Mamba asingewekwa kwenye kundi la Super Predator hastaili kabisa

Mamba asingewekwa kwenye kundi la Super Predator hastaili kabisa

Unataka kuniambia kiboko ni balaa.? Mbona anaonekana mlegevu? Laini laini kama kubwa jinga MutuZ

unajua simba au paka wote wana nguvu sana kwa wanyama wenye shingo.

sasa ukiiangalia shape ya kiboko,na ule mdomo unaofanya shambulio kama mkasi,ni hatari sana kwa simba.

ni bora akale hata mapera lakini sio kuingia mtoni kumfata kiboko,kwanza ratio ya uzito ni kama 1:6[emoji16]
 
To be specific, alikua simba dume. Mamba akiwa kwenye maji, ni viumbe wawili tu ndio wanamshinda, either Tembo au Kiboko. Hao wengine wachumba tu!
Mkuu simba dume huwa haogopi kiume wa aina yeyote uwe wa majini au nchi kavu, ukimess with him atakuuwa au kukujeruhi vibaya. Mamba mbona anawatemi wake kibao na anamezwa kama big jii
 

Attachments

  • images (49).jpeg
    images (49).jpeg
    13.7 KB · Views: 9
  • images (50).jpeg
    images (50).jpeg
    51.9 KB · Views: 7
Mkuu simba dume huwa haogopi kiume wa aina yeyote uwe wa majini au nchi kavu, ukimess with him atakuuwa au kukujeruhi vibaya. Mamba mbona anawatemi wake kibao na anamezwa kama big jii
mzee
amazon ndio kuna hawa jaguar kwa wingi,anaconda nk.
picha hizi ni mwendelezo wa huyo mamba wa mchongo wa america ya kusini akiliwa na anaconda.

mamba wa ki nigga ni habari nyingine.
kuhusu simba kuwa jasiri ni kweli,ila ujasiri wake una mipaka,ngoja nikutajie wanyama ambao simba huwa hafikirii kuwadhuru isipokuwa aamue kubeti,kufa au kupona sawa.

binaadam,tembo,faru,boko,mamba na nyati dume.hapo simba hukimbia kabisa na ukiona kasimama ujue kakibali kila kitu.
 
Vp kuhusu kiboko je mbona huwa hazinguliwi na mamba kabisa
 
Simba dume huwa anavuka kwa raha mustarehe kwenye mto wowote wenye mamba zaidi ya 200 na hawamsogelei. King lion ni habari nyingine aisee.
Kwa ujumla ndani ya maji ya kina hata simba dume anatafunwa. Ukingoni wanachuana.
 
Jaguar anatoa Cainman na Allegator, Usifanye Mchezo na Crocodile mzee, Nile Crocodile mmoja ana approach 1 tonne
Siki hiyo kulikuwa na maonesha ya nane nane wakaleta mamba nadhani ni jamii ya hao wa mto nile.. Thats a killing machine yani walifanya kumrushia kichwa cha ngombe sijui kama chakula just a single bite kapasua pasua alafu ni Mkubwa yani yule akikumeza unatosha kabisaa..
 
umenikumbusha mbali,,Nina ka anko kangu kangu wakati bado mdogo Kama mwaka na nusu alikuwa na bifu na jogoo...hili jogoo lilikuwa muda mwingi linamsaka ,anko akitoka nje tu jogoo anauma nae NI mwendo wa kumparua Sana...anko ikawa NI kushinda ndani kutoka nje hataki mpaka usalama wa jogoo udhibitiwe..

Ilitokea siku moja katika kucheki usalama wa jogoo akaona NI Kama jogoo limezama kibandani...ikabidi atoke ndani apunge upepo nje,kumbe jogoo lilikuwa linapiga misele tu karibu ,,,aisee kipigo alichokula anko ilikuwa sio ,,maana mpaka msaada ufike tulikuta anko jino linaning'ia damu zinavuja mdomoni...ikabidi tumwaishe hospital,,kufika dokta akamalizia kutoa vipande vya jino..

Jogoo siku hiyo hakubaki salama kisu kilimuhusu na aliliwa nyama yote kwa hasira ..

Anko wangu mpaka Leo hii Ana miaka sita,,nyama ya kuku Hali kabisaa na Wala hataki kuwasikia kuku zaidi ya kuwatazama..

Kibaya zaidi anawaonea huruma tu wanavyochinjwa mpaka huwa analia Sana..kwaiyo kuchinja kuku tunalazimika asijue kabisa maana itakuwa msiba..

NAKAZIA ,AFRIKA KILA KIUMBE KIMEVURUGWA...MAMBA NDIE KIUMBE ANAEWEZA KUKAA SEHEMU HATA MIEZI MIWILI AKIKUWINDA MTU MMOJA...NA HAYO NDIO MAFUNZO YA SNIPER SOLDIER...HIKI KIUMBE NI HATARI SANA..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kile kiumbe Africa kina Stress....

Nakumbuka zamani sana nilikuwepo Mkoa mmoja... sasa tulipokuwa kulikuwa na Timbili wengi... Kuwaona wanatembea kwenye makazi ya Watu ni kawaida...

Hiyo siku kulikuwa na Papai tumeiva lipo nje... Waanza kulila....Nikasema ngoja niwafukuze.. Wueeeeh!!!!....Namna walinikimbiza sijawahi kusahau[emoji28]Hadi leo sina Ukaribu na wale viumbe.
 
unajua simba au paka wote wana nguvu sana kwa wanyama wenye shingo.

sasa ukiiangalia shape ya kiboko,na ule mdomo unaofanya shambulio kama mkasi,ni hatari sana kwa simba.

ni bora akale hata mapera lakini sio kuingia mtoni kumfata kiboko,kwanza ratio ya uzito ni kama 1:6[emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Simba na Mapera tena Mkuu?
 
Back
Top Bottom