dev senior
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 458
- 557
Hova is from J Hova which is from jehovah.Leo ndio nimeelewa kwann jay z alikuwa anajiita hova....kumbe ameaxima au kuwa inspired na huyo jamaa.
No way hiyo ya jay z itakuwa hova from jehova....hakuwa na akili hizo za yeye kujiiita jehova wakati hasimu wake nassir Jones NAS anajiita escobar kwa maana ya pablo escobar muuza unga wa colombia.Hova is from J Hova which is from jehovah.
JFK alioa na alikuwa na watoto kadhaa.kwa nini wa muue mtoto mzuri namna hii? JFK alishawahi kuoa?
ina maana wakati akiwa na husiano na huyu monrie alikuwa tayari ameoa?JFK alioa na alikuwa na watoto kadhaa.
Mrembo Marilyn Monroe alikufa kifo tata inasemekana Hoover alikuwa nyuma ya mauaji hayo.
Ndio mkuu, michepuko haikuanza leo wala jana. Toka zamani watu wana michepuko.ina maana wakati akiwa na husiano na huyu monrie alikuwa tayari ameoa?
kweli hii ni scandal, katika uwanja wa siasa kuwa na mchepuko ni scandalNdio mkuu, michepuko haikuanza leo wala jana. Toka zamani watu wana michepuko.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Alizaliwa 1903 na kufariki 1934 akiwa na miaka 31 umri mwingi kautumikia jela baada ya kufanya tukio lake la mwanzo na huko ilipunguzwa nadhani kutoka 20 mpaka 9 ila huko jela ndio alikuja kukutana na vichwa vingine alipotoa akawa moto moja ya vituko vya huyu fedhuli alikuwa ana mjamii mama yake wa kambo. Ilikuwa heka heka na alikuwa ana jiamini sana kama kwenda penye filamu na viwanja vya michezo pia aliwahi kufanyiwa upasuaji wa kubadilisha muonekano wa wajihi wake.
Ni mhalifu wa Grade A Alifanya mission ya kuteka Ndege ya kampuni ya Boeing kwa Ufanisi wa Asilimia 100 mpaka leo hajawahi kupatikana Secret agency kibao zimehangaika kutegua fumbo hilo ila wamechemkaDb ni Nan maana kumsikia mara ya kwanza kwenye prisonbreak
JFK alioa mkuu na wakati ana shootiwa risasi na sniper lee Harvey oswarld dallas, Texas kwenye motorcade yake alikuwa Mke wake Jacqueline Kennedykwa nini wa muue mtoto mzuri namna hii? JFK alishawahi kuoa?
Hawa Mashushushu haswa kama ana ufanisi mkubwa hutengenezewa Mazingira kuwa hana familia yani Huonekana bachelor public na wala anakuwa hayuko close na Family kwanini hufichi kwanza mwanadamu anakuwa na ufanisi mkubwa sana ikiwa tu hataoa wala kuolewa yani akiwa lonely man or woman mifano Leonard da vinci huyu ni polymath very gifted and talented Unamkuta Nikola Tesla Electrical engineer He did wonders, Sasa Mataifa endelevu katika intelligence huwapa perority kubwa single men and women sasa ikitokea mtu Ni moto wa kuotea mbali basi huficha documents zote za huyo mtu juu ya familia ili tu kumlinda na maadui incase amejulikana kumbuka mwanadamu ni dhaifu sana kwa lijapo swala la familia ivo kuonekana hana familia hii ina maana hana cha kupoteza public, Kuna za chini chini zinasema waziri wa ulinzi wa US James Mattis Mad dog ana familia japo haijawh kuwa proved popote na status yake ni long live bachelor.Hakuoa wala kuzaa kwa sababu kuu moja!
Ukioa na kuzaa unapelelezeka kwa urahisi sana!
Huwezi kuficha siri zako kwa 100% mashirika ya upelelezi wakati ukiwa una mke au watoto!
Yeye alilitambua hilo na ndio maana hadi leo hatuwezi kumpeleleza tena.
Mwambie atafute post the Bold humu JF alileta story ya DB COOPER, inasisimua kwa kweli. Ningekuwa mtaalamu wa IT ningemfukulia hiyo threadHicho chuma kilikuwepo lakini hakuna anae kijua sura na hata jina hilo linaweza kuwa si jina lake halisi huyu aliteka ndege mwaka 1971 walikitafuta sana na kubuni buni khabari kuwa kilikufa wakati kinashuka na parachuti lakini ushahidi kamili hakuna aliye shuhudia mabaki yake nadhani mwaka jana waliamua kulifunga faili lake. Hizi za prison break ni hadithi njoo utamu kolea hakuna ukweli wowote.
Wapo wengi ambao walikutana na Masahibu ya J. Edgar Hoover kama vile Jimmy Hoffa, Marilyn Monroe, Malcom X na hata Robert F. Kennedy.Uyo jamaa inaonesha haku muua martin Luther pekee mpaka wengne
Mkuu unasomaga vitabu au....upo deep sanaWapo wengi ambao walikutana na Masahibu ya J. Edgar Hoover kama vile Jimmy Hoffa, Marilyn Monroe, Malcom X na hata Robert F. Kennedy.
Ndio mkuuu huyu ni General mad dog kwa jina maarufu....Mashaka gani mkuu? Unamjua waziri wa ulinzi wa sasa wa Marekani? Ni Jenerali mstaafu James Mattis nae ni lifelong bachelor. Hajawahi kuoa wala hana mtoto.
Yeye amebobea zaidi katika vita na ndio kitu pekee anachokipenda katika maisha yake.
Baadhi ya vitu havitokei kwa bahati mbaya, hupangwa.
Niko na interest na hivyo vitu ndo maana kutenga muda na kusoma makala sio kazi kwangu.Mkuu unasomaga vitabu au....upo deep sana
Ukipata muda uwe unashusha nondo basiNiko na interest na hivyo vitu ndo maana kutenga muda na kusoma makala sio kazi kwangu.