Mambo 10 kuhusu Kachero J. Edgar Hoover wa FBI

Mambo 10 kuhusu Kachero J. Edgar Hoover wa FBI

Alizaliwa 1903 na kufariki 1934 akiwa na miaka 31 umri mwingi kautumikia jela baada ya kufanya tukio lake la mwanzo na huko ilipunguzwa nadhani kutoka 20 mpaka 9 ila huko jela ndio alikuja kukutana na vichwa vingine alipotoa akawa moto moja ya vituko vya huyu fedhuli alikuwa ana mjamii mama yake wa kambo. Ilikuwa heka heka na alikuwa ana jiamini sana kama kwenda penye filamu na viwanja vya michezo pia aliwahi kufanyiwa upasuaji wa kubadilisha muonekano wa wajihi wake.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Hakuoa wala kuzaa kwa sababu kuu moja!

Ukioa na kuzaa unapelelezeka kwa urahisi sana!

Huwezi kuficha siri zako kwa 100% mashirika ya upelelezi wakati ukiwa una mke au watoto!

Yeye alilitambua hilo na ndio maana hadi leo hatuwezi kumpeleleza tena.
Hawa Mashushushu haswa kama ana ufanisi mkubwa hutengenezewa Mazingira kuwa hana familia yani Huonekana bachelor public na wala anakuwa hayuko close na Family kwanini hufichi kwanza mwanadamu anakuwa na ufanisi mkubwa sana ikiwa tu hataoa wala kuolewa yani akiwa lonely man or woman mifano Leonard da vinci huyu ni polymath very gifted and talented Unamkuta Nikola Tesla Electrical engineer He did wonders, Sasa Mataifa endelevu katika intelligence huwapa perority kubwa single men and women sasa ikitokea mtu Ni moto wa kuotea mbali basi huficha documents zote za huyo mtu juu ya familia ili tu kumlinda na maadui incase amejulikana kumbuka mwanadamu ni dhaifu sana kwa lijapo swala la familia ivo kuonekana hana familia hii ina maana hana cha kupoteza public, Kuna za chini chini zinasema waziri wa ulinzi wa US James Mattis Mad dog ana familia japo haijawh kuwa proved popote na status yake ni long live bachelor.
 
Hicho chuma kilikuwepo lakini hakuna anae kijua sura na hata jina hilo linaweza kuwa si jina lake halisi huyu aliteka ndege mwaka 1971 walikitafuta sana na kubuni buni khabari kuwa kilikufa wakati kinashuka na parachuti lakini ushahidi kamili hakuna aliye shuhudia mabaki yake nadhani mwaka jana waliamua kulifunga faili lake. Hizi za prison break ni hadithi njoo utamu kolea hakuna ukweli wowote.
Mwambie atafute post the Bold humu JF alileta story ya DB COOPER, inasisimua kwa kweli. Ningekuwa mtaalamu wa IT ningemfukulia hiyo thread
 
Mashaka gani mkuu? Unamjua waziri wa ulinzi wa sasa wa Marekani? Ni Jenerali mstaafu James Mattis nae ni lifelong bachelor. Hajawahi kuoa wala hana mtoto.

Yeye amebobea zaidi katika vita na ndio kitu pekee anachokipenda katika maisha yake.

Baadhi ya vitu havitokei kwa bahati mbaya, hupangwa.
Ndio mkuuu huyu ni General mad dog kwa jina maarufu....
 
Back
Top Bottom