Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea

Hii Hoja Yako naipinga hao watu wakushinda kanisani ni wabaya sana Kuna kipindi nikiwa Chuo Kuna mdada alikuwa amezama sana kwenye neno na alikuwa na mchumba wake huko mkoa mwingine ambaye alikuwa kikazi na huyo mchumba wake alikuwa ameshika neno huwezi amini yule mdada nilikua nikimla Hadi Mda mwingine anakuja tunalala Hadi asubuhi kwao wanajua Yuko mkesha wa maombi imagine demu anakuja na bible geto hii Dunia iache tu, Hadi walivyo oana ndiyo penzi likawa limeisha coz alienda kuishi Kwa mme wake mkoani
 
Mpenzi, mbona umejampu tu konklusheni wakati hata stori haijakamilika

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
My Love,, Mwanaume atavumilia yote yampayo jaziba.


Lakini kwenye suala la Usaliti, suala linalogusa Hisia zake, Heshima yake kama Mume.


ATAKUFANYIA KITU MBAYA KAMA HANA MOYO MGUMU.
 
Mimi hao walokole nawala sana na vile napiga kinanda kwenye kwaya
 
Nyege ni nyege tu, haina mbadala. Pia maisha hayana formula.
 
Huyo alikuwa msanii hajazama kwenye neno kama unavyodai

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuuu unachosema nikweli, Mimi nasemea Mwanamke anayeswali/kusali kwa Moyo wake wote, yaaan yule anayefanya hayo sababu anajua Maisha yake ni Mwenyezi Mungu, kwamba kila kilicho chake ni kwasababu ya Mungu.


Mdau mmoja kasema,naili umpate huyo lazima nawewe umshirkishe Mungu.



Nikweli uliowazi, saizi kuna watu wanaficha maovu yao kupitia Dini., wengine wanaenda kwa sababu ndio Tumaini lamwisho lilobakia.
 
Huko Kwenye madhabahu wanavuana sana chupi ogopa sana watu wa dini hakuna chakuzama Wala kudumbukia ni usanii tu dini ni vichaka vya watu kutimiza malengo yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…