Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea

Nani alikudanganya hofu ya mungu sijui inasaidia chochote? It doesnt
 
Tupen kapicha ka Irene enzi za uhai wake kanaweza kutupa picha halisi na sababu ya kuuwawa
 
Utaichana vipi nyama ya hamu
 
Wanawake wa TRA inaonesha ni malaya sana😂 kuna pepo mchafu katika zile ofisi hasa mke akiwa tamaa tamaa
 
Just imagine umetoka zako ofisini ulikua na vikao na wafanyabihashara wakubwa wanaoagiza bidhaa mbalimbali nchi za nje, unafika getho unamkuta mke/mme kachoka na ananukia harufu na marashi ya kitimoto??
Mzava aliteseka sana aisee mpare mwenzangu huyo😎 sipatii picha kama huyo mama nae alikuwa mpare wanawake wa kipare walivyo naviburi ujumlishe na kuwa ana pesa pia weee😇😇😇
 
Sure huo utofauti ulimfanya mwanaume ajione sio mwanaume kamili. In short muuza kitimoto aliolewa
Dah matusi haya 😅

Sema tu wanawake huwa hamjui kubalance mapenzi yenu. Mwanaume ukimsikiliza mbona mnaenda sawa tu ila shida ni pale mnaanzaga umalaya na dharau kisa una mshahara mkubwa na mapesa.

Jamaa itakuwa aligundua mkewe anachit na alishaanza kumletea madharau yani..Anyways naskia wanawake wa huko TRA wanaliwa sana na wafanyabiashara wakubwa kubwa wale.
 
Sana sana sana, hasa kipindi cha yule mzee cheupe dawa mvaa miwani, ni sodoma na gomorah TRA
 
Hapo sasa?! Kama siyo kumalizia maisha Segerea, kisa papuchi ambayo hujazaliwa nayo?! Mihemko tu mwisho majuto.
Bora kuwa malaya tu mi nikijua mke wangu kashaanza umalaya nje ya ndoa nakuwa malaya mara 3 yake😅 na wala sijali huku naandaa exit plan tu au tunatengana tu kila mtu alale chumba chake wakati tuna co-parent!
 
Sana sana sana, hasa kipindi cha yule mzee cheupe dawa mvaa miwani, ni sodoma na gomorah TRA
Mzava aliteseka sana aisee mpare mwenzangu huyo😎 sipatii picha kama huyo mama nae alikuwa mpare wanawake wa kipare walivyo naviburi ujumlishe na kuwa ana pesa pia weee😇😇😇
Nina jirani yangu dada yako wa kipare, si utani ana hekalu, ila bro ni mkorofi kuliko da mange! Alipohamia nilimwangalia na kudai atapatikana tu, nilimchapa matako kwa mikono usiku kucha kwenye local pub yetu, aise anamuendesha mme wake ile mbaya, jamaa ni Marine Engineer aliyebobea mpaka kuitwa Dr ila kwa dada wa kipare hafurukuti kabisa, na sisi majirani wa kiume hayatuhusu, mme ni kutoka Tanga, yuko peace ile mbaya pamoja na senti alizonazo, ila thats life bro
 

Atashikwa mapema Sana; ukitaka kukumbia; chukua Ka rasket, beba jeans 2, Shati 3, hela nyingi.

Simu tupa kabisa, wala Gari hapana, acha; panda daladala Kama watokea Bunju, nenda Stand wa Mzezi, panda Gari ya Morogoro vijijini, kalime vibarua huko.

Wewe unakaa Kilimanjaro unaenda Kilimanjaro kweli? Haifai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…