Sio wote lazima tuue, mwana kashatuwakilishaNa wewe kaue ili somo lieleweke zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wote lazima tuue, mwana kashatuwakilishaNa wewe kaue ili somo lieleweke zaidi
Mkuu hizi details umezipataje?Wana JF,
Mama mmoja mke wa mzee maarufu wa Kiti Moto ya kwa Mzava, amekutwa amefariki na damu zimetapataa sakafuni. Haijulikani chanzo kilichopelekea kifo chake.
Baada ya kifo, mme hapatikani kwenye simu yake, gari la mme limekutwa limetelekezwa getini na halijafungwa. Huyu mama alikuwa mfanyakazi wa TRA Samora karibu na Salamander.
Mzava ni mtu maarufu kule Bunju kwa utaalam wa kupika kitimoto ambaye awali alikuwa wanafanya kiti moto Ubungo shekilango dagaadagaa.
Mama anaitwa Irene Mzava, alihamishwa kutoka TRA Temeke, akaletwa Tegeta. Wanyetishaji wanadai, waliandaa safari kwenda Moshi saa tisa. Lakini safari ikageuka shubiti, baba anaonekana alimpiga na kitu kizito ikawa ndio mwisho.
Baba akaenda baa akawaomba wahudumu wampatie mauzo ili apelekwe mgonjwa hospital, basi akafika getini na kutelekeza gari, akaingia ndani katoa gari jipya aina Toyota Harrier new model 2015 inaitwa matako ya nyani, gari ilikuwa full tank kwa ajiri ya safari na imepakia vitu, baada ya mauaji akaipiga mogul mpaka Moshi inawezekana alifika saa 11, akaitelekeza gari mpya na kutokomea. Yeye na mke wake ni majuzi walitoka kwenye msiba wa mama wa mauaji. R.i.P Mama Irene Mzava.
Kipindi hicho, Sasa ivi ndoa ni big risk kwa mwanaume yaani kuoa ni jambo la hatar sana kwa mwanaumeNdoa ni kipimo cha akili, Nyerere alikuwa hampi uongozi mtu asiye na ndoa
Utajua mwenyewe za ukiambiwa hongeza za kwakoMkuu hizi details umezipataje?
Kuna details za mashuhuda wa tukio lakini hizi ni kama involved na tukio
HahahaahhahaNjoo nikuoe mimi huyo nguseroh ataenda kukutesa bure huko ulaya
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ohoo! Mkuu, weka heshima bana, penzi nono haliangalii kopato!Yani Mama TRA Mzee Mpishi wa kitimoto? Mauaji Ni Lazima!
[emoji23][emoji23][emoji23] ulaya siendi, staki shida za kwenda kupauka hukoNjoo nikuoe mimi huyo nguseroh ataenda kukutesa bure huko ulaya
Kuachana ni mbaya sana kunaathiri Sana watoto ila ni afadhali kuliko kuuana.
Lakini kama ulikosea kuoa utafanyaje? Maana sumu za wanawake ni hatari utakufa siku si ko.
Uzoefu nilionao.Mke mfanyakazi tra mume anapika kitimoto. Mme atakua alivumilia mengi hadi vikafika mwisho
Hivi birthday ya shetani lini?Yesu alitenda mema mbona alikufa below 40.
Shetani anatenda mema mbona Hadi Sasa hafi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora alivyofanya ili wanawake wengine wakae kwa akili
Ilitokea. Ila kwa kesi hii, jamaa yangu kwa kuwa alikuwa mnyenyekevu sana na asiyependa makuu, alifungasha virago na kurudi kwao. Inahuzunisha!
[/QUOTE
Bora sana na Mungu atambariki kadiri ya mapenzi yake.
Kuhukumu na usengenyaji nazo.Mkuu kama ulikua haujui dhambi kuu ya walokole ni uzinzi na uasherati...amini kwamba...