Unataka kuniambia kiboko ni balaa.? Mbona anaonekana mlegevu? Laini laini kama kubwa jinga MutuZ
Mkuu simba dume huwa haogopi kiume wa aina yeyote uwe wa majini au nchi kavu, ukimess with him atakuuwa au kukujeruhi vibaya. Mamba mbona anawatemi wake kibao na anamezwa kama big jiiTo be specific, alikua simba dume. Mamba akiwa kwenye maji, ni viumbe wawili tu ndio wanamshinda, either Tembo au Kiboko. Hao wengine wachumba tu!
Hivi hiyo miamba tunayo kwenye mbuga zetu?Nimecheka sana pale Msamvu round about wameweka sanamu ya Jaguar na mamba
mzeeMkuu simba dume huwa haogopi kiume wa aina yeyote uwe wa majini au nchi kavu, ukimess with him atakuuwa au kukujeruhi vibaya. Mamba mbona anawatemi wake kibao na anamezwa kama big jii
Hadi sasa sijaelewa KUMAYI maana yake nini
Kwa ujumla ndani ya maji ya kina hata simba dume anatafunwa. Ukingoni wanachuana.Simba dume huwa anavuka kwa raha mustarehe kwenye mto wowote wenye mamba zaidi ya 200 na hawamsogelei. King lion ni habari nyingine aisee.
Juzi nimeona video mbwa nne wanavuta mamba asiingie kwenye maji au yule alikuwa mamba cousinYule hakamati Mamba, anakamata caiman(crocodile's cousin). Mlete huyo jaguar pale mto mara uone shughuli yake.
Jaguar anatoa Cainman na Allegator, Usifanye Mchezo na Crocodile mzee, Nile Crocodile mmoja ana approach 1 tonneKuna mwamba anaitwa jaguar, anafuata mamba kumayi na kumburuta
Siki hiyo kulikuwa na maonesha ya nane nane wakaleta mamba nadhani ni jamii ya hao wa mto nile.. Thats a killing machine yani walifanya kumrushia kichwa cha ngombe sijui kama chakula just a single bite kapasua pasua alafu ni Mkubwa yani yule akikumeza unatosha kabisaa..Jaguar anatoa Cainman na Allegator, Usifanye Mchezo na Crocodile mzee, Nile Crocodile mmoja ana approach 1 tonne
😁😁 Huyo atakua Ni Mamba wa dar mkuu(Kama watakuwepo huko)😁😁Juzi nimeona video mbwa nne wanavuta mamba asiingie kwenye maji au yule alikuwa mamba cousin
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]umenikumbusha mbali,,Nina ka anko kangu kangu wakati bado mdogo Kama mwaka na nusu alikuwa na bifu na jogoo...hili jogoo lilikuwa muda mwingi linamsaka ,anko akitoka nje tu jogoo anauma nae NI mwendo wa kumparua Sana...anko ikawa NI kushinda ndani kutoka nje hataki mpaka usalama wa jogoo udhibitiwe..
Ilitokea siku moja katika kucheki usalama wa jogoo akaona NI Kama jogoo limezama kibandani...ikabidi atoke ndani apunge upepo nje,kumbe jogoo lilikuwa linapiga misele tu karibu ,,,aisee kipigo alichokula anko ilikuwa sio ,,maana mpaka msaada ufike tulikuta anko jino linaning'ia damu zinavuja mdomoni...ikabidi tumwaishe hospital,,kufika dokta akamalizia kutoa vipande vya jino..
Jogoo siku hiyo hakubaki salama kisu kilimuhusu na aliliwa nyama yote kwa hasira ..
Anko wangu mpaka Leo hii Ana miaka sita,,nyama ya kuku Hali kabisaa na Wala hataki kuwasikia kuku zaidi ya kuwatazama..
Kibaya zaidi anawaonea huruma tu wanavyochinjwa mpaka huwa analia Sana..kwaiyo kuchinja kuku tunalazimika asijue kabisa maana itakuwa msiba..
NAKAZIA ,AFRIKA KILA KIUMBE KIMEVURUGWA...MAMBA NDIE KIUMBE ANAEWEZA KUKAA SEHEMU HATA MIEZI MIWILI AKIKUWINDA MTU MMOJA...NA HAYO NDIO MAFUNZO YA SNIPER SOLDIER...HIKI KIUMBE NI HATARI SANA..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]unajua simba au paka wote wana nguvu sana kwa wanyama wenye shingo.
sasa ukiiangalia shape ya kiboko,na ule mdomo unaofanya shambulio kama mkasi,ni hatari sana kwa simba.
ni bora akale hata mapera lakini sio kuingia mtoni kumfata kiboko,kwanza ratio ya uzito ni kama 1:6[emoji16]
Na kiboko ndio anaongoza kwa kuua binadamu kuliko mnyama yoyote yule I.e Simba,chui etcUnataka kuniambia kiboko ni balaa.? Mbona anaonekana mlegevu? Laini laini kama kubwa jinga MutuZ
Wamejaa tele, mamba Hana ubabe wowote NDIO maana analiwaHivi hiyo miamba tunayo kwenye mbuga zetu?