Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea


Hemu waza tu, watu wanaenda Moshi full tank; Ila Mzee Hana hela anaenda Omba mauzo?

Jaman wanawake wakiwa Na hela Ni wanyanyasaji Sana, Kama huna hela wewe ishi Man alone!

Hakuna mwanamke anayevumilia Fala asiye Na hela; Huyo alishakufa siku nyingi Sana; mwanaume = Hela
 
Yesu alitenda mema mbona alikufa below 40.

Shetani anatenda mema mbona Hadi Sasa hafi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Huu ndio ukweli wanawake wanatakiwa wajue mwanaume atasamehe dhambi zote lkn sio kusalitiwa
Kusalitiwa ni sawa na kuvunjiwa heshima, ukimsamehe mwanamke alikusaliti lazima atarudia tu
 
Hahahahahah kwahio uliishi nae😅 dhambi mkuu!!! Hao watu ni dada zangu ila kwamie hapana😅
 
Umshukuru Mungu kama hakuliwa au aliliwa alikulindia heshima yako shukuru ukweli ni huu hata ungejua usingefanya chochote
 
Huyu mama si yule aliyekuwa na majibu ya hovyo hapo TRA Kibo? Kaunta ya upande wa pili wa main office?
 
Nawe uwe shahidi
 
Utengano wa mda unaruhusiwa pale amani inapokuwa imetoweka nyumbani waweza kaa mbalimbali kwa muda ili kujipa mda wa kutafakari ktk maisha ya mwanadamu kuna kipindi cha ukengeuko yaani shetani kuitawala ndoa.Shetan akishaondoka mnarudiana maisha yanaendelea kwa faida ya watoto.
Hata wengi baada ya kutengana wakifika utu uzima ujutia Sana maamuzi yao sema ndo hivyo KILA mmoja unakuta tayari ana maisha yake.
Furaha ya ndoa ni kwenye utu uzima ndo utaona umuhimu wake.
 
Best comment with best contents ..agreed 100%
 
Sio kweli. Kuna kina felician kabuga walioagiza makontena ya mapanga kwa akili ya mauaji ya watutsi rwanda.. wana roho mbaya mpaka shetani wanaogopa. Ila mpaka leo wapo hai na miaka karibu 100
🤣🤣🤣🤣
 
Mkuu wewe umeacha kuwala kimasihara [emoji3]
 
Mwanaume asiye jiamini huwa ni janga haheshimiki habebeki hata ukimukosea jambo lolote lile la kibinadamu atajua unafanya makusudi kisa umemzidi kipato, hata ukicheka kwa furaha atajua una mudharau kisa umemzidi elimu au kipato
 
Hakuna Mwanadamu anaye weza kumtuma Jini bali waganga wanawategemea majini katika shughuli zao.

Kuwafarakanisha mke na mume wake ni katika aina ya uchawi ambao majini waliwafundisha watu na majini wenyewe huwa wanafanya wenyewe.
 
Hahahaha hivi we mwanamama unacheza na nyege nini? Nyege ni kitu cha ajabu sana yani haina cha kushika neno wala nini mama mchungaji mwenyewe unaweza ukampandisha mizuka na ukamtafuna haswa!
Kwani mama mchungaji umeambiwa ndio amekabidhiwa ufunguo wa mbinguni? Kuna wamama wachungaji wengine makahaba tu hamna cha neno wala wazo. Huu mwili umeumbwa na Mungu na yeye hawezi kushindwa kuudhibiti

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…