maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
- Thread starter
- #101
shukrani father
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeanzia katikati story yako wewe sio chizi weka bayana mlolongo woteHabarini za asubuhi wana MMU poleni na majukumu ya kujenga taifa na familia kiujumla.
Kijana wenu nimekuja hapa mbele yenu sijui nahitajI ushauri ama nahitaj nini ila ntafurahi kama ntarejesha amani ya moyo na akili yangu.
Ni hivi mama yangu mzazi alikufa huku akitambua kua mimi mwanae simpendi na kweli sijawahi kumpenda. Kinachoniuma nilishindwa kulificha hili nilimuonesha moja kwa moja so hadi anakata roho alijua fika simpendi.
Kuna muda nikikaa huwa naona nilikosea sana kumuonesha chuki yangu na hili kosa huwa nalijutia sana. Kila siku nawaza namna ya kujisawazisha ila nakosa majibu.
Naombeni ushauri au maelekezo yoyote yanaweza rejesha amani ya moyo wangu.
Natanguliza shukrani.
Ulimfumania mam ako mzazi na jibaba mwingineMambo ya kifamilia na nikiyaweka Kwene uzi mmoja itakua easy kuunganisha dot
Kuna mambo gani makubwa mama anaweza kukukosea ukashindwa kumsamehe?Ni mambo ya kifamilia mkuu
aminaKinachokusumbua si kwa vile alifariki ukiwa na chuki bali ni kwamba unasumbuka bado na yale aliuokukwaza nayo na aliondoka akiwa bado hajatafuta namna ya kushusha uchungu wako.
Kwa vile hayupo amua tu kumsamehe na ujisamehe wewe pia kwa kujiumiza, yes kuruhusu mtu mwingine atawale hisia zako ni wewe umeruhusu hizo hisia zikutese.
Sema nakusamehe mama kwa kuniumiza na mimi najisamehe pia, mara nyingi kadri utakavyokumbuka kila jambo lililokujeruhi nafsi.UTAPONA USIJALI.
Habarini za asubuhi wana MMU poleni na majukumu ya kujenga taifa na familia kiujumla.
Kijana wenu nimekuja hapa mbele yenu sijui nahitajI ushauri ama nahitaj nini ila ntafurahi kama ntarejesha amani ya moyo na akili yangu.
Ni hivi mama yangu mzazi alikufa huku akitambua kua mimi mwanae simpendi na kweli sijawahi kumpenda. Kinachoniuma nilishindwa kulificha hili nilimuonesha moja kwa moja so hadi anakata roho alijua fika simpendi.
Kuna muda nikikaa huwa naona nilikosea sana kumuonesha chuki yangu na hili kosa huwa nalijutia sana. Kila siku nawaza namna ya kujisawazisha ila nakosa majibu.
Naombeni ushauri au maelekezo yoyote yanaweza rejesha amani ya moyo wangu.
Natanguliza shukrani.
Maskini Mama! hakika alifariki kifo cha mateso sana, kama mzazi kujua mtoto uliyemuweka tumboni miezi 9 na kumtoa kwa uchungu wa kuliona kaburi anakuchukia!!! dooh! aliishi kwa mateso sana, [emoji26]
Nijuacho mzazi siku zote hawezi kuweka kinyongo kwa mwanae, alikusamehe kabla hajafa ni muda wa wewe kujisamehe na kuishi maisha yaliyo bora bila kuweka vinyongo vinavyounda roho chafu.
Ila usisahau kitu kinachoitwa KARMA.
Nimehisi uchungu sana kusoma hiki kisa,Kuna mtu kama huyo mama yake aliteseka sana kumtunza kwa kufanya vibarua , anavaa kanga upande etc akafanikiwa kumsomesha ….akapata kazi nzuri sana na pesa zikaanza kuingia ….hakuwahi kumsaidia mama yake alimuacha akaendelea kufanya vibarua vya aibu …na nyumba inaanguka ..akahamia kwa jirani kulikuwa hakuna mtu akawa anaishi kama mlinzi wanamlipa ….
Siku anafariki mtoto wake akatuma pesa kuandaa msiba wa kifahari akaondoka na magari na marafiki zake kwenda kuzika …wakiwa njiani BMW yake ilipata ajali mbaya mke na watoto wakapona wakaenda kuzika yeye akaishia hospotali akapooza huu mwaka wa kumi yupo tu ….mke wake kaingiza mwanamume ndani ….na watoto wake wala hawana muda naye ..yeye ndio anaishi na wheel chair kwenye nyumba mbovu ya mama yake ambayo aliifanyia ukarabati wa voda fasta msiba ulipotokea na kaburi mbele yake …..nayeye anaishi kwa sadaka za “wahitaji” kanisani ….wale wale waliokuwa wanamsaidia mama yake chakula ndio wanampelekea mabaki ya chakula nyumbani ….akiwa na ukiwa na majuto …
Haya mambo sio ya mchezo
Sasa unadhani hiyo ni akili timamu?? Ni sifa hiyo? Hao ni wehu tu. Sio watu wa kuigwa kabisa.Mtoto wa kizungu anamwambia Hakimu Hawa Au Huyu mzazi ananisumbua kila uchao mara vile mara hivi!
Anasema kwanza mimi sikumuomba anizae [emoji848][emoji848]
Anasema muulize Je nilimuomba anizae?
[emoji3][emoji3][emoji28][emoji23]
Kwanini ananisumbua?
Sisi tumefundishwa haya hapa;Yani kuna wazazi wanatakaga kuabudiwa kama miungu!
Yani inazidi heshima! [emoji848][emoji848]
Bahati nzuri Neno la Mungu limekwisha kuonya kuwa :
“ Enyi wazazi msiwachokoze watoto wenu”
Mungu alijua kutakuwa na wazazi wachokozi kwa watoto wao!
Na laana isiyo na sababu haimpati mtu!
Imeandikwa!
kuna sababu ya kutompenda ila umefanya kosa kumwonyesha wazi,na kama na yy alikufa kwa knyongo hakika laana itakutafuna mpaka unaingia kaburnHabarini za asubuhi wana MMU poleni na majukumu ya kujenga taifa na familia kiujumla.
Kijana wenu nimekuja hapa mbele yenu sijui nahitajI ushauri ama nahitaj nini ila ntafurahi kama ntarejesha amani ya moyo na akili yangu.
Ni hivi mama yangu mzazi alikufa huku akitambua kua mimi mwanae simpendi na kweli sijawahi kumpenda. Kinachoniuma nilishindwa kulificha hili nilimuonesha moja kwa moja so hadi anakata roho alijua fika simpendi.
Kuna muda nikikaa huwa naona nilikosea sana kumuonesha chuki yangu na hili kosa huwa nalijutia sana. Kila siku nawaza namna ya kujisawazisha ila nakosa majibu.
Naombeni ushauri au maelekezo yoyote yanaweza rejesha amani ya moyo wangu.
Natanguliza shukrani.