Mambo 10 yanayothibitisha kwamba Mungu yupo

Mambo 10 yanayothibitisha kwamba Mungu yupo

Ww ndio hujataka kuwaelewa ila kuna watu wanaamini kuwa Mungu ndio sisi ni kila chenye uhai ukiondoa umbonlake la mwili. Ondo hyo biashara ya mbinguni ni vitu vya kusadikika
Kumbe na wewe ni Atheist!
 
Ety tumwamini Yesu. Kwani Yesu ndio Mungu?
Ndiyo, Yesu ni Mungu. Yesu alitembea juu ya maji. Yesu aligeuza maji yakawa divai. Yesu alikufa, akafufuka, akapaa mbinguni. Nani mwingine anayeweza kufanya hayo kama sio Mungu.
 
Ndiyo, Yesu ni Mungu. Yesu alitembea juu ya maji. Yesu aligeuza maji yakawa divai. Yesu alikufa, akafufuka, akapaa mbinguni. Nani mwingine anayeweza kufanya hayo kama sio Mungu.
Kwa hiyo Yesu ndie aliyetuumba au?
 
Kwa hiyo Yesu ndie aliyetuumba au?
Soma Yohana 1:1-3:
"Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwa kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwa kwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika."
 
Unasema unajua kwamba Mungu yupo, Haya muoneshe huyo Mungu yupoje.
Dah! Unasikitisha sana kwa sababu zamani nilikuwa nadhani atheists ni watu waelewa sana ila JF imenipa nafasi ya kuweza kuona kuwa sikuwa sahihi.

Kama unaelewa unachokipinga utajua kuwa mara zote inasemwa hakuna aliyewahi kumuona Mungu.

Ndugu, usiku mwema.
 
Dah! Unasikitisha sana kwa sababu zamani nilikuwa nadhani atheists ni watu waelewa sana ila JF imenipa nafasi ya kuweza kuona kuwa sikuwa sahihi.

Kama unaelewa unachokipinga utajua kuwa mara zote inasemwa hakuna aliyewahi kumuona Mungu.

Ndugu, usiku mwema.
Kama hakuna aliyewahi kumuona Mungu, waliwezaje kujua kuna Mungu?

Kama hakuna aliyewahi kumuona Mungu, Ni kwamba huyo "Mungu" ni MAFIKIRIO YENU UCHWARA.
 
Kama hakuna aliyewahi kumuona Mungu, waliwezaje kujua kuna Mungu?

Kama hakuna aliyewahi kumuona Mungu, Ni kwamba huyo "Mungu" ni MAFIKIRIO YENU UCHWARA.
Mungu anaonekana kupitia kazi zake na uumbaji wake. Biblia inasema:
“Mbingu zauhubiri utukufu wa Mungu, na anga laitangaza kazi ya mikono yake.” (Zaburi 19:1). Uumbaji wa dunia, uzuri wa maumbile, na mpangilio wa sayari ni ushuhuda tosha kuwa yupo Mungu aliye hai.

Fahamu tena kwamba Mungu alijifunua kwa njia ya manabii na mitume waliopokea maono, ufunuo, na maagizo kutoka kwake. Biblia ni ushuhuda wa mawasiliano ya Mungu na wanadamu.

Ingawa hakuna mtu aliyemuona Mungu ana kwa ana, watu walimuona Yesu Kristo, aliyekuja kwetu na "kuvaa" mwili wa kibinadamu. Yesu Kristo alisema: “Aliyeniona mimi amemwona Baba.” (Yohana 14:9)

Kwahiyo kutokumuona Mungu sio uthibitisho kwamba hayupo. Ni kama vile tusivyoweza kuuona upepo lakini athari ya upepo tunaiona. Matendo ya Mungu tunayaona: Vipofu wanaona, viwete wanatembea, wenye dhambi wanaokoka nk nk. Anza leo kumtafuta Mungu kwa imani utaona atakavyojidhihirisha kwako.
 
Kama hakuna aliyewahi kumuona Mungu, waliwezaje kujua kuna Mungu?

Kama hakuna aliyewahi kumuona Mungu, Ni kwamba huyo "Mungu" ni MAFIKIRIO YENU UCHWARA.
Kwahiyo wewe unataka uonyweshwe picha ya Mungu huko aliko au unataka upelekwe huko aliko?
 
Hahah! Shehe magu Kuna mada ya kabendela kule mkuu
Hiyo mada ya Kabendera inanishangaza sana maana unamkuta atheist anaamini kabisa madai ya Kabendera na wala hata haihitaji uthibitisho kabisa ye keshaamini ni kweli Magufuli kauwa mtu Ikulu tena kwa bastola.
 
Hiyo mada ya Kabendera inanishangaza sana maana unamkuta atheist anaamini kabisa madai ya Kabendera na wala hata haihitaji uthibitisho kabisa ye keshaamini ni kweli Magufuli kauwa mtu Ikulu tena kwa bastola.
Ibilisi yuko kazini. Ukiamini vitu vingine hashughuliki na wewe. Lakini akiona unataka kuanza kumwamini Mungu atakujaza mashaka na kukuambia hakuna ushahidi.
 
Hiyo mada ya Kabendera inanishangaza sana maana unamkuta atheist anaamini kabisa madai ya Kabendera na wala hata haihitaji uthibitisho kabisa ye keshaamini ni kweli Magufuli kauwa mtu Ikulu tena kwa bastola.
Nataka kuanza kuepukana na atheists kwenye mijadala coz Hawa jamaa usipokuwa na imani thabiti wanakutoa nje ya imani bila kujijua. Neno lisilo na uzima ndani yake linapotamkwa huanza kufanya kazi hapohapo, hata uwe na imani kiasi gani bado utakuta chembe za athari ndani yake.

Kitu kinachonisaidia pekee Ni kwamba tayari nimeshafika hatua yakuthibitisha uwepo wa Mungu pasina mashaka yeyote so inapokuja suala tetereshi juu ya imani huwa narejea matendo makuu na kwa hiyo najikuta kuwaona atheists Kama wahuni Fulani hivi wasio na uchaguzi Bora katika maisha yao.

Japo huwa nawasikitikia atheists wachanga ambao ni matokeo yakusikia neno lisilo na uzima kabla ya Mungu kuwathibitishia uwepo wake.
 
God doesn't exist.

Human beings created God through assumptions based on things beyond imaginations.
God's existence isn't a product of imagination but a reality supported by reason, design in creation, and countless personal experiences. Nimeeleza mara nyingi humu mambo makubwa ambayo Mungu amenitendea. Assumptions can't explain the depth of faith shared by billions.
 
Baso nasubiria huo uthibitisho

Haya mahubiri kwangu ni nonsense
Yes, endelea kusubiri, bado kitambo kidogo Yesu atakuja tena, utathibitisha. Ila atakapokuja utajuta kwa sababu atakuja kuwachukua na kuwapeleka mbinguni wale tu wanaoamini. Wasioamini wataachwa katika dhiki kuu ambayo haijawahi kutokea tangu ulimwengu ulipoumbwa! For more info, read the Bible
 
Sijakupata!
Umeelezea claims zako kumi....hizo hazidhibitishi mungu yupo zinaprove kwamba we huna maji so umempachika mungu...so si hatuna shida...shida yetu ni moja...unajuaje Yesu ndo kafanya hayo na sio Yahweh na Allah...na usiniambie ni mtu mmoja ...na ukitoka hapo unielezee unajuaje sio Zeus au Odin au Krishna ndo kafanya hayo sijui kuumba cjui nini...maana mi sijui jua limetoka wapi naweza kukuambia ni Osiris utabisha? So swala sio kujua au kutokujua...swala ni tupe evidence kwamba ni Yesu Kristo ...
 
Back
Top Bottom