Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
"Kumwagiwa wese"![emoji848]IJUMAAAA IJUMAAAA
KUNA MAOMBI YA KUONDOA NUKSI BALAA LAANA MIKOSI KWA KUHANI MUSA RICHARD MWACHA
NENDA UKAMWGIWE MAFUTA UONDOE HIO LAANA KIINGILIO BURE
....SO SAD SIKUHURUMII WEWE NAHURUMIA WANAO KAMA UMEBAHATIKA KUPATA
Hilo ndo swali la msingi analotakiwa ajiulize mtu mwenye akiliSababu ya kutompenda nini? Kwanza tuanzie hapo.
Ulipanda mbegu ya chuki matokeo yake ni majuto yasiyo na kikomo, Nakushauri utubu ili Mungu akuondolee huo mzigo wa majuto, hapo amani ya moyo itarejea na utakuwa free.Habarini za asubuhi wana MMU poleni na majukumu ya kujenga taifa na familia kiujumla.
Kijana wenu nimekuja hapa mbele yenu sijui nahitajI ushauri ama nahitaj nini ila ntafurahi kama ntarejesha amani ya moyo na akili yangu.
Ni hivi mama yangu mzazi alikufa huku akitambua kua mimi mwanae simpendi na kweli sijawahi kumpenda. Kinachoniuma nilishindwa kulificha hili nilimuonesha moja kwa moja so hadi anakata roho alijua fika simpendi.
Kuna muda nikikaa huwa naona nilikosea sana kumuonesha chuki yangu na hili kosa huwa nalijutia sana. Kila siku nawaza namna ya kujisawazisha ila nakosa majibu.
Naombeni ushauri au maelekezo yoyote yanaweza rejesha amani ya moyo wangu.
Natanguliza shukrani.
hili ndio swali kubwa la muhimu alupaswa kuulizwaAlikukosea nini adi ukamchukia kiasi hicho
Maskini Mama! hakika alifariki kifo cha mateso sana, kama mzazi kujua mtoto uliyemuweka tumboni miezi 9 na kumtoa kwa uchungu wa kuliona kaburi anakuchukia!!! dooh! aliishi kwa mateso sana, [emoji26]
Nijuacho mzazi siku zote hawezi kuweka kinyongo kwa mwanae, alikusamehe kabla hajafa ni muda wa wewe kujisamehe na kuishi maisha yaliyo bora bila kuweka vinyongo vinavyounda roho chafu.
Ila usisahau kitu kinachoitwa KARMA
Dah! Ni kweli aiseeBinadamu sio mkamilifu,kuna muda anakosea
Mzazi hakosei kivipi?ama mzazi tunamtoa kwenye kundi la binadamu?
Wazazi wanazinguaga kinyama tu,wewe sema hatutakiwi kuwa na chuki kama ya mleta mada
Wazazi nao huwa wanatukosea, ww kama mzazi ifikie hatua umemuona mtoto kakosea muite kistaarabu umkanye atakuelewa sio kumuoneshea chuki hadi ajue unamchukia.Jisamehe mwenyew kwanza then usirudie Hilo Kosa wamama maranyingi hawajuagi kama hatuwapendi Bali wanatuchukuliaga kama watoto watukutu na wasumbufu tu ndo maana tunafanya makosa mengi na still Bado wanatubeba na kutuhesabu kama watoto wao
Omba Mungu akusamehe na muombee mama Yako Mungu amrehemu
We acha tu, mi sina baba wala mama ila nimelekewa na babu, yaani japo amenilea tangu mdogo alikuwa ananichukia na kila nikifanya kitu kumridhisha naonekana mbaya anataka anyenyekewe, yaani mara ajiite ye ni Mungu wangu. Nikipata likizo unaenda kwa babu unamnunulia kila kitu ndani unamuacha hata na 50000 lakini bdo analeta makasiriko yaani kunawazazi hovyo sana mara kunakipindi nimeajiriwa anataka tugawane mshahara [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani kuna wazazi wanatakaga kuabudiwa kama miungu!
Yani inazidi heshima! [emoji848][emoji848]
Bahati nzuri Neno la Mungu limekwisha kuonya kuwa :
“ Enyi wazazi msiwachokoze watoto wenu”
Mungu alijua kutakuwa na wazazi wachokozi kwa watoto wao!
Na laana isiyo na sababu haimpati mtu!
Imeandikwa!
We acha tu, mi sina baba wala mama ila nimelekewa na babu, yaani japo amenilea tangu mdogo alikuwa ananichukia na kila nikifanya kitu kumridhisha naonekana mbaya anataka anyenyekewe, yaani mara ajiite ye ni Mungu wangu. Nikipata likizo unaenda kwa babu unamnunulia kila kitu ndani unamuacha hata na 50000 lakini bdo analeta makasiriko yaani kunawazazi hovyo sana mara kunakipindi nimeajiriwa anataka tugawane mshahara [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
binamu yangu alitaka kudanganywa na wapambe baada ya kupata visenti,akaanza visa na mama yake yaliyomkuta hatisahau alirudi sifuriii yaani ile sifurii.Kama baba angu mkubwa vile alikua hapatani na mama ake mpaka anaumwa akalazwa hadi umauti ulipomfika
Hadi kwenye mazishi ya mama yake akawa analeta makwazo na makasiriko yake
Maisha yake kwa sasa hana amani ,mtu wa kufoka ovyo ovyo na mahasira ya ajabu ajabu
Mke alikufa ,mtoto yupo shule ,watu wa Karibu alokua anaishi nao wameondoka hapo nyumbani yani yupo mwenyewe nyumba nzima amekua mpweke mno
Uchumi umeyumba si kama mwanzo
Akilala usiku anapiga kelele kelele tu ukimuuliza shida nini anasema ni ndoto za ajabu ajabu anaota
Kwa ufupi hana amani ya maiaha
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mkuu inaonekana una matatizo mengi yanayokusibu na kukuumiza moyo lakini unayaficha hiyo itakufanya uwe mtu wa huzuni maisha yako yote.mpaka kufikia kujiita hivi ubongo umeshakiri kwamba niko hivo yaani mikosi hainiishi
sasa kama ni mambo ya kifamilia, nahisi familia ingekuwa nzr zaidi kukushauriNi mambo ya kifamilia mkuu