Hicho chuma kilikuwepo lakini hakuna anae kijua sura na hata jina hilo linaweza kuwa si jina lake halisi huyu aliteka ndege mwaka 1971 walikitafuta sana na kubuni buni khabari kuwa kilikufa wakati kinashuka na parachuti lakini ushahidi kamili hakuna aliye shuhudia mabaki yake nadhani mwaka jana waliamua kulifunga faili lake. Hizi za prison break ni hadithi njoo utamu kolea hakuna ukweli wowote.Db ni Nan maana kumsikia mara ya kwanza kwenye prisonbreak
I will check it brooh!ukitaka kmfaidi huyu mzee, tafuta muvi inaitwa all the way 2016, jamaa ana akili balaa hlf anajua kupika matukio
Na kwa kizazi hiki ni wachache zaidiAmeshafariki Dunia. Amefariki na siri zake. Ni watu wachache sana Duniani wanaweza kufanya hivyo, na watu wa kariba ya Bi Hellen hawazaliwi hovyohovyo.
Wenye siri walijijua kwa kuwa rais akiwa hafurahishwi na bwana hoover na aki waza kumtumbua hoover ana mpa hint ya scandal yake kwa kitu kama "..Mr President before you discuss this er i kindly ask you to consider subject x which if i were you i would love it to be a public knowledge.."km mafili yote yalichomwa moto nan alitoa siri hii na nan alifahamu haya mambo kiundani ivo? je alikuwa muwazi kiwango hicho? Je km ndivo tunaweza kumwita mweredi au alidifiwa tu.
Nawaza tu
Huyo bwana kwa maelezo hayo inaonesha alikuwa mtu hatari sana mbaka kufikia kutishia uhai wa marais, ila hiyo namba 8 inatia mashaka kidogo
All the way 2016Iyo muvi hapo inaitwaje
Namuona di caprio
COOPER alikuwa miaka ya 1971 qakat huyo mzee ameshakabidhi jezi kwa Dear GODLakini kachemka kwa DB Cooper!
Mashaka gani mkuu? Unamjua waziri wa ulinzi wa sasa wa Marekani? Ni Jenerali mstaafu James Mattis nae ni lifelong bachelor. Hajawahi kuoa wala hana mtoto.
Yeye amebobea zaidi katika vita na ndio kitu pekee anachokipenda katika maisha yake.
Baadhi ya vitu havitokei kwa bahati mbaya, hupangwa.
Kuna baadhi ya mambo hufanywa kwa ujanja ili mtu asiweze kupata weakness yako na kukuingilia.Bi Hellen Gandy naye hakuolewa wala kupata mtoto.
Hii kazi nyingine nazo.
Kumbe!Picha namba 3 huyo jamaa ni Jack wa Titanic
Dn't miss.......!!I will check it brooh!
Nackia alozaliwa 1903 kafa 1931John dillinger hawakuwa watu wazuri na kundi lake kafanya wizi benki 24 tofauti kavamia vituo vya polisi mara 4 majimbo manne ya marekani wakawa wanamsaka mwaka mzima hapo ndipo edger hoover akaingia John utukutu huo mpaka umauti unamkuta hajafika miaka 40.
Msenge flan alieasumbua FVI tangu 1971 mpaka sasa haeajampataDb ni Nan maana kumsikia mara ya kwanza kwenye prisonbreak
Kweli jamaa kasumbuaHicho chuma kilikuwepo lakini hakuna anae kijua sura na hata jina hilo linaweza kuwa si jina lake halisi huyu aliteka ndege mwaka 1971 walikitafuta sana na kubuni buni khabari kuwa kilikufa wakati kinashuka na parachuti lakini ushahidi kamili hakuna aliye shuhudia mabaki yake nadhani mwaka jana waliamua kulifunga faili lake. Hizi za prison break ni hadithi njoo utamu kolea hakuna ukweli wowote.
Ujanja muhimu maana kazi nyingine ni hatari sanaKuna baadhi ya mambo hufanywa kwa ujanja ili mtu asiweze kupata weakness yako na kukuingilia.
Kwa nafasi aliyokuwa nayo, jamaa aliweza kabisa kuondoa nyaraka zote zinazo onyesha kuwa na mtoto au hata mpenzi
Document zote ili awe salama
Alizaliwa 1903 na kufariki 1934 akiwa na miaka 31 umri mwingi kautumikia jela baada ya kufanya tukio lake la mwanzo na huko ilipunguzwa nadhani kutoka 20 mpaka 9 ila huko jela ndio alikuja kukutana na vichwa vingine alipotoa akawa moto moja ya vituko vya huyu fedhuli alikuwa ana mjamii mama yake wa kambo. Ilikuwa heka heka na alikuwa ana jiamini sana kama kwenda penye filamu na viwanja vya michezo pia aliwahi kufanyiwa upasuaji wa kubadilisha muonekano wa wajihi wake.Nackia alozaliwa 1903 kafa 1931
kwa nini wa muue mtoto mzuri namna hii? JFK alishawahi kuoa?Hapo kqenye namba 5 inadaiwa ili kuficha siri ya bwana mkubwa JFK kutoka na mlimbwende huyo ikabidi wamuue kimyakimya
Daaaa.....ina maana walishindwa hata kumdhibiti kwa kutumia wakubwa wa Jeshi la wananchi wa marekani.
OkHicho chuma kilikuwepo lakini hakuna anae kijua sura na hata jina hilo linaweza kuwa si jina lake halisi huyu aliteka ndege mwaka 1971 walikitafuta sana na kubuni buni khabari kuwa kilikufa wakati kinashuka na parachuti lakini ushahidi kamili hakuna aliye shuhudia mabaki yake nadhani mwaka jana waliamua kulifunga faili lake. Hizi za prison break ni hadithi njoo utamu kolea hakuna ukweli wowote.