nimefuatilia kwa karibu mjadala huu lkn bado kuna kitu kinanitatiza.....kama hivyo vipimo vya HIV ni feki ni kwanini basi wengine wakipimwa wanaonekana HIV- na wengine wanakuwa HIV+ kama ni feki kwanini majibu mengi yasingekuwa HIV+ ...nimesema hivi kwakuwa mm mwenyewe nafanya kazi maabara kati ya watu 20 ninaoweza kuwapima kwa kutumia alere ni 1au 3 wanaweza kukutwa HIV+....sibishani na nyie isipokuwa nataka kuelewa ni kwanini wengine wanakuwa positive na wengine negative
Thanks! Mkuu , Kwanza ni vizuri wewe ni mtu wa maabara najua unafahamu vitu vingi kuhusu vipimo. Lakini watu walio wengi hawafahamu kuhusu hivi vipimo. Vipimo ambavyo vinatumika frequently kupima HIV ni Elisa (Screening Test), Western Blot (Confirmatory Test) na PCR (Polymerase Chain Reaction) kwa jina lingine (Viral Load Test).
Vipimo vya Elisa na Western Blot vinachofanya ni ku detect antibodies against HIV. Kwa upande wa PCR (
Polymerase Chain Reaction) au Viral Load Test hiki ni genetic test, ambacho kina detect nakala ya vipade vya RNA ambavyo vinatazamiwa kama nucleic acid za HIV.
Hakuna kipimo hata kimoja kati ya hivyo ambavyo vinadetect uwepo wa HIV virus moja kwa moja.
Tukizungumzia Elisa na Western Blot vyote havina garantii kwamba mtu kweli ameambukizwa HIV.
Vipimo hivi vya Elisa na Western Blot ambavyo vina detect Antibody vingekuwa na maana pale tu vingekuwa standardised. Hii ina maana kwamba vinapotoa results, vinapaswa kutoa results zenye maana sawa au zinazofanana kwa wagonjwa wote, maabara zote na nchi zote. Lakini hiyo ni tofauti, kwa maana vinatoa majibu tofauti kwa watu tofauti, vinatoa maana tofauti kwa maabara tofauti na kwa nchi tofauti.
Yaani kwa lugha rahisi viko interpreted tofauti kwenye nchi tofauti, hii ina maana kwamba mtu ambaye yuko positive afrika anaweza kukutwa negative anapopima akiwa Australia au marekani.
Na tatizo lingine same sample blood inapokuwa tested kwenye maabara tofauti labda 10 majibu yanayopatikana pia ni 10.
Sasa wanasayansi wanasema njia pekee ambayo ni valid kwa ajili ya kupima kiwango na ubora wa vipimo katika clinical medicine ni kulinganisha Gold Standard za vipimo husika. (Which one is the best ). Na ili kujua Gold Standard ya vipimo vya UKIMWI , target ilitakiwa kuwa ni kupima kirusi chenyewe cha HIV na si antibody ambayo ime react na hicho kirusi.
Na ni ukweli ulio wazi kuwa kirusi cha HIV hakijawa isolated kama independent free viral entity. Kwasababu hiyo basi ni ngumu sana kuelezea specificity ya vipimo vya HIV.
Kwahiyo kwasasa specificity ya vipimo vya HIV hailezewi kwa kufanya comparison na kirusi cha HIV ambacho kimekuwa purified isipokuwa inaelezewa kwa kufanya comparison kwa kuhoji clinical fact tu za ugonjwa wa ukimwi au T-CELL Counts.
Nikirudi kwenye swali lako; kama hivyo vipimo vya HIV ni feki ni kwanini basi wengine wakipimwa wanaonekana HIV- na wengine wanakuwa HIV+ kama ni feki kwanini majibu mengi yasingekuwa HIV+?.
Jibu ni kwamba kuwa positive au kuwa negative, kunategemea na condition nyingi sana. Kumbuka msingi wa kuwa positive kwa vipimo vya HIV ni kuonekana kwa antibody ambayo ime react na kirusi kwenye mwili wa mtu. Kuna sababu nyingi kama nilivyosema ambazo zinasababisha mtu kureact positive, refer to (Johnson 1993, 1995, 1996a,b; Hodgkinson 1996; Turner 1996, 1997/8; Shenton 1998; Papadopulos-Eleopulos et al 1993; Giraldo 1997d, 2000a; Giraldo et al 1999).
Hizi ni sababu mojawapo za mtu kureact positive au kutoreact positive;
Ujauzito , Kuwa na maambukizi ya kipindi cha nyuma au yaliyopo ya bacteria, virusi na parasite ambao husababisha magonjwa kama malaria, tb , ukoma, mafua na magonjwa ya ngono na sababu nyinginezo nyingi.
Pitia hiyo link ili ujiongeze zaidi
The Perth Group HIV-AIDS Debate Website