nabiidaniel
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 1,937
- 2,678
mkuu risasi kama risasi kabisa mgongoni haipenyi.??.mkuu au unamaanisha hizi risasi za kwenye moviesShida ni kutofautisha alligator na crocodile, ngozi ya crocodile ya mgongoni hakuna mshale Wala mkuki unaoingia.
Kuna jamaa alikuwa anawinda mamba ziwa Victoria anasema huwa wanamfunga mbuzi jirani ya ziwa, mamba anakuja kumkamata kwa kuinua sehemu yake ya mbele, wao ndio wanampiga risasi Ile ngozi ya chini anapoinuka, wanasema ukimpiga mgongoni unajidanganya
Mmefunga shule lini?Mamba hana cha kumfanya Simba labda amuotee sana.
Yani Simba anambonda ndugu Mamba home and away
Kwani mjusi ni mdudu au ni ndege?Mamba ni mnyama au mjusi?
Arudi kwenye elimu ya classification of living things.Kwani mjusi ni mdudu au ni ndege?
[emoji28][emoji28][emoji28]
Ondoa YI hapo mkuu kisha chukua sabuni wahi bafuni😂😂😂Hadi sasa sijaelewa KUMAYI maana yake nini
Usifananishe bangi na vitu vya ajabu ajabu mkuuBangi hizi
Hahaha akale mapera tena, mna vituko wadauunajua simba au paka wote wana nguvu sana kwa wanyama wenye shingo.
sasa ukiiangalia shape ya kiboko,na ule mdomo unaofanya shambulio kama mkasi,ni hatari sana kwa simba.
ni bora akale hata mapera lakini sio kuingia mtoni kumfata kiboko,kwanza ratio ya uzito ni kama 1:6[emoji16]
Jaguar huwa hawindi mamba halisi bali ni jamii ya mamba wanaoitwa Caiman.Jamii hii ya mijusi wanapatikana huko America ya kusini si wakali km mamba tunaowajua na hata mpangilio wao wa meno ni tofauti.Kuna mwamba anaitwa jaguar, anafuata mamba kumayi na kumburuta
Mi timu Jaguar mamba shoga tu Jaguar ni Jaguar full stopIundwe timu mamba na jaguar
Jaguar huwa hawindi mamba halisi bali ni jamii ya mamba wanaoitwa Caiman.Jamii hii ya mijusi wanapatikana huko America ya kusini si wakali km mamba tunaowajua na hata mpangilio wao wa meno ni tofauti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daahUpo sahihi, viumbe vya Africa vyote vimevurugwa, kuna kuku ana vifaranga Leo kanirukia aniparue bila kosa lolote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Ulimwona wapi?Mamba akilaga nyama tamu huwa hadi anatoa machozi kweli ni mchumba tu huyo..[emoji23]
Labda mamba wa mto msimbazi, huyu ni mamba mdogo sana ila simba kwa umoja wao walimshindwaMamba hana cha kumfanya Simba labda amuotee sana.
Yani Simba anambonda ndugu Mamba home and away
Hilo jamaa kwanza ni likubwa na lina nguvu kushinda mamba, na domo lake limejaa mijino mirefu ya kutisha.Unataka kuniambia kiboko ni balaa.? Mbona anaonekana mlegevu? Laini laini kama kubwa jinga MutuZ
Acha fiksi Mkuu, unaijua risasi? Yaani risasi ishindwe kupenya magamba ya mamba? Ha ha haaa ...Shida ni kutofautisha alligator na crocodile, ngozi ya crocodile ya mgongoni hakuna mshale Wala mkuki unaoingia.
Kuna jamaa alikuwa anawinda mamba ziwa Victoria anasema huwa wanamfunga mbuzi jirani ya ziwa, mamba anakuja kumkamata kwa kuinua sehemu yake ya mbele, wao ndio wanampiga risasi Ile ngozi ya chini anapoinuka, wanasema ukimpiga mgongoni unajidanganya
Daa falaa sanaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ondoa YI hapo mkuu kisha chukua sabuni wahi bafuni[emoji23][emoji23][emoji23]