!
Polisi Haishindwi kujua Ukweli kaka,
Ndio Jamaa Mwanaume na wwngine Kama yeye wanaojifanya Wana Uchungu Kama Vile Huyo Mama Ni Mali yao,Na Wao ndio wamemzaa na Kumuumba!
Lazima Kiwatokee Kitu....
Mark my words.
Wana JF,
Mama mmoja mke wa mzee maarufu wa Kiti Moto ya kwa Mzava, amekutwa amefariki na damu zimetapataa sakafuni. Haijulikani chanzo kilichopelekea kifo chake.
Baada ya kifo, mme hapatikani kwenye simu yake, gari la mme limekutwa limetelekezwa getini na halijafungwa. Huyu mama alikuwa mfanyakazi wa TRA Samora karibu na Salamander.
Mzava ni mtu maarufu kule Bunju kwa utaalam wa kupika kitimoto ambaye awali alikuwa wanafanya kiti moto Ubungo shekilango dagaadagaa.
Mama anaitwa Irene Mzava, alihamishwa kutoka TRA Temeke, akaletwa Tegeta. Wanyetishaji wanadai, waliandaa safari kwenda Moshi saa tisa. Lakini safari ikageuka shubiti, baba anaonekana alimpiga na kitu kizito ikawa ndio mwisho.
Baba akaenda baa akawaomba wahudumu wampatie mauzo ili apelekwe mgonjwa hospital, basi akafika getini na kutelekeza gari, akaingia ndani katoa gari jipya aina Toyota Harrier new model 2015 inaitwa matako ya nyani, gari ilikuwa full tank kwa ajiri ya safari na imepakia vitu, baada ya mauaji akaipiga mogul mpaka Moshi inawezekana alifika saa 11, akaitelekeza gari mpya na kutokomea. Yeye na mke wake ni majuzi walitoka kwenye msiba wa mama wa mauaji. R.i.P Mama Irene Mzava.
Nakubaliana na wewe 100%. Mkewangu angekuwa peke yake kuna hatari yangenikuta kama unayoyasema. Lakini nikampandisha cheo akawa bi mkubwa na nikahakikisha kila rafiki yake wa karibu namla kwa gharama yeyote na juzi nimemla mdogo wake mmoja mtam balaa na nimefanikiwa mwenzenu sina hata stress kabisa. Kwa nini upate shida ya kutafuta kesi ya mauaji? Hapa nilipo najisikia nipo draw na yeye. Anafikiri ananizidi kumbe nimemzidi kila anachokifanya naambiwa matokeo kaniambia mimi mchawi.😀😀😀😀😀Naona sheria ya kuoa wanawake wengi iruhusiwe tu kunusuru wanaume wasiue mwanamke akiwa mmoja na akapata dodge kukuzidi umekwisha, utafanyiwa vituko mpaka pombe ardhi ikumeze
Mimi haku
Asante mkuuUnaongea with experience
Shukran asee chalyanguUmeupiga mwingi sana hapa
Njoo nikuoe mimi huyo nguseroh ataenda kukutesa bure huko ulayaMimi haku
Ni habari ya muda tu ikiwa ndataz watamaanishaKesha vuka Namanga, bila Interpol kumpata ni kazi.
Bora alivyofanya ili wanawake wengine wakae kwa akiliHuyu baba angemwacha tuu huyo mke wake kuliko hili balaa alilozua
Lala salama Irene
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ehSumbawanga huko kna mme kamkata mke wake maskio yote mawili kaondoka nayo
Mme anasema mke alikuwa hasikii
Ova
Bora alivyofanya ili wanawake wengine wakae kwa akili
Fresh tu ila wana huku kitaa katuacha poa sana maana wanawake wazinguaji watapunguaYeye mwenyewe ataenda kukaa kwa akili kule Segerea
Fresh tu ila wana huku kitaa katuacha poa sana maana wanawake wazinguaji watapungua