Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Hali ni mbaya sanaMwamba nilikusahau ila leo mmeniangusha,hata kagoli kapenalty
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hali ni mbaya sanaMwamba nilikusahau ila leo mmeniangusha,hata kagoli kapenalty
😂😅🤣 Leo siku yenuKweli mkuu, japo mimi nina furahi now😁😁 tena kwa vinywaji changamshi bwasheee😅😅😅
Kijana tulia tupo Dodoma bize sanaPole sana kwa wanangu Vincenzo Jr ephen_ Evelyn Salt Bantu Lady ngara23 Shadeeya , Labani og , japo nipo kimya ila katika watu wananikera simba ikizingua ni hawa asee , poleni sna wanangu ndivyo mpira ulivyo✍️
Yanga amewahi kucheza mechi,ila leo ndio alikutana na timu.Ukweli Usemwe.
Kuvuka makundi kwenye Championship sio kila timu inaweza.., timu zinajipanga na hazichezi kwa mihemko... waangalie hao MC Alger walicheza kimkakati sana. Hawakutaka kufunguka sana kz walijua mpira wa Yanga, ukifunguka sana wanakuadhibu... Aina hii ya uchezaji wa Alger ndio waliokuwa wanautumia Simba., huwaoni saaana kuwa hatari lakini wanavuka.
Ni mpira mkuuYanga tukubayi tu aondoke Mayele, hatujawahi tena kumiliki mshambuliaji wa kutumainiwa na timu. Dube anaruka ruka tu uwanjani na kuanguka hovyo! Hana nguvu, hana pace, hana kasi!! Yaani ni tia maji tia maji tu.
Musondo naye sijui ana shida gani! Maana hata hajitumi kivile.
Aight bet bro. What’s good? Whatchu tryna talk bout?😅😅Kijana tulia tupo Dodoma bize sana
Kocha sijamuelewa kabisa leo, huyu Dube hapana ila kakomaa naye. Tuseme tu ni taaluma yakeKwa Tathimini Yangu haya ndio mambo 10
1.Algers walikuja na mpango wa kuzuia kipindi cha kwanza.
Walipaki basi na Yanga wakashindwa kupress backline ya Algers.
2.Yanga hawakucheza kama team,
Kila mchezaji alitaka kuwa man of the match kitu ambacho kiliwaghalimu Yanga,Makosa ya Mzize kupiga mipira Hovyo yameikosesha Yanga nafasi muhimu.Nafikiri mzize aliagiza mzigo mpya dukani kwake.
3.Mashabiki wa Yanga hawakuitendea Haki mechi.
Mashabiki walipaswa kuujaza uwanja wa mpaka badala yake walioingia pia hawakua wkishangilia.
4.Musonda sio mchezaji wa mechi kubwa,
Musonda amefeli mapema sana leo ,sijui kwanini Kocha alimuacha akamaliza kipindi cha kwanza,Game ilimtaka Pacome zaidi.
5.Boka ni Beki wa kawaida sanaa,Lomalisa amekumbukwa leo.
Kross zake zote ziligonga mogongo ya mabeki na kutoka nje,wazili wa maji Lomalisa alikua bora zaidi
6.MC Alger na mbinu ya kupoteza muda.
Mwarabu huyu ni mwarabu upupu,amejiangusha sana,Amepoteza Muda ,zilipaswa kuongezwa zaidi ya dk 7
7.Kocha wa Yanga kutofanya Sabu.
Aucho alichoka mapema,
Duke abuya mechi ilimpasa kuingia kipindi cha pili. Kibabage alipaswa kuingia kumwaga maji zaidi ya boka.Dube mechi ilimkataa mapema chama angeiweza hii mechi.
8.Ally Kamwe ulefeli kwenye Hamasa.
Kitendo cha kushindwa kuujaza uwanja ni udhaifu wa Kamwe Ally.
Ilifika muda mpaka Manara akawa anamsaidia kupiga promo kwenye media ila hakufananya hivyo zaidi ya kujisifia yeye.Mashabiki wamezoea kwenda bureee.
9.Yanga inahitaji namba 9 aina ya Baleke,
Mipira mingi ilianguka ndani ya box la MC alger hakuwepo mmaliziaji,Nimemmkumbuka Baleke,Angewasaidia sana game ya leo.
10.Karibuni Kesho mjifunze kumfunga mwarabu nyumbani.
Siku moja wana yanga wote nitawalipia tiketi humu 😆😆😆
Uko sahihi. Ila viongozi wanatakiwa kurekebisha mapungufu yaliyojitokeza, kwenye usajili wa dirisha kubwa! kama kweli wana malengo ya kufika mbali.Ni mpira mkuu
Tukubali matokeo
Tujipange upya
Pole sana mkuu 😊Uko sahihi. Ila viongozi wanatakiwa kurekebisha mapungufu yaliyojitokeza kwenye usajili wa dirisha kubwa, kama kweli wana malengo ya kufika mbali.
Naam gracias amigos hii naenda kunywa bia hapa mpaka asubuhiSiku moja wana yanga wote nitawalipia tiketi humu 😆😆😆
Simba mbona walivuka miaka yote mkuuUn
Unadhani ayo ni mashindano ya chandimu,,kwakuwa yanga kashindwa kusonga mtaongea mengi but iyo ni ligi ya mabingwa sio chandimu cup mliyopo nyie,,ubora wa vilabu vilivyopo uko ni tofauti na kwenu ivyo usitambe ukimaliza maneno!
Dollars 30 pombe mpka asubuh?Naam gracias amigos hii naenda kunywa bia hapa mpaka asubuhi
Si ndio mnajisifu nayo kufika final.Un
Unadhani ayo ni mashindano ya chandimu,,kwakuwa yanga kashindwa kusonga mtaongea mengi but iyo ni ligi ya mabingwa sio chandimu cup mliyopo nyie,,ubora wa vilabu vilivyopo uko ni tofauti na kwenu ivyo usitambe ukimaliza maneno!
Hawa panya buku wanatia huruma sanaKanyaga kichwa bado anapumua😃
Hayo mashindano ya akina mamaTofautisha CAFCL na Yale mashindano yenu ya UMISETA yaani shirikisho ni mashindano ya akina mama
Mmefika wapi wenzetuTofautisha CAFCL na Yale mashindano yenu ya UMISETA yaani shirikisho ni mashindano ya akina mama