Mama yangu alifariki huku akijua simpendi

Halafu Mwanaume ukioa mwanamke mchawi basi ujue upo wanted wakati wowote kupotezwa mazima!

Sijui huwa ni Kwanini wanawake wachawi wengi huwa ni wajane!

Sijajua kwa wachawi wanaume je nao wanatabia ya kuua wenza wao?!
 
Kama Kuna jambo baya alifanya hadi ikasababisha wewe kumchukia basi chuki yako ndo kitu sahihi kilikua kinamstahili huna cha kujutia
 
Hua lazima inakuja kubounce back hata kizazi chako cha 3..itatokea kuna mtotto nayr hatampenda mamake had anakufa...itakua hivyo hivyo had mwisho wa dunia..so sad
 
IJUMAAAA IJUMAAAA

KUNA MAOMBI YA KUONDOA NUKSI BALAA LAANA MIKOSI KWA KUHANI MUSA RICHARD MWACHA
NENDA UKAMWGIWE MAFUTA UONDOE HIO LAANA KIINGILIO BURE

....SO SAD SIKUHURUMII WEWE NAHURUMIA WANAO KAMA UMEBAHATIKA KUPATA
"Kumwagiwa wese"![emoji848]
 
Ulipanda mbegu ya chuki matokeo yake ni majuto yasiyo na kikomo, Nakushauri utubu ili Mungu akuondolee huo mzigo wa majuto, hapo amani ya moyo itarejea na utakuwa free.
 

DAH KUMCHUKIA MAMA NI HASARA HAPA DUNIANI

Niliwahi shuhudia jamaa yangu wa karibu anakuja kwa huku analia. Nilipomuuliza why? Akasema tabia za mama sizipendi kabsaa.
Nikamwambia atulie. Mama ni mama tu hata akiwa mchawi. Nikamshauri amuheshimu lkn ajipe muda wa kufanya mambo yake kuliko kufuatilia mambo ya kifamilia.
 
Binadamu sio mkamilifu,kuna muda anakosea

Mzazi hakosei kivipi?ama mzazi tunamtoa kwenye kundi la binadamu?

Wazazi wanazinguaga kinyama tu,wewe sema hatutakiwi kuwa na chuki kama ya mleta mada
Dah! Ni kweli aisee
 
Wazazi nao huwa wanatukosea, ww kama mzazi ifikie hatua umemuona mtoto kakosea muite kistaarabu umkanye atakuelewa sio kumuoneshea chuki hadi ajue unamchukia.
 
We acha tu, mi sina baba wala mama ila nimelekewa na babu, yaani japo amenilea tangu mdogo alikuwa ananichukia na kila nikifanya kitu kumridhisha naonekana mbaya anataka anyenyekewe, yaani mara ajiite ye ni Mungu wangu. Nikipata likizo unaenda kwa babu unamnunulia kila kitu ndani unamuacha hata na 50000 lakini bdo analeta makasiriko yaani kunawazazi hovyo sana mara kunakipindi nimeajiriwa anataka tugawane mshahara [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
only God can fix what make you suffer.

you know how..?
 


Pole mwaya stahamili maana yana mwisho na kwako utakuwa mwisho mzuri, InshaAllah!

Isipokuwa wakati mwingine uwe unaongea nae kumueleza ukweli.

Usimuogope mtu awaye yoyote.

Wakuogopwa ni Mwenyezi Mungu pekee ,

Wanadamu tunaheshimiana.

Amekuona muoga sasa anakutawala!

Tafuta muda kaa nae Penye utulivu mpe ukweli muhimu usimtukane maana ni kosa na ni jinai.

Mpe misimamo yako,

Mwambie wewe bado unapambana huna kikubwa sana muhimu akuombee upate kingi.

Mwambie wewe ni wewe na una maisha yako binafsi na unahitaji kujikimu na future.

Nakwambia atakuheshimu na kukuogopa na atakuomba hela kwa adabu na itakuwa hiyari yako kumpa Au kutompa.
 
watu wote wajue ukiona mzazi anafanya vitu siyo kwako basi yakubidi umchukulie kawaida inawezekana ni suala la psycholojia
trust me kuna mda anajuta jinsi anavyokutreat ila baadae anasahau na kurudia yaleyale
 
binamu yangu alitaka kudanganywa na wapambe baada ya kupata visenti,akaanza visa na mama yake yaliyomkuta hatisahau alirudi sifuriii yaani ile sifurii.
na sasa mama yake huyohuyo ndo alikuja kumsaidia
 
mpaka kufikia kujiita hivi ubongo umeshakiri kwamba niko hivo yaani mikosi hainiishi
Mkuu inaonekana una matatizo mengi yanayokusibu na kukuumiza moyo lakini unayaficha hiyo itakufanya uwe mtu wa huzuni maisha yako yote.
Hakuna tatizo jipya chini ya jua,tatizo lolote linalokusibu fahamu ya kwamba kuna watu walishapitia na wana uzoefu wa kutosha humu ndani ya jukwaa.
Weka wazi usaidike ndugu.
 
Ni mambo ya kifamilia mkuu
sasa kama ni mambo ya kifamilia, nahisi familia ingekuwa nzr zaidi kukushauri

hapa hutaki kusema na inakuwa ngumu sisi kukushauri

maana huenda alistahili hilo ulilomfanyia au hakustahili tutujuaje sasa

nawaza kwa sauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…