Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea

True ishu ya kipato
 
Mjuba kaona sio swala bora amfyeke fyeke tu akaliwe na funza huko kwa adabu maana kashindwa kuliwa na binadamu kwa adabu!
 

Yani Mama TRA Mzee Mpishi wa kitimoto? Mauaji Ni Lazima!
 
Haya mambo ya mmoja jela mwingine mochwali siyo poa kabisa bora umwachie nyumba kaanze upya.
Watoto wakimtaka baba watamuona wakimtaka mama yupo watampata.
Kuliko hii ya mmoja jela na mwingine mochwali inaaribu kabisa future ya watoto.
 
Acha niwe bachela,sintooa maana HAKUNA machela anaekufa kwa mapenzi,mapenzi yanaua
 

Sio kweli. Kuna kina felician kabuga walioagiza makontena ya mapanga kwa akili ya mauaji ya watutsi rwanda.. wana roho mbaya mpaka shetani wanaogopa. Ila mpaka leo wapo hai na miaka karibu 100
 
Bado zamu yako, we si unajitambaga kule kwenye uzi wa kula tunda kimasihara. Endelea kutembea na wake za watu
 
Mmh
 
Hayo yote ili tuweze kufanikiwa kabla ya kupata mwenza ni kumshirikisha Mungu tu,kuanzia kumpata mahusiano mpaka ndoa izo hatua zote ukimshirikisha Mungu umefaulu sana
True mkiwa watu wa maombi shetani hawezi wavuruga.
Nilicheck ushuhuda wa mganga mstaafu alisema walikuwa wakiyatuma majini yakafarakanishe ndoa moja linaingia kwa mme jingine mke kisha wanayagombanisha ugomvi unalipuka kwa kitu kidogo tu kitokeacho mapigano,ulemavu,vifo,nk then yakishaondoka wahusika ujutia.
Shetani ataki kabisa ndoa
 
SAHV KUNA MENTALITY IMEJENGEKA
KAMA HUNA KIPATO, PESA ETC HUWEZI ISHI NA MWANAMKE,
UTAKUTA WANAUME WANATUMIA NGUVU KUBWA YA PESA KUWA IMPRESS WAKE ZAO
WANAOISHI NAO HAPO SASA UTAKUTA MWANAMKE HATA UMPE NINI YEYE BADO HANA FEELINGS NA WEWE
SIKU MWANAUME UKISHTUKA KAMA UNA MOYO MWEPESI NDIYO UNAJIKUTA UNAFANYA MAMBO YA AJABU KWAKE

OVA
 
Evo.. point tupuuu
 
Maneno kuntu sana
 
Mpenzi, mbona umejampu tu konklusheni wakati hata stori haijakamilika

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…