Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea

Mkuu hizi details umezipataje?

Kuna details za mashuhuda wa tukio lakini hizi ni kama involved na tukio
 
Inatisha mnoo... Dada mmoja nae kafanya hivyo huko wapi sijui... Kamuua mumewe kwa maji ya moto na petroli...

What is happening!??
 
Kuachana ni mbaya sana kunaathiri Sana watoto ila ni afadhali kuliko kuuana.
Lakini kama ulikosea kuoa utafanyaje? Maana sumu za wanawake ni hatari utakufa siku si ko.

Mke mfanyakazi tra mume anapika kitimoto. Mme atakua alivumilia mengi hadi vikafika mwisho
Uzoefu nilionao.
Inawezekana wakati wanaoana, mume alikuwa na kipato kizuri tu, na huenda ndiye aliyemfanyia mipango akapata hiyo kazi.
Muda umesonga, mambo yamebadilika.
Mume ameisha wekeza( labda nyumba, mashamba, nk).
Mume, sehemu aliyokuwa kumeharibika, hana alternative! Mke sasa ana kipato, jeuri, na pengine jeuri imeambukiza mtoto. Baba anadharauliwa, mpaka mezani akichelewa anakuta makombo, hakuna ile heshima ya kuwekewa chakula chake.
Hana pa kwenda. Hana jinsi. Akijaribu kuomba msaada kutoka kwa mkewe, hapewi, kufokewa mtindo mmoja!

Ilitokea. Ila kwa kesi hii, jamaa yangu kwa kuwa alikuwa mnyenyekevu sana na asiyependa makuu, alifungasha virago na kurudi kwao. Inahuzunisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…