Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
- Thread starter
- #141
Pamoja mkuu.Ukipata muda uwe unashusha nondo basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja mkuu.Ukipata muda uwe unashusha nondo basi
Namba 8 isikupe shaka. Majiniasi wengi Ulaya walikua bize sana na kazi zao mpaka muda wa kua na Wapenzi hawakuanao. Mfano Nikola Tesla hakua na Mke wala Mpenzi walahakuwahi kufanya mapenzi he died virgin.Huyo bwana kwa maelezo hayo inaonesha alikuwa mtu hatari sana mbaka kufikia kutishia uhai wa marais, ila hiyo namba 8 inatia mashaka kidogo
Sio kweli mkuu! Jiga anajiita Hova akiwa na maana ya Je-Hova! Huyu Edgar J Hoover ni moja kati ya Watu waliochukiwa na ataendelea kuchukiwa sana na Watu Weusi wa Marekani vizazi na vizazi. Edgar Hoover ndio aliesuka mpango mzima wa kumuu Martin Luther King jr.Leo ndio nimeelewa kwann jay z alikuwa anajiita hova....kumbe ameaxima au kuwa inspired na huyo jamaa.
Duuh. Alikua darerOnly that he died young, kuna moja ya story kwamba walienda kuiba benki kwa kuzuga kwamba wako wanaact movie, so wanatafuta location ya kufanyea scen ya Bank Robbery, kumbe ndo wameenda kuiba kweli.
tuwekee picha tuone huo mkobahuyo mwanamma nina mkoba una picha yake ,nilidhani ni picha ya lady gaga....
eeeh
tunavaa vitu hata tukijaulizwa unamfahamu hujui....
Asanteni kwa somo....
ila mwanamama alikua kisu, wanasema eti alijioverdose
Mkuu samahani fafanua hapo kwenye hoja ya baadhi ya vitu hupangwa tunaweza kupata nyamaMashaka gani mkuu? Unamjua waziri wa ulinzi wa sasa wa Marekani? Ni Jenerali mstaafu James Mattis nae ni lifelong bachelor. Hajawahi kuoa wala hana mtoto.
Yeye amebobea zaidi katika vita na ndio kitu pekee anachokipenda katika maisha yake.
Baadhi ya vitu havitokei kwa bahati mbaya, hupangwa.
Mbona sasa hujanipa Credit zangu Mkuu? ( joking )Nimefundishia leoo watu huu uzi