Mama yangu mzazi aliwahi kuniambia bora nife tu apumzike

Mama yangu mzazi aliwahi kuniambia bora nife tu apumzike

Hujawahi kukutana na misala ya skuli umewahi kula pesa ya ada halafu next week ni mtihani tena ijumatano na Tena nakumbuka niliwapia marafaki zangu na nikabakiwa na elfu sitini na nimekula ml 1 na laki tisa tumeendea hadi porini Kuja Sasa imebaki siku 2 nikaanza kuchangisha michango ya rambi rambi eti babu kafa na ndio alikuwa ananipa ada hiyo pesa haijatosha na ndio mtihani wakumaliza chuo. Ilibidi nitunge hadi shuleni nikaambiwa nimalizie baada ya mitihani LASIVYOO sipewi cheti ndio nikaanza kutembea nalia ndio jamaa akapaki gari unashida gani?

Nikasema yote naniukweli akasema umeraise ngapi nikasema ndio akaenda kunilipia ada shuleni nikaona nyota nikakoma ujinga nilikiloma ujinga usenge kwanza maana unakula ada ili uonekane upo juu wahi nikaanza kuishi kivangu hadi Leo ukinipenda sawa .

Umewahi shikwa ukivuta ganja?? Umewahi kushikwa na barua ya mapenzi ?? Je umewahi pigana na mwalimu ngumi haswa halafu watu wanashangilia hadi waalimu wewe hujawahi je umewahi kuwa na shemeji jambazi anayetafutwa na serikali hujawahi pitia kitu dogo kaaa kwakutulia kwanza ulikuwa mjinga sana unaendekeza mapenzi na shule wapi na wapi , mie barua haikuwa yangu ya mapenzi ni watu tu niombwa nimpelekee mtu.
Ally Nassor Px
 
Hujawahi kukutana na misala ya skuli umewahi kula pesa ya ada halafu next week ni mtihani tena ijumatano na Tena nakumbuka niliwapia marafaki zangu na nikabakiwa na elfu sitini na nimekula ml 1 na laki tisa tumeendea hadi porini Kuja Sasa imebaki siku 2 nikaanza kichangisha michango ya rambi rambi eti babu kafa na ndio alikuwa ananipa ada hiyo pesa haijatosha na ndio mtihani wakumaliza chuo . Ilibidi nitunge hadi shuleni nikaambiwa nimalizie baada ya mitihani LASIVYOO sipewi cheti ndio nikaanza kutembea nalia ndio jamaa akapaki gari unashida gani ??

Nikasema yote naniukweli akasema umeraise ngapi nikasema ndio akaenda kunilipia ada shuleni nikaona nyota nikakoma ujinga nilikiloma ujinga usenge kwanza maana unakula ada ili uonekane upo juu wahi nikaanza kuishi kivangu hadi Leo ukinipenda sawa .

Umewahi shikwa ukivuta ganja?? Umewahi kushikwa na barua ya mapenzi ?? Je umewahi pigana na mwalimu ngumu haswa halafu watu wanashangilia hadi waalimu wewe hujawahi je umewahi kuwa na shemeji jambazi anayetafutwa na serikali hujawahi pitia kitu dogo kaaa kwakutulia kwanza ulikuwa mjinga sana unaendekeza mapenzi na shule wapi na wapi , mie barua haikuwa yangu ya mapenzi ni watu tu niombwa nimpelekee mtu.
Ally Nassor Px
Ushawah kuchanganyikiwa mpaka Unamwambia mganga km kafara basi nitoeni mimi
 
Hujawahi kukutana na misala ya skuli umewahi kula pesa ya ada halafu next week ni mtihani tena ijumatano na Tena nakumbuka niliwapia marafaki zangu na nikabakiwa na elfu sitini na nimekula ml 1 na laki tisa tumeendea hadi porini Kuja Sasa imebaki siku 2 nikaanza kichangisha michango ya rambi rambi eti babu kafa na ndio alikuwa ananipa ada hiyo pesa haijatosha na ndio mtihani wakumaliza chuo . Ilibidi nitunge hadi shuleni nikaambiwa nimalizie baada ya mitihani LASIVYOO sipewi cheti ndio nikaanza kutembea nalia ndio jamaa akapaki gari unashida gani ??

Nikasema yote naniukweli akasema umeraise ngapi nikasema ndio akaenda kunilipia ada shuleni nikaona nyota nikakoma ujinga nilikiloma ujinga usenge kwanza maana unakula ada ili uonekane upo juu wahi nikaanza kuishi kivangu hadi Leo ukinipenda sawa .

Umewahi shikwa ukivuta ganja?? Umewahi kushikwa na barua ya mapenzi ?? Je umewahi pigana na mwalimu ngumu haswa halafu watu wanashangilia hadi waalimu wewe hujawahi je umewahi kuwa na shemeji jambazi anayetafutwa na serikali hujawahi pitia kitu dogo kaaa kwakutulia kwanza ulikuwa mjinga sana unaendekeza mapenzi na shule wapi na wapi , mie barua haikuwa yangu ya mapenzi ni watu tu niombwa nimpelekee mtu.
Ally Nassor Px
Na wakat npo o level nafanya pre national examination test nilipigana na head master alaf ss kosa lilikuwa sio langu lkn nkaonekana mimi ndo nimekosea nikaitiwa police shule na nikapgwa suspension mpk siku ya mtihani wa taifa.
 
Hujawahi kukutana na misala ya skuli umewahi kula pesa ya ada halafu next week ni mtihani tena ijumatano na Tena nakumbuka niliwapia marafaki zangu...
Wabongo sijui nani ali turoga, Naona una taka ushindanie ujinga
931722512.jpg
 
Hujawahi kukutana na misala ya skuli umewahi kula pesa ya ada halafu next week ni mtihani tena ijumatano na Tena nakumbuka niliwapia marafaki zangu na nikabakiwa na elfu sitini na nimekula ml 1 na laki tisa tumeendea hadi porini Kuja Sasa imebaki siku 2 nikaanza kuchangisha michango ya rambi rambi eti babu kafa na ndio alikuwa ananipa ada hiyo pesa haijatosha na ndio mtihani wakumaliza chuo . Ilibidi nitunge hadi shuleni nikaambiwa nimalizie baada ya mitihani LASIVYOO sipewi cheti ndio nikaanza kutembea nalia ndio jamaa akapaki gari unashida gani ??

Nikasema yote naniukweli akasema umeraise ngapi nikasema ndio akaenda kunilipia ada shuleni nikaona nyota nikakoma ujinga nilikiloma ujinga usenge kwanza maana unakula ada ili uonekane upo juu wahi nikaanza kuishi kivangu hadi Leo ukinipenda sawa .

Umewahi shikwa ukivuta ganja?? Umewahi kushikwa na barua ya mapenzi ?? Je umewahi pigana na mwalimu ngumi haswa halafu watu wanashangilia hadi waalimu wewe hujawahi je umewahi kuwa na shemeji jambazi anayetafutwa na serikali hujawahi pitia kitu dogo kaaa kwakutulia kwanza ulikuwa mjinga sana unaendekeza mapenzi na shule wapi na wapi , mie barua haikuwa yangu ya mapenzi ni watu tu niombwa nimpelekee mtu.
Ally Nassor Px
Duh! Kazi kwelikweli
 
Back
Top Bottom