Mama yangu alifariki huku akijua simpendi

Mama yangu alifariki huku akijua simpendi

Ukitaka uone Dunia chungu penda kuwawekea vinyongo na chuki watu waliotangulia mbele za haki kiufupi msamehe tu na wew ipi siku utalamba tu mchanga why ushindwe kusame
mkuu umebahatika kusoma badiko lote kabla ya kukomenti?
 
Siona kama kuna kosa ambalo ulishindwa kumsamehe mama yako, labda baba ambae unaweza singiziwa ila sio mama, awe amekuwangia ,awe amekukosea chochote we hukupaswa kumchukia hata kidogo, maana we ni uchafu wake pengine angekutoa kupitia pedi tu, ila anyway kashakufa, we fanya maisha yako mengine ikiwezekana tafuta mama mwingine mpende uyo,

Ila nakutabira utakuja kufa vibaya na kifo kitasababishwa na mwanamke karma is real
 
Jisamehe mwenyew kwanza then usirudie Hilo Kosa wamama maranyingi hawajuagi kama hatuwapendi Bali wanatuchukuliaga kama watoto watukutu na wasumbufu tu ndo maana tunafanya makosa mengi na still Bado wanatubeba na kutuhesabu kama watoto wao
Omba Mungu akusamehe na muombee mama Yako Mungu amrehemu
 
Habarini za asubuhi wana MMU poleni na majukumu ya kujenga taifa na familia kiujumla.

Kijana wenu nimekuja hapa mbele yenu sijui nahitajI ushauri ama nahitaj nini ila ntafurahi kama ntarejesha amani ya moyo na akili yangu.

Ni hivi mama yangu mzazi alikufa huku akitambua kua mimi mwanae simpendi na kweli sijawahi kumpenda. Kinachoniuma nilishindwa kulificha hili nilimuonesha moja kwa moja so hadi anakata roho alijua fika simpendi.

Kuna muda nikikaa huwa naona nilikosea sana kumuonesha chuki yangu na hili kosa huwa nalijutia sana. Kila siku nawaza namna ya kujisawazisha ila nakosa majibu.

Naombeni ushauri au maelekezo yoyote yanaweza rejesha amani ya moyo wangu.

Natanguliza shukrani.

Mungu anasamehe, jisamehe, endelea mbele
 
Siona kama kuna kosa ambalo ulishindwa kumsamehe mama yako, labda baba ambae unaweza singiziwa ila sio mama, awe amekuwangia ,awe amekukosea chochote we hukupaswa kumchukia hata kidogo, maana we ni uchafu wake pengine angekutoa kupitia pedi tu, ila anyway kashakufa, we fanya maisha yako mengine ikiwezekana tafuta mama mwingine mpende uyo,

Ila nakutabira utakuja kufa vibaya na kifo kitasababishwa na mwanamke karma is real
Usihukumu kabla hujahukumiwa na yeye binadamu huenda Kuna namna alifeli kutambua ubaya wa matendoyake
 
My dear, hujaona. Hujaonaa nakuambia. Yaani usihukumu. Wamama wa kizazi hiki wamekua wa hovyo sana. Na hiki kizazi tunachokiacha sijui kitakua katika hali gani? Umelifikiria hili? Kuna wamama ni tatizo sana aisee. Very toxic. Wengine wanavunja mpaka ndoa za watoto zao. Utasema ana upendo huyo?
Nakuelewa sana my dear shida inakuja hapo kwenye Chuki, mzazi na yeye binaadam anakosea, mtoto unayo haki ya kukasirika pia kwa kua na wewe ni binaadam ila tatizo linakuja kwenye CHUKI unamchukia Mama yako hadi anakufa! Pengine aliumwa huendi kumuangalia kisa una Chuki nae!!

Kuna tofauti ya Chuki na Hasira mimi sio mzazi tu hata mtu baki siwezi Mchukia, ona sasa anavyoteseka hadi kujiita Maji ya Gundu, anakiri kila anachokishika kina mikosi na amejua sababu ni nini hapo anapaswa ajisamehe kwanza yeye mwenyewe.
 
Habarini za asubuhi wana MMU poleni na majukumu ya kujenga taifa na familia kiujumla.

Kijana wenu nimekuja hapa mbele yenu sijui nahitajI ushauri ama nahitaj nini ila ntafurahi kama ntarejesha amani ya moyo na akili yangu.

Ni hivi mama yangu mzazi alikufa huku akitambua kua mimi mwanae simpendi na kweli sijawahi kumpenda. Kinachoniuma nilishindwa kulificha hili nilimuonesha moja kwa moja so hadi anakata roho alijua fika simpendi.

Kuna muda nikikaa huwa naona nilikosea sana kumuonesha chuki yangu na hili kosa huwa nalijutia sana. Kila siku nawaza namna ya kujisawazisha ila nakosa majibu.

Naombeni ushauri au maelekezo yoyote yanaweza rejesha amani ya moyo wangu.

Natanguliza shukrani.
Kama kweli humpendi no haja ya kujutia relax amini ulikua sahihi hivyo tu.
 
Nakuelewa sana my dear shida inakuja hapo kwenye Chuki, mzazi na yeye binaadam anakosea, mtoto unayo haki ya kukasirika pia kwa kua na wewe ni binaadam ila tatizo linakuja kwenye CHUKI unamchukia Mama yako hadi anakufa! Pengine aliumwa huendi kumuangalia kisa una Chuki nae!!

Kuna tofauti ya Chuki na Hasira mimi sio mzazi tu hata mtu baki siwezi Mchukia, ona sasa anavyoteseka hadi kujiita Maji ya Gundu, anakiri kila anachokishika kina mikosi na amejua sababu ni nini hapo anapaswa ajisamehe kwanza yeye mwenyewe.
Kabisa mamy, hebu abadili hili jina aisee. Naamini hana gundu wala.mkosi. atubu tuu na maisha mapya yaanze
 
Na ukute maumivu ya kuona mwanae wa damu anamchukia yalichangia sana mauti yake
Nakuelewa sana my dear shida inakuja hapo kwenye Chuki, mzazi na yeye binaadam anakosea, mtoto unayo haki ya kukasirika pia kwa kua na wewe ni binaadam ila tatizo linakuja kwenye CHUKI unamchukia Mama yako hadi anakufa! Pengine aliumwa huendi kumuangalia kisa una Chuki nae!!

Kuna tofauti ya Chuki na Hasira mimi sio mzazi tu hata mtu baki siwezi Mchukia, ona sasa anavyoteseka hadi kujiita Maji ya Gundu, anakiri kila anachokishika kina mikosi na amejua sababu ni nini hapo anapaswa ajisamehe kwanza yeye mwenyewe.
 
Habarini za asubuhi wana MMU poleni na majukumu ya kujenga taifa na familia kiujumla.

Kijana wenu nimekuja hapa mbele yenu sijui nahitajI ushauri ama nahitaj nini ila ntafurahi kama ntarejesha amani ya moyo na akili yangu.

Ni hivi mama yangu mzazi alikufa huku akitambua kua mimi mwanae simpendi na kweli sijawahi kumpenda. Kinachoniuma nilishindwa kulificha hili nilimuonesha moja kwa moja so hadi anakata roho alijua fika simpendi.

Kuna muda nikikaa huwa naona nilikosea sana kumuonesha chuki yangu na hili kosa huwa nalijutia sana. Kila siku nawaza namna ya kujisawazisha ila nakosa majibu.

Naombeni ushauri au maelekezo yoyote yanaweza rejesha amani ya moyo wangu.

Natanguliza shukrani.
Nenda makaburini alipolala kaongee naye kwa unyenyekevu kaombe radhi na kutaka suluhu naye ATAKUSIKIA
 
amina
Jisamehe mwenyew kwanza then usirudie Hilo Kosa wamama maranyingi hawajuagi kama hatuwapendi Bali wanatuchukuliaga kama watoto watukutu na wasumbufu tu ndo maana tunafanya makosa mengi na still Bado wanatubeba na kutuhesabu kama watoto wao
Omba Mungu akusamehe na muombee mama Yako Mungu amrehemu
amina
Hapana dear, wala huna mikosi. Ni kwasababu tu unajuyia. Kama ni majuto tayari umeshajutia. Haujakosea saanaaa. Hata mimi si mkamilifu. Piga moyo konde. Yaan ni tona tu itakuponya na ukihadithia kilichokuumiza
shukrani sister
 
Back
Top Bottom