BonventureSr
JF-Expert Member
- Nov 16, 2023
- 879
- 1,432
- Thread starter
- #61
Ndio football mzee,Ila Kocha kachelewa kufanya SubHali ni mbaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio football mzee,Ila Kocha kachelewa kufanya SubHali ni mbaya sana
Endeleeni na Wasira Team linashuka daraja hili.Kijana tulia tupo Dodoma bize sana
LIipumbavu katika ubora wako...Tofautisha CAFCL na Yale mashindano yenu ya UMISETA yaani shirikisho ni mashindano ya akina mama
Nafanya kama the Weeknd napiga za bei ndogo sana bia za bei cheeDollars 30 pombe mpka asubuh?
Una hasira🤣😅😂LIipumbavu katika ubora wako...
Nilisema mwanzo kabisa, Yanga sijui ilitumia akili gani kumsajili Dube na Baleke. Ingekuwa wa ndani sawa. Lakini kweli unachukua mchezaji wa kigeni unayemshuhudia kila siku akiflop?Yanga tukubali tu tangu aondoke Mayele, hatujawahi tena kumiliki mshambuliaji wa kutumainiwa na timu. Dube anaruka ruka tu uwanjani na kuanguka hovyo! Hana nguvu, hana pace!! Yaani ni tia maji tia maji tu.
Musondo naye sijui ana shida gani! Maana hata hajitumi kivile. Kocha naye naye anaonekana ni mgeni wa mashindano! Kuna mapungufu mengi ya kiufundi nayo yamechangia kuindosha timu kwenye mashindano.
Kula vitu mkuuNafanya kama the Weeknd napiga za bei ndogo sana bia za bei chee
Huyu min -me mtu wa maana KabisaKula vitu mkuu
Group stageMmefika wapi wenzetu
Group la WhatsApp au? Wewe Uto bora ungelala tuache wanaume humuGroup stage
Wanaume hawachezi shirikishoGroup la WhatsApp au? Wewe Uto bora ungelala tuache wanaume humu
Hasira ya nini sasa bwa,sheeUna hasira🤣😅😂
Wewe mama mwenye kamba za shirikisho tuonyeshe manyonyo basi tukupendeWanaume hawachezi shirikisho
Jamaa hajui mpira,aucho na azizi wamefanya sana kazi,kocha ndo mzushi hana ubunifu kakalili kikosi muda na max walipaswa wacheze wote wanajituma sana, dube angetoka akaingia zingeli au abuyaHapo kwenye kufanyiwa sub Aucho nakukatalia leo ndo alikuwa engine pale mbele na anastahili hata kupewa man of the match
Wao ni akina mama wakubwa mkuu wasikuchoshe .au wao walikuwa wapishi wa akina baba mashindanoni.Hayo mashindano ya akina mama
1. Ndiyo mashindano mnayojivunia mpaka sasa (kwenye Champion League bado hamjavunja record ya Simba)
2. Hayo mashindao ya wakinana ndiyo mlicheza mpaka mkafika fainali
3. Hayo mashindano ya wakinamama ndiyo mpaka metegeneza documentary
4. Hayo mashindano ya wakina mama ndiyo mnazo mpaka medali zake
5. Hayo mashindano ya wakina mama ndiyo mpaka mashabiki wa Yanga na wachezaji walikula Supu Jangwani
Unafikiri kati ya Yanga na Simba hapo nani ni mama?
Hongera mwakakundi umejaribu😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛
Mno bado nasubiri kwenda kwa Kalpana nikale ugali samakiNi kolo anayejielewa