moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,976
- 16,769
[emoji38][emoji38][emoji38]usijali mwanasheria wangu[emoji2956]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38]usijali mwanasheria wangu[emoji2956]
NtarudiCHAPTER 5
I moved to the bed nikamuamsha akaamka ile kivivu sana maana shughuli mwanzo ilikuwa nzito sana. nikamuuliza vipi umeshakula akanijibu hapana sijala nikamuuliza kwanini sasa na pesa nimekuachia Naa akasema aaah najisikia vibaya nimekunywa juice tu najiisi kama nina homa hivi na kichwa kinaniuma na kiuno kinauma mda uo Naa kabadilika sura namuona rangi kabadilika fulani hivi macho mekundu sana na kama sura imevimba hivi.
Nikaona oooh sasa jela ile pale nyimbo ya Hussein Machozi " KAFIA GHETTO" kama inaenda kunitokea mimi hivi.
INAENDELEAAAA.....
Ujue ile hali niliichukulia poa poa sana . nikadhani kwamba aaah labda uchovu hivi na kwa vile si kalala sana. ila kila mda ulivyozidi kwenda na mtoto wa watu hali yake ndo ulizidi kuwa mbaya.
kuna mda nilitamani kama nichukue bagi langu hivi nisepe alafu nimpigie yule mchizi wake kuwa manzi wako yupo Kivulini guest house mitaa ya sinza huku njoo umchukue ila nikaona hapa kuna dalili kama zote za kujikamatisha.
kwanza yule babu wa pale guest ananijua vizuri tu. na hata kama hanijui lakini kwa siku nilizokaa pale nina uhakika atakuwa kashanikalili sura zile ingia toka ingia toka sura yangu atakuwa kashaimanya kiasi chake.
ikabidi nimpigie mwanangu yule aliyechukua namba za head girl wa kina naa
"Cosmas njoo guest hapa kuna msala umetokea"
ubaya wa mambo jamaa nae akawa anachukulia kama jokes hivi ananiuliza vipi kaka dogo kapandisha nini au teyali ushamvunja kiuno mtoto wa watu, ulimpakia mkongo nini.
nilimmaind kwa kiasi fulani ila nitafanya nini alafu ukitazama ndo mwana pekee niliyekuwa namtegemea kwa mda uo hiyo ilikuwa kama mida ya saa 5 hivi usiku inakimbilia 6 usiku Naa anamwaga jasho kama maji yani pale kitandani kama maji yalimwagika hivi kumbe jasho la binadamu tu.
Cosmas baada ya kufika sasa na kumuona Naa yale makuzi yake akaweka pembeni swali la kwanza akaniuliza huyu kala kweli
nikamjibu hajala chochote kaka kaniambia kanywa juice tu
"Njaa na mapenzi haviendanii kabisa 😂😂😂 fanya dogo ale kwanza kamnunlie na dawa za Diclofenac alafu tufanye mpango tumpeleke hospital fast sana, alafu hizi inshu wewe usihofu wala nini ? yalinitokeaga kama aya yako sitokaa nisahau alafu demu niliyekuwa nae mimi ni bonge kumubeba siwezi acha tu 😂😂😂"
wakati mimi nina hofu kuwa mtoto wa watu asije akafa mule guest Cosmas hana hofu kabisa yani alishtuka mara moja tu lakini baada ya hapo jamaa anafanya matani mengine.
MwanaJf aya masuala yanahusiana na mahusiano kufungia mtoto wa watu akaumwa ghafla wewe sikia sikia tu kwa mtu, lakini usiombe iwe live kwako yaani utajamba kisamvu ulichokula mwaka juzi.
Cheka Sana lakini omba yasikukute. So many innocent people wapo magerezani kwa inshu kama hizi.
Kiufupi pamoja na ujanja wangu lakini nilipagawa mpaka nikamuuliza Cosmas hivi akifa huyu itakuwaje.
Cosmas alinitazama akanijibu " Acha maswali ya kipumbavu omba mungu mtoto wa watu apone ufanye mpango wa kumrudisha kwao sasa mambo ya atakufa atakufa ynatokea wapi mtu anaomba dua njema wewe umeona wapi mtu anazaa mtoto alafu anasema huyu atakuja kuwa papai ataliwa sana na wenzake, kwanz shukru sana sasa hivi usiku tunatoka na dogo hakuna anaetuona hapa"
nikatoka nje fasta nikaenda kuchukua bajaji. Tukampandisha Naa safari mpaka Soinza Palestina hospital pale
Dr aliniuliza huyu ni nani yako . nikamjibu ni mdogo wangu akataka kuniuliza maswali mengi sana kivile.
Naa akapigwa dripu nakumbuka zilikuwa kama dripu tatu hivi au mbili sikumbuki vizuri sana ila dripu zote 3 zilinicost elfu 15. Dr akaniandikia dawa kadhaa nikazifata dawa. Total cost niliyotumia pale hospital tu ni kama elfu 20 hv plus na usafiri kiufupi nilikuwa nazitekeza tu pesa za ada na pesa zinakaribia kuisha.
Dakika ya mwisho tukamuacha dogo anaongezwa maji wakati nipo na Cosmas nikamuuliza kwa mfano kama ningekupigia simu usingepokea simu ingekuwaje na tupo mbali mbali.
" Aaaah achana na hizo mada tunajichoresha sio eneo la kuongea hizo mada hapa"
mda uo peace of heart ilikuwa ishaanza kurudi nikamwambia Sema siku nikipata zigo jengine nalileta ghetto kwako kule 😁😁😁
Cosmas akacheka kisha akanijibu " Hii tabia ya kuazimishana maghetto ni kuwanyima tu wamiliki wa guest na lodge mapato na wao wana watoto ,watoto wao watakula nini sasa kama nyie hamutaki kwenda guest "😂😂😂
Tukaachana na maongezi ya masihara Cosmas akawa serious sasa akaniambia sikia kaka" Huyu dogo una mpango nae gani mpaka dakika hii"
nikamuuliza " mpango nae gani kivipi"
" Yani unaishi nae vipi maana siku ya tatu leo inakatika upo nae guest tu haujui anakaa wapi wala wazazi wake wakina nani ?"
Daaah ilinibidi nishushe pumzi ya kuchoka kwanza. maana Cosmas naona alinishtua jambo zito sana maana nilifikiria mara mbili inawezekana kweli alikuwa mkoa X anaishi na mama yake lakini inawezekana pia Nasra alinidanganya mkoa X anaishi na wazazi wake wote wawili ili kuna inshu labda kaifanya kaamua atoroke kwao.
nikamjibu" kaka sina inshu nae ya kuishi nae sana kwa sababu mpaka dakika hii pesa niliyokuwa nayo inakaribia kuisha hapa "
Cosmas :Sikia mpotezee dogo
Mimi : nimpotezee kivipi sasa
Cosmas : Aaah wewe mpigie huyo bwana wake uongee nae aje kumchukua demu wake tu.
Ali : hilo suala siwezi kulifanya hata kidogo ebu jaribu kuvaa uhusika wa jamaa huko alipo now yupo vipi, inawezekana yeye ndo kamtumia nauli nasra aje dar es salaam alafu Nasra aonekani alafu baada ya siku kadhaa nasra aende kwa jamaa aseme tu maneno yasiyo eleweka si ndo nitakuwa namuweka mtoto wa watu kwenye mazingira magumu zaidi, kwanza jamaa anaweza akamtimua naa.
Cosmas : daaah kweli
Ali : ila sikia nina shida mmoja naomba unisaidie, naomba nasra akae kwako japo siku mbili hivi ili nifanye utaratibu kwa arudi kwao kwa sababu pesa ya kulala guest kwa sasa sina.
Cosmas akanitazama akanijibu: hapana hilo siwezi kukusaidia
Ali: why sasa hauwezi kunisaidia na wakati ulisema mwanzo kuwa nikitaka kusepa nikuachie nasra
Cosmas : nilikuwa nakutania, kwanza dogo anaonekana mgonjwa akizidiwa tena au likitokea la kutokea nampeleka wapi , cha pili wewe unamjua mwenye nyumba yule bi mkubwa jau kichizi mtu wa dini dini, kuna mpangaji juzi tu kaamisshwa kisa kaleta demu mchana kweupe na bi mkubwa kamuona huyo demu wa jamaa. kwahiyo wewe force force dogo harudi kwao tu.
ITAENDELEAAAA.....
😁😁😁 Unaweza kuandika vitu huku ukaaribu mazima kumbuka kuna usinamizi wa moderators[emoji38][emoji38][emoji38]hakuwa na maajabu
Karibu sana nduguNtarudi
Soon napostLete vituuuu
hamna bana wewe tuadisie ulivyomkunja mtoto[emoji16][emoji16][emoji16] Unaweza kuandika vitu huku ukaaribu mazima kumbuka kuna usinamizi wa moderators
Saa 1 kamili napost tena nisamehen maana kazi ya kuandika nayo sio ndog
😁😁😁😁😁hana huo ujuzi asimulie ujuzi upi?
😂😂😂😂 Daaah we jamaahamna bana wewe tuadisie ulivyomkunja mtoto
😁😁😁 Hongera sana mkuuWa kwanza kusoma
Analyse Palina Antonnia Depal Kapeace Numbisa baby zu Watu8 Dr Restart Kalpana Bantu Lady charrote Nylon Half american Amehlo Jane Lowassa Franky Samuel Leejay49 Nourhan Robot la Matope Elli Makindajr Vinci Dayot Upamecano IFRS Sinoni kyala Ulinamaka Joannah Nuzulati Da Vinci XV masai dada Kalpana Lovelovie Premij canoon Lamzettttt
😁😁😁😁Eeeh usiombe yakukuteAisee
Wanaume tunachezaga michezo ya hatari sana