Mambo 10 yanayothibitisha kwamba Mungu yupo

Mambo 10 yanayothibitisha kwamba Mungu yupo

Magufuli yupo na ilithibitika yupo.

Kwa hivyo huu mfano wako ni illogical.

Kwanza thibitisha Mungu yupo, Na si mawazo yako ya kufikirika tu na imani zako za kuaminishwa.

Magufuli alijulikana na kila mtu yupo na ilithibitika yupo, Na ushahidi wa uwepo wa Magufuli upo. Hata kaburi lake lipo.

Sasa Thibitisha uwepo wa huyo Mungu yeye kama yeye.
Kama Magufuli alikuwepo mbona hakujitokeza kujibu shutuma zake? Wewe si umetaka Mungu ajitokeze kisa et sie tunabishana kuhusu yeye maana ndivyo ulivyojenga hoja yako kwamba kwa sababu sisi tunabishana kuhusu yeye basi angekuwepo kweli angejitokeza akajielezea mwenyewe ndio nakwambia hata Magufuli alikuwepo ila bado hakujitokeza kujibu mwenyewe shutuma zake hadi leo bado watu tunabishana.

Sasa iweje wewe uitimishe Mungu hayupo kisa hajidhihirishi mwenyewe?
 
Wale wasioamini kwamba Mungu yupo, someni kwa makini sababu hizi 10 zinazothibitisha uwepo wa Mungu. Asiyeelewa lugha iliyotumika atumie google translator, itampa tafsiri ya Kiswahili:

1. Orderly Laws of Nature
Science reveals that the universe operates under unchanging natural laws, such as gravity, planetary motion, and the speed of light. This order suggests the presence of a supreme Designer(God) who established and sustains these principles.

Scientific Example: Einstein's equation, E=mc², demonstrates the precise balance between energy and matter, pointing to an intelligently structured universe.

2. Fine-tuning of the Universe
Fundamental constants like gravitational force, the mass of electrons, and the expansion rate of the universe are finely calibrated to support life. Such precision implies an intelligent Creator(God).

Scientific Example: The "Anthropic Principle" highlights that slight changes in these constants would make life impossible.

3. Origin of Life
Life depends on DNA, a highly complex system containing detailed genetic instructions. The existence of such intricate "code" raises the question of who or what authored it - God.

Scientific Example: DNA stores billions of instructions in a microscopic structure, functioning like sophisticated software.

4. Human Consciousness
Human abilities like reasoning, dreaming, and moral awareness transcend physical processes, suggesting a higher source of intellect and soul - God.

Scientific Example: Science has yet to explain how biological impulses alone could produce self-awareness.

5. Moral Laws
Universal moral values shared across cultures reflect an inherent sense of right and wrong, hinting at a moral Lawgiver(God).

Scientific Example: The consistency of moral principles across societies, regardless of cultural differences, supports the argument for a universal source.

6. Fossil Records
The fossil record shows a progression of life forms in a way that suggests a purposeful plan rather than random evolution.

Scientific Example: The absence of transitional "missing links" in the evolutionary chain supports the concept of creation.

7. Origin of the Universe
The Big Bang theory indicates that the universe had a beginning, prompting the question: What or who caused it? God. Scientific Example: The law of cause and effect states that everything with a beginning must have a cause.

8. Beauty and Order in Nature
The natural world displays remarkable beauty and order, from ecosystems to galaxies, suggesting intentional design. Who designed? God.

Scientific Example: Photosynthesis is a highly complex and efficient process vital for life, reflecting intelligent planning.

9. Complexity of the Human Brain
The human brain is one of the most intricate systems known, capable of reasoning, creativity, and problem-solving at an unparalleled level. Who created it? God.
Scientific Example: The brain’s trillions of neurons enable advanced functions such as learning and memory.

10. Personal Experiences
Millions of people testify to spiritual experiences that affirm the existence of God. I am one of them. While not strictly scientific, such testimonies are impactful due to their transformative effects on individuals. I was under the bondage of sin, but now I am set free!

Scientific Example: Studies on prayer and faith have shown positive effects on mental and physical health.

Kama kuna mtu bado tu anahitaji uthibitisho zaidi ya huo, asubiri siku ya hukumu ambapo kila goti litapigwa mbele za Mungu. Ila wakati huo itakuwa "too late" kuamini kwamba Mungu yupo.

Wasioamini watatupwa katika moto wa milele. Wanaoamini wataingia mbinguni katika raha ya milele.

Tusikubali shetani atupotoshe. Yeye anajua Mungu yupo na anajua mbingu ipo. Shetani ameishahukumiwa kwenda motoni ndio sababu anajaribu kutushawishi tusiamini ili tuangamie pamoja naye. Tumpinge kwa Jina la Yesu.
Kwamba ukiandika kwa lugha isiyoeleweka na wengi ndiyo uthibitisho wa uwepo wa unayemwita mungu? Kuwa brainwashed tu ila suala kuwepo na kutokuwepo kwa Mungu ni myth tu
 
Kama Magufuli alikuwepo mbona hakujitokeza kujibu shutuma zake?
Aliamua kukaa kimya.
Wewe si umetaka Mungu ajitokeze kisa et sie tunabishana kuhusu yeye maana ndivyo ulivyojenga hoja yako kwamba kwa sababu sisi tunabishana kuhusu yeye basi angekuwepo kweli angejitokeza akajielezea mwenyewe ndio nakwambia hata Magufuli alikuwepo ila bado hakujitokeza kujibu mwenyewe shutuma zake hadi leo bado watu tunabishana.
At least Magufuli alikuwepo.

Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.

Ni wewe tu unafosi aonekane yupo.
Sasa iweje wewe uitimishe Mungu hayupo kisa hajidhihirishi mwenyewe?
Kwa sababu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo kujidhihirisha mwenyewe.

Kama huyo Mungu yupo ajitokeze hadharani mwenyewe ajidhihirishe na kujitetea. Kama ana huo uwezo.

Sio Ninyi mnahangaika sana kumwelezea na kumtetea.
 
Kama Magufuli alikuwepo mbona hakujitokeza kujibu shutuma zake? Wewe si umetaka Mungu ajitokeze kisa et sie tunabishana kuhusu yeye maana ndivyo ulivyojenga hoja yako kwamba kwa sababu sisi tunabishana kuhusu yeye basi angekuwepo kweli angejitokeza akajielezea mwenyewe ndio nakwambia hata Magufuli alikuwepo ila bado hakujitokeza kujibu mwenyewe shutuma zake hadi leo bado watu tunabishana.

Sasa iweje wewe uitimishe Mungu hayupo kisa hajidhihirishi mwenyewe?
Mkuu bado upo?
 
Aliamua kukaa kimya.

At least Magufuli alikuwepo.

Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.

Ni wewe tu unafosi aonekane yupo.

Kwa sababu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo kujidhihirisha mwenyewe.

Kama huyo Mungu yupo ajitokeze hadharani mwenyewe ajidhihirishe na kujitetea. Kama ana huo uwezo.

Sio Ninyi mnahangaika sana kumwelezea na kumtetea.
Hauna hoja unabweka tu, kama Magufuli aliamua kukaa kimya na kuacha mbishane mbona hauoni kuwa Mungu amekaa kimya na kuacha tubishane? Iweje useme hayupo?
 
Hauna hoja unabweka tu, kama Magufuli aliamua kukaa kimya na kuacha mbishane mbona hauoni kuwa Mungu amekaa kimya na kuacha tubishane? Iweje useme hayupo?
Magufuli alikuwepo na uthibitisho wa uwepo wake upo, Hata kaburi lake lipo.

Hivyo kwanza Magufuli alikuwepo, kisha ndio akaamua kukaa kimya.

Ila Mungu hayupo, Huna uthibitisho wa uwepo wake, Hakuna ushahidi wa uwepo wa huyo Mungu. Ni wewe tu unafosi na kulazimisha awepo.

Kwanza thibitisha uwepo wa huyo Mungu, Ndipo useme aliamua kukaa kimya.

Sio Unarukia kusema Mungu kaamua kukaa kimya, ilhali bado hujathibitisha uwepo wa huyo Mungu.

Magufuli alikuwepo na ilithibitika yupo.

Mungu hayupo na bado umeshindwa kuthibitisha yupo.

Wewe ndio huna hoja, Una bwabwaja bwabwaja tu.

Unakuja na mifano yako uchwara isiyo na logic, Halafu unajiona una hoja, kumbe viroja.

Kwanza thibitisha Mungu yupo.

Magufuli alikuwepo na ilithibitika yupo.
 
Magufuli alikuwepo na uthibitisho wa uwepo wake upo, Hata kaburi lake lipo.

Hivyo kwanza Magufuli alikuwepo, kisha ndio akaamua kukaa kimya.

Ila Mungu hayupo, Huna uthibitisho wa uwepo wake, Hakuna ushahidi wa uwepo wa huyo Mungu. Ni wewe tu unafosi na kulazimisha awepo.

Kwanza thibitisha uwepo wa huyo Mungu, Ndipo useme aliamua kukaa kimya.

Sio Unarukia kusema Mungu kaamua kukaa kimya, ilhali bado hujathibitisha uwepo wa huyo Mungu.

Magufuli alikuwepo na ilithibitika yupo.

Mungu hayupo na bado umeshindwa kuthibitisha yupo.

Wewe ndio huna hoja, Una bwabwaja bwabwaja tu.

Kwanza thibitisha Mungu yupo.
Sihitaji kuthibitisha, hoja yako haina mashiko tumeona Magufuli alikuwepo ila bado hakujibu tuhuma watu tumebaki tunabishana kuhusu yeye hadi leo ambapo hayupo tena. Kwahiyo ukiniambia kwamba et Mungu hayupo ndio maana hajitokezi kujitetea mwenyewe nitakwambia kwamba hata Magufuli alikuwepo ila hakujitokeza mwenyewe kujibu tuhuma, hivyo kutojitokeza kwa Mungu sio kigezo cha kusema Mungu hayupo.

Mara ngapi baadhi ya viongozi walizushiwa vifo kwa sababu ya kutokuonekana? Lakini kumbe walikuwepo na walikuwa hai ila wewe unataka tuwe tunakubali tetesi za kiongozi kufa kisa tu hajaonekana wala kusikika hadharani.
 
Sihitaji kuthibitisha, hoja yako haina mashiko tumeona Magufuli alikuwepo ila bado hakujibu tuhuma watu tumebaki tunabishana kuhusu yeye hadi leo ambapo hayupo tena. Kwahiyo ukiniambia kwamba et Mungu hayupo ndio maana hajitokezi kujitetea mwenyewe nitakwambia kwamba hata Magufuli alikuwepo ila hakujitokeza mwenyewe kujibu tuhuma, hivyo kutojitokeza kwa Mungu sio kigezo cha kusema Mungu hayupo.
Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.

Ni wewe tu unajaribu kufosi na kulazimisha uwepo wake.

Magufuli alikuwepo, uthibitisho wa uwepo wake upo, Hata kaburi lake lipo, ila kwa sasa hayupo.

Kwa hiyo kama huwezi kuthibitisha Mungu yupo, Ni kwamba hajawahi kuwepo na hayupo.

Unahangaika kufosi fosi imani zako uchwara ulizo pumbazwa na dini yako tu.
Mara ngapi baadhi ya viongozi walizushiwa vifo kwa sababu ya kutokuonekana? Lakini kumbe walikuwepo na walikuwa hai ila wewe unataka tuwe tunakubali tetesi za kiongozi kufa kisa tu hajaonekana wala kusikika hadharani.
 
Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.

Ni wewe tu unajaribu kufosi na kulazimisha uwepo wake.

Magufuli alikuwepo, uthibitisho wa uwepo wake upo, Hata kaburi lake lipo, ila kwa sasa hayupo.

Kwa hiyo kama huwezi kuthibitisha Mungu yupo, Ni kwamba hajawahi kuwepo na hayupo.

Unahangaika kufosi fosi imani zako uchwara ulizo pumbazwa na dini yako tu.
Nithibitishe nini tena wakati wewe umesema unataka mwenyewe Mungu ajitokeze na sio mimi kumuelezea hivyo sio suala la mimi tena kuthibitisha, tatizo lako unaongea tu hata huzingatii unachoongea.

Wewe ndio umevamia imani ya kuamini hakuna Mungu na ndio maana unasema hakuwahi kuwepo na hatokuwepo unachokifanya hapa ni kutetea imani yako hiyo, sisi hatukubali uwepo wa Mungu kwa sababu ya uthibitisho ingekuwa uthibitisho ndio unafanya tukubali uwepo wa Mungu basi kusingekuwa na atheists waliyokuja kukubali uwepo wa Mungu hali ya kuwa bado hawajapata uthibitisho.

Agnostic ambao nao hawaamini Mungu kama wewe mbona wao hawasemi hakuna Mungu kama wewe unavyodai? Ndio maana nakwambia huko kusema moja kwa moja kuwa hakuna Mungu ni imani mliyojijengea maana ingekuwa kutokuwepo uthibitisho kunatoa tafsiri ya kwamba hakuna Mungu basi agnostic wangekuwa nao wanasema hakuna Mungu na hatokuwepo kama wewe.
 
Wale wasioamini kwamba Mungu yupo, someni kwa makini sababu hizi 10 zinazothibitisha uwepo wa Mungu. Asiyeelewa lugha iliyotumika atumie google translator, itampa tafsiri ya Kiswahili:

1. Orderly Laws of Nature
Science reveals that the universe operates under unchanging natural laws, such as gravity, planetary motion, and the speed of light. This order suggests the presence of a supreme Designer(God) who established and sustains these principles.

Scientific Example: Einstein's equation, E=mc², demonstrates the precise balance between energy and matter, pointing to an intelligently structured universe.

2. Fine-tuning of the Universe
Fundamental constants like gravitational force, the mass of electrons, and the expansion rate of the universe are finely calibrated to support life. Such precision implies an intelligent Creator(God).

Scientific Example: The "Anthropic Principle" highlights that slight changes in these constants would make life impossible.

3. Origin of Life
Life depends on DNA, a highly complex system containing detailed genetic instructions. The existence of such intricate "code" raises the question of who or what authored it - God.

Scientific Example: DNA stores billions of instructions in a microscopic structure, functioning like sophisticated software.

4. Human Consciousness
Human abilities like reasoning, dreaming, and moral awareness transcend physical processes, suggesting a higher source of intellect and soul - God.

Scientific Example: Science has yet to explain how biological impulses alone could produce self-awareness.

5. Moral Laws
Universal moral values shared across cultures reflect an inherent sense of right and wrong, hinting at a moral Lawgiver(God).

Scientific Example: The consistency of moral principles across societies, regardless of cultural differences, supports the argument for a universal source.

6. Fossil Records
The fossil record shows a progression of life forms in a way that suggests a purposeful plan rather than random evolution.

Scientific Example: The absence of transitional "missing links" in the evolutionary chain supports the concept of creation.

7. Origin of the Universe
The Big Bang theory indicates that the universe had a beginning, prompting the question: What or who caused it? God. Scientific Example: The law of cause and effect states that everything with a beginning must have a cause.

8. Beauty and Order in Nature
The natural world displays remarkable beauty and order, from ecosystems to galaxies, suggesting intentional design. Who designed? God.

Scientific Example: Photosynthesis is a highly complex and efficient process vital for life, reflecting intelligent planning.

9. Complexity of the Human Brain
The human brain is one of the most intricate systems known, capable of reasoning, creativity, and problem-solving at an unparalleled level. Who created it? God.
Scientific Example: The brain’s trillions of neurons enable advanced functions such as learning and memory.

10. Personal Experiences
Millions of people testify to spiritual experiences that affirm the existence of God. I am one of them. While not strictly scientific, such testimonies are impactful due to their transformative effects on individuals. I was under the bondage of sin, but now I am set free!

Scientific Example: Studies on prayer and faith have shown positive effects on mental and physical health.

Kama kuna mtu bado tu anahitaji uthibitisho zaidi ya huo, asubiri siku ya hukumu ambapo kila goti litapigwa mbele za Mungu. Ila wakati huo itakuwa "too late" kuamini kwamba Mungu yupo.

Wasioamini watatupwa katika moto wa milele. Wanaoamini wataingia mbinguni katika raha ya milele.

Tusikubali shetani atupotoshe. Yeye anajua Mungu yupo na anajua mbingu ipo. Shetani ameishahukumiwa kwenda motoni ndio sababu anajaribu kutushawishi tusiamini ili tuangamie pamoja naye. Tumpinge kwa Jina la Yesu.
Andiko zuri sanaa, kongole!
 
Nithibitishe nini tena wakati wewe umesema unataka mwenyewe Mungu ajitokeze na sio mimi kumuelezea hivyo sio suala la mimi tena kuthibitisha, tatizo lako unaongea tu hata huzingatii unachoongea.
Sasa wewe unakataa kwamba hakuna Mungu, Halafu kuthibitisha kwamba kuna Mungu huwezi na umeshindwa.

Sasa unataka nini?
Wewe ndio umevamia imani ya kuamini hakuna Mungu na ndio maana unasema hakuwahi kuwepo na hatokuwepo
Mimi sina imani ya kuamini hakuna Mungu.

Mimi siamini bali napinga imani yenu ya kuamini kuna Mungu.

Mimi nakosoa hiyo imani yenu ya kuamini kuna Mungu.
unachokifanya hapa ni kutetea imani yako hiyo,
Mimi sina imani ya aina yeyote ile.

Siamini kwenye kuamini.
sisi hatukubali uwepo wa Mungu kwa sababu ya uthibitisho ingekuwa uthibitisho ndio unafanya tukubali uwepo wa Mungu basi kusingekuwa na atheists waliyokuja kukubali uwepo wa Mungu hali ya kuwa bado hawajapata uthibitisho.
Atheists fulani waliokuja kukubali uwepo wa Mungu, Hayo ni maamuzi yao binafsi.

Wala si uthibitisho kwambe eti ndio kuna Mungu.

Ni maamuzi yao tu.
Agnostic ambao nao hawaamini Mungu kama wewe mbona wao hawasemi hakuna Mungu kama wewe unavyodai?
Mimi sio Agnostic.

Mimi ni Atheist.

Tatizo lako wewe unachanganya watu wawili tofauti.

Mimi ni Atheist sina imani ya aina yeyote ile ya Mungu, miungu, shetani, wachawi, mapepo, mizimu, majini au supernatural powers ya aina yeyote ile.

Mimi siamini kwenye kuamini, Sina imani.

Ndio maana nakwambia huko kusema moja kwa moja kuwa hakuna Mungu ni imani mliyojijengea maana ingekuwa kutokuwepo uthibitisho kunatoa tafsiri ya kwamba hakuna Mungu basi agnostic wangekuwa nao wanasema hakuna Mungu na hatokuwepo kama wewe.
Ukisema kitu kipo ina maana ulijua na unajua kwa uhakika na ushahidi kwamba kipo na unaweza kuthibitisha uwepo wa kitu hicho jinsi kilivyo.

Sasa wewe unasema Mungu yupo, Halafu ukiulizwa yupoje? Hujui!

Lakini bado unakataa kwamba Mungu hayupo, Sasa unataka nini?
 
Sasa wewe unakataa kwamba hakuna Mungu, Halafu kuthibitisha kwamba kuna Mungu huwezi na umeshindwa.

Sasa unataka nini?

Mimi sina imani ya kuamini hakuna Mungu.

Mimi siamini bali napinga imani yenu ya kuamini kuna Mungu.

Mimi nakosoa hiyo imani yenu ya kuamini kuna Mungu.

Mimi sina imani ya aina yeyote ile.

Siamini kwenye kuamini.

Atheists fulani waliokuja kukubali uwepo wa Mungu, Hayo ni maamuzi yao binafsi.

Wala si uthibitisho kwambe eti ndio kuna Mungu.

Ni maamuzi yao tu.

Mimi sio Agnostic.

Mimi ni Atheist.

Tatizo lako wewe unachanganya watu wawili tofauti.

Mimi ni Atheist sina imani ya aina yeyote ile ya Mungu, miungu, shetani, wachawi, mapepo, mizimu, majini au supernatural powers ya aina yeyote ile.

Mimi siamini kwenye kuamini, Sina imani.


Ukisema kitu kipo ina maana ulijua na unajua kwa uhakika na ushahidi kwamba kipo na unaweza kuthibitisha uwepo wa kitu hicho jinsi kilivyo.

Sasa wewe unasema Mungu yupo, Halafu ukiulizwa yupoje? Hujui!

Lakini bado unakataa kwamba Mungu hayupo, Sasa unataka nini?
Twende taratibu unielewe maana uelewa wako wenyewe ni shida, wewe ni atheist hauamini Mungu halafu kuna Agnostic nao hawaamini Mungu, ila Agnostic wao mtazamo wao ni kwamba haiwezekani kuweza kujua kama huyo Mungu yupo kweli hivyo hawaamini Mungu ila sasa wewe(atheist) unasema Mungu hayupo kitu ambacho hata asiyeamini Mungu(Agnostic) anajiuliza wewe umejuaje kuwa hayupo?

Tunaenda sawa hapo?
 
Twende taratibu unielewe maana uelewa wako wenyewe ni shida, wewe ni atheist hauamini Mungu halafu kuna Agnostic nao hawaamini Mungu, ila Agnostic wao mtazamo wao ni kwamba haiwezekani kuweza kujua kama huyo Mungu yupo kweli hivyo hawaamini Mungu ila sasa wewe(atheist) unasema Mungu hayupo kitu ambacho hata asiyeamini Mungu(Agnostic) anajiuliza wewe umejuaje kuwa hayupo?
Mimi siamini kwenye kuamini, Sina imani ya aina yeyote ile ya Mungu au miungu.

Sihitaji kuamini, Nahitaji kujua kwa uhakika, ushahidi na uthibitisho.

Kwa hivyo huwezi kuniambia Mungu yupo kwa imani zako tu za kufikirika au mawazo yako ya kufikirika tu pasipo ushahidi, uhakika na uthibitisho wa uwepo wa huyo Mungu.

Thibitisha uwepo wa huyo Mungu, Ukishindwa kutoa uthibitisho wa uwepo wa huyo Mungu, Ni kwamba kusema kwako kuna Mungu ni uongo. Na huyo Mungu unayesema yupo, Hayupo.

Sasa wewe unakataa kwamba Mungu hayupo, Halafu umeshindwa kuthibitisha Mungu yupoje? Sasa unataka tu watu wakubali kuna Mungu?

Wewe unataka kufananisha Atheist na Agnostic, Wakati ni vitu viwili tofauti.

Agnostic ni Agnostic.

Atheist ni Atheist.
Tunaenda sawa hapo?
Kwanza thibitisha Mungu yupo.

Sio kufosi imani zako uchwara ulizo pumbazwa na kuaminishwa.

Ndio tuende sawa.
 
Mimi naamini Mungu yupo
Kuamini Mungu yupo ni haki yako ya kikatiba kabisa.

Tena una uhuru wa kuamini chochote.

Hata mtu akiamua kuamini mti, jiwe, kaburi au mlima ni haki yake.

Lakini ukianza kudai kwamba hicho unacho kiamini kina ukweli wa nguvu fulani, lazima uthibitishe hilo.
 
Mimi siamini kwenye kuamini, Sina imani ya aina yeyote ile ya Mungu au miungu.

Sihitaji kuamini, Nahitaji kujua kwa uhakika, ushahidi na uthibitisho.

Kwa hivyo huwezi kuniambia Mungu yupo kwa imani zako tu za kufikirika au mawazo yako ya kufikirika tu pasipo ushahidi, uhakika na uthibitisho wa uwepo wa huyo Mungu.

Thibitisha uwepo wa huyo Mungu, Ukishindwa kutoa uthibitisho wa uwepo wa huyo Mungu, Ni kwamba kusema kwako kuna Mungu ni uongo. Na huyo Mungu unayesema yupo, Hayupo.

Sasa wewe unakataa kwamba Mungu hayupo, Halafu umeshindwa kuthibitisha Mungu yupoje? Sasa unataka tu watu wakubali kuna Mungu?

Wewe unataka kufananisha Atheist na Agnostic, Wakati ni vitu viwili tofauti.

Agnostic ni Agnostic.

Atheist ni Atheist.

Kwanza thibitisha Mungu yupo.

Sio kufosi imani zako uchwara ulizo pumbazwa na kuaminishwa.

Ndio tuende sawa.
Tutaelewana tu.

Mimi sijafananisha atheist na agnostic bali nakuonyesha kuwa hayo MADAI YAKO kudai kwamba hakuna Mungu hata Agnostic anakushangaa umewezaje kujua kiuhakika kwamba hakuna Mungu hadi uje kudai hakuna Mungu?
 
Huyo Mungu angekuwepo kweli Kusingekuwa hata na haja ya kuhoji uwepo wake.

Kila mtu angejua kwa uhakika kabisa kwamba Mungu yupo.
Siku inakuja ambapo kila mtu atajua kuwa Mungu yupo. Soma Ufunuo wa Yohana kuhusu matukio yajayo. "CV" ya shetani umeisoma? Huyo anahangaika usiku na mchana kuwafanya watu wasiamini kuwa Mungu yupo.
 
Back
Top Bottom