Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Nenda hospitali kawatembelee wagonjwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very true ukitumia akili kubwa kabisa basi utagundua maisha ya hapa duniani ni upumbavu mkubwa sana ...ndiyo maana hata dini zikasema kutakuwa na maisha baada ya haya ya dunia ,ili hizo dini ziwe ma mantiki la sivyo mantiki ya dini isinge kuwepo kama zisinge toa hakikisho la maisha mapya nje ya haya ya dunianiKwahiyo kundi la magenius ni nyie mtoto akifa mnamuonea wivu??!!---kwahiyo mtoto wako akifa utalia kwa uchungu wa kufiwa au utamuonea wivu kwa kufa kwake??!!, ewe Genius hebu jibu hapo![emoji1787]
Aliomba azaliwe? Shukrani ya nini?Huna shukrani, si kwa mama yako aliyekubeba miezi tisa tumboni mwake na kukuzaa kwa uchungu mwingi, wala Muumba wako aliyekupa neema ya uhai na pumzi ya kuja kuandika ulichokiandika.
Malalamiko yako yote hayana maana. Mungu akuhurumie tu!
Very true ukitumia akili kubwa kabisa basi utagundua maisha ya hapa duniani ni upumbavu mkubwa sana ...ndiyo maana hata dini zikasema kutakuwa na maisha baada ya haya ya dunia ,ili hizo dini ziwe ma mantiki la sivyo mantiki ya dini isinge kuwepo kama zisinge toa hakikisho la maisha mapya nje ya haya ya duniani
Very true ukitumia akili kubwa kabisa basi utagundua maisha ya hapa duniani ni upumbavu mkubwa sana ...ndiyo maana hata dini zikasema kutakuwa na maisha baada ya haya ya dunia ,ili hizo dini ziwe ma mantiki la sivyo mantiki ya dini isinge kuwepo kama zisinge toa hakikisho la maisha mapya nje ya haya ya duniani
asalaam aleykum ndugu yangu katika imani umetoa darasa kubwa sana mwenyezi mungu akuongezee elimu zaidi ya hii amin inshallahDunia ni sehemu ya majaribio na mitihani iwe ya kheri au shari na mitihani yote tunayopitia ina hekima kubwa zilizojificha.
Kusingekuwa na kifo thamani ya uhai isingetambulika , kusingekuwa na shida thamani ya raha na furaha isingetambulika .Hata Mama mjamzito ana beba ujauzito kwa tabu na kujifungua kwa tabu lakini matukio yote hayo yanaleta faraja kubwa baada ya kukiona na kusikia sauti ya kichanga chake kilicho hai na inafanya amthamini , kumpenda na kumchunga kwa dhati .
Kwa mfano leo mtu uambiwe tunaenda kuzama mechi ya mpira wa miguu lazima atarajie kukuta kuna wachezaji , mpira , magoli , marefa hautoona ajabu lakini sasa ukute hakuna magoli kuna mpira wa basketball [emoji459] na mengine yasiyo husiana hapo utaona kuna hujuma imefanyika na sio haki . Hivyo hivyo kwa Dunia imeumbiwa na shari na shari ni sehemu na Mwenyezi Mungu kasema ametuleta hapa kama kutujaribu wapi watakaofudhu ili wapate waliyoahidiwa yake ingekuwa tupo peponi halafu mtu unakuta mambo ya hovyo kama kuugua mimi hapo mtu una haki kabisa ya kulalamika.
Sisi waislamu mafundisho yetu yanasema mtu akiwa muumini kila jambo kwake heri hata akijichoma na miba na hudhuni yake kidogo anafutiwa madhambi na kuandikiwa mema na siku ya kiama mtu atatamani kuwa angeishi maisha ya dhiki sana na maradhi makubwa hapa duniani baada ya kuona malipo kwa watu waliokuwa na subira wakati wa dhiki , majanga , maradhi yao bila kukufuru hata Manabii wamepatwa mitihani mizito sana rejea kisa cha Nabii Ayyubu (amani iwe juu yake)
Maisha ya baadae yapi? Kama ni ya peponi basi watoto wadogo wanaokufa wanaakika ya kuishi peponi maana wao awapimwi kwa dini fulani au madhehebu fulani na kama maisha ya jehanam basi je hayo ni maisha ya kupendeza ...kwa mujibu wa dini kuna aina mbili za maisha, nazo ni peponi au jehanam na yote hayo ni matokeo ya duniani ....ngoja nikuulize swali ? Je kama kuna maisha ya peponi wewe unafikili kati ya watoto wadogo walio kufa utotoni na watu wazima ni nani aliye na hakika ya peponiWewe ndiye Genius ??!!--- huwezi kusema maisha ya hapa duniani ni upuuzi wakati maisha haya ndiyo hatua ya maisha mapya ya baadaye, hiyo ni sawa mtu aseme maisha katika mimba ni upuuzi huku akisema maisha ya duniani ndio yanayofaa.
Nakuuliza tena mtoto wako akifariki utalia na utasikitika au utamuonea wivu kwa kufariki??!!
Daaaah imenibdi nicheke kwanza ila umetema cheche mzeeMama yangu angenitoa na kunitupilia mbali kipindi bado niko kwenye tumbo lake la uzazi, ingekuwa ni faida kubwa sana kwangu, ningejihesabia mwenye bahati sana, sababu nisingekuwa na haja ya kuja Duniani na kupitia mateso, usaliti, hofu, Karaha za kila namna, magonjwa, e.t.c kisha mwisho wa siku dini zinakwambia ukiteleza kidogo kwenye dhambi unaenda kuchomeka motoni milele baada ya kufa.
Kutokana na maisha na majaribu tunayopitia hapa Duniani, sisi binadamu uwezekano wa kwenda motoni baada ya kifo ni mkubwa kuliko kwenda mbinguni. Hii Dunia sio nzuri kabisaaaa, kiuhalisia ni mbaya mno na inatisha sana.
Kungekuwa na uchaguzi wa kuja Duniani au kutokuja duniani kabla ya kuzaliwa, mimi ningekataa katu katu kabisa kuja Duniani.
Najiuliza Mungu anafaidika nini kwa kutuumba sisi binadamu? Alivyotuumba amefaidika nini, na asingetuumba angepungukiwa nini? Yeye si muweza wa yote, amejikamilisha kwa kila kitu? Anatuhitaji sisi binadamu kwa ajili gani? Je, anafurahi sana kuona binadamu kila siku tunavyomkasirisha kwa dhambi, tunavyoteseka na tunavyorukaruka na sarakasi za hapa Duniani?
NB: Sina mawazo ya kujiua, na kwa sasa sina shida kubwa sana ninazopitia, maana kutokana na hii post kuna wengine watafikiria nitachukua maamuzi hayo ya kujiua, wengine watafikiria sasa hivi nina matatizo makubwa sana napitia ndio maana nimeandika hii post, la hasha, siwezi jiua maana najua ntakakoenda baada ya kujiua ni kubaya zaidi ya hapa Duniani. Mimi nimewaza tu.
Wa'aleykum salam warahmatullahi wabarakatuh, aamin na wewe pia Mwenyezi Mungu akupe kheri zaidi ,uongofu zaidi na akuepushe na shari.asalaam aleykum ndugu yangu katika imani umetoa darasa kubwa sana mwenyezi mungu akuongezee elimu zaidi ya hii amin inshallah
Halafu wanakwambia usijishughulishe na mwili wako,maana mwili mpya utaenda kuupata huko mbinguniUkitaka kumiliki binadamu hakikisha ana hofu. Hili ndilo linalofanyika na wakusanya sadaka ili wawe daraja la kuwaepusha na moto.
HahahaHalafu wanakwambia usijishughulishe na mwili wako,maana mwili mpya utaenda kuupata huko mbinguni
Nategemea utakuwa na msimamo huo na hutaleta kiumbe duniani.Mama yangu angenitoa na kunitupilia mbali kipindi bado niko kwenye tumbo lake la uzazi, ingekuwa ni faida kubwa sana kwangu, ningejihesabia mwenye bahati sana, sababu nisingekuwa na haja ya kuja Duniani na kupitia mateso, usaliti, hofu, Karaha za kila namna, magonjwa, e.t.c kisha mwisho wa siku dini zinakwambia ukiteleza kidogo kwenye dhambi unaenda kuchomeka motoni milele baada ya kufa.
Kutokana na maisha na majaribu tunayopitia hapa Duniani, sisi binadamu uwezekano wa kwenda motoni baada ya kifo ni mkubwa kuliko kwenda mbinguni. Hii Dunia sio nzuri kabisaaaa, kiuhalisia ni mbaya mno na inatisha sana.
Kungekuwa na uchaguzi wa kuja Duniani au kutokuja duniani kabla ya kuzaliwa, mimi ningekataa katu katu kabisa kuja Duniani.
Najiuliza Mungu anafaidika nini kwa kutuumba sisi binadamu? Alivyotuumba amefaidika nini, na asingetuumba angepungukiwa nini? Yeye si muweza wa yote, amejikamilisha kwa kila kitu? Anatuhitaji sisi binadamu kwa ajili gani? Je, anafurahi sana kuona binadamu kila siku tunavyomkasirisha kwa dhambi, tunavyoteseka na tunavyorukaruka na sarakasi za hapa Duniani?
NB: Sina mawazo ya kujiua, na kwa sasa sina shida kubwa sana ninazopitia, maana kutokana na hii post kuna wengine watafikiria nitachukua maamuzi hayo ya kujiua, wengine watafikiria sasa hivi nina matatizo makubwa sana napitia ndio maana nimeandika hii post, la hasha, siwezi jiua maana najua ntakakoenda baada ya kujiua ni kubaya zaidi ya hapa Duniani. Mimi nimewaza tu.
Mashallah! Swadakta.Dunia ni sehemu ya majaribio na mitihani iwe ya kheri au shari na mitihani yote tunayopitia ina hekima kubwa zilizojificha.
Kusingekuwa na kifo thamani ya uhai isingetambulika , kusingekuwa na shida thamani ya raha na furaha isingetambulika .Hata Mama mjamzito ana beba ujauzito kwa tabu na kujifungua kwa tabu lakini matukio yote hayo yanaleta faraja kubwa baada ya kukiona na kusikia sauti ya kichanga chake kilicho hai na inafanya amthamini , kumpenda na kumchunga kwa dhati .
Kwa mfano leo mtu uambiwe tunaenda kuzama mechi ya mpira wa miguu lazima atarajie kukuta kuna wachezaji , mpira , magoli , marefa hautoona ajabu lakini sasa ukute hakuna magoli kuna mpira wa basketball 🏀 na mengine yasiyo husiana hapo utaona kuna hujuma imefanyika na sio haki . Hivyo hivyo kwa Dunia imeumbiwa na shari na shari ni sehemu na Mwenyezi Mungu kasema ametuleta hapa kama kutujaribu wapi watakaofudhu ili wapate waliyoahidiwa yake ingekuwa tupo peponi halafu mtu unakuta mambo ya hovyo kama kuugua mimi hapo mtu una haki kabisa ya kulalamika.
Sisi waislamu mafundisho yetu yanasema mtu akiwa muumini kila jambo kwake heri hata akijichoma na miba na hudhuni yake kidogo anafutiwa madhambi na kuandikiwa mema na siku ya kiama mtu atatamani kuwa angeishi maisha ya dhiki sana na maradhi makubwa hapa duniani baada ya kuona malipo kwa watu waliokuwa na subira wakati wa dhiki , majanga , maradhi yao bila kukufuru hata Manabii wamepatwa mitihani mizito sana rejea kisa cha Nabii Ayyubu (amani iwe juu yake)
Hivi inakuaje unamtukana na kumdhalilisha mama yako hivyo?
Hata kama hatumfahamu lakini ni kumdhalilisha sana, umewahi hata kutafakari miezi aliyokubeba tumboni? Mapambano aliyopitia nawewe ukiwa na njaa, ukiumwa n.k
Aisee imefikia mahala vijana wanaandika vitu vya ajabu na aibu mpaka wanawashangaza wazazi wao.
Tubu.