Mambo 10 kuhusu Kachero J. Edgar Hoover wa FBI

Frank lucas alie jihusisha na mihadarati huku unakutana na carmine "the cigar "galante ambae alikuwa underboss wa bonnano family nae pia alikuwa mdau wa narcotics pale kati unakutana na Alphonce capone "scarface "huyu alikuwa boss wa chicago outfit genge la uhalifu wakijishughulisha na kila aina ya biashara kharamu.
Raymond patriaca boss of England mob na hapo unamkuta mtukutu albert anastasia "the excutioner "kichwa tete hiki mpaka familia ziliamua kukaa ili wamuondoe uhai baada ya kuwa tishio inasemekana raymond patriaca ndie alitoa mchoro na watu pia wa kuja kukiondoa albert alipigwa vyuma salon wakati ananyolewa na aliemuondoa ni jack nazaria "mad dog "mlolongo ni mrefu sasa mchanyato wote huo wa uhalifu ndipo unakutana na edger j hoover ndio mkurugezi wa FBI pazuri hapo jamaa nae hakuwa lelemama pamoja na makandokando yake ila ramani ya kazi aliichora yeye bila hivyo hawa jamaa sijui wangeweza kufanya vurugu isiyo mithilika.
 
Nimefundishia leoo watu huu uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…