BonventureSr
JF-Expert Member
- Nov 16, 2023
- 879
- 1,432
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp kipindi kile mmecheza fainali yalikuwa ni mashindano ya mishangazi auTofautisha CAFCL na Yale mashindano yenu ya UMISETA yaani shirikisho ni mashindano ya akina mama
Alitaka kuwa mfungaji Bora wa Caf mmesahau juzi mlimpa kichwa! yako wapiMakosa ya Mzize kupiga mipira Hovyo yameikosesha Yanga nafasi muhimu
Wakwetu utawaua nyumbu hawa😁😁Kanyaga kichwa bado anapumua😃
Aisee 😂😂Wakwetu utawaua nyumbu hawa😁😁
Wanehesabia hata vidole aiseeYanga waliiamini zaidi calculator bora wangetumia four figure
Hakuna uwanja wenye jina hilo TZ3.Mashabiki wa Yanga hawakuitendea Haki mechi.
Mashabiki walipaswa kuujaza uwanja wa mpaka badala yake walioingia pia hawakua wkishangilia.
Shukrani sana mwananguPole sana kwa wanangu Vincenzo Jr ephen_ Evelyn Salt Bantu Lady ngara23 Shadeeya , Labani og , japo nipo kimya ila katika watu wananikera simba ikizingua ni hawa asee , poleni sna wanangu ndivyo mpira ulivyo✍️
Sawa Yanga yupo robo ya mzani sasaHakuna uwanja wenye jina hilo TZ
Walizidi sana Mdomo wa kwetu.😅Wakwetu utawaua nyumbu hawa😁😁
Wakwetu leo nalewa tu aseeeee😆😆😆Walizidi sana Mdomo wa kwetu.😅
Mwamba nilikusahau ila leo mmeniangusha,hata kagoli kapenaltyShukrani sana mwanangu
Yeah hata katika nyakati za utungu wenu nipo nanyi daima.Shukrani sana mwanangu
Asante mtaniPole sana kwa wanangu Vincenzo Jr ephen_ Evelyn Salt Bantu Lady ngara23 Shadeeya , Labani og , japo nipo kimya ila katika watu wananikera simba ikizingua ni hawa asee , poleni sna wanangu ndivyo mpira ulivyo✍️
Kweli mkuu, japo mimi nina furahi now😁😁 tena kwa vinywaji changamshi bwasheee😅😅😅Asante mtani
Huwezi kufurahia siku zote