Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Tutahakikisha vipi na kuthibitisha vipi, Umetendewa hayo mambo na Mungu?God's existence isn't a product of imagination but a reality supported by reason, design in creation, and countless personal experiences. Nimeeleza mara nyingi humu mambo makubwa ambayo Mungu amenitendea. Assumptions can't explain the depth of faith shared by billions.
Ibilisi Hayupo.Ibilisi yuko kazini. Ukiamini vitu vingine hashughuliki na wewe. Lakini akiona unataka kuanza kumwamini Mungu atakujaza mashaka na kukuambia hakuna ushahidi.
Nataka aje mwenyewe ajidhihirishe na kujiongelea mwenyewe kama ana huo uwezo.Kwahiyo wewe unataka uonyweshwe picha ya Mungu huko aliko au unataka upelekwe huko aliko?
Wewe ndio unafosi Dunia iwe imeumbwa na huyo Mungu wako wa kufikirika.Mungu anaonekana kupitia kazi zake na uumbaji wake. Biblia inasema:
“Mbingu zauhubiri utukufu wa Mungu, na anga laitangaza kazi ya mikono yake.” (Zaburi 19:1). Uumbaji wa dunia, uzuri wa maumbile, na mpangilio wa sayari ni ushuhuda tosha kuwa yupo Mungu aliye hai.
Fahamu tena kwamba Mungu alijifunua kwa njia ya manabii na mitume waliopokea maono, ufunuo, na maagizo kutoka kwake. Biblia ni ushuhuda wa mawasiliano ya Mungu na wanadamu.
Ingawa hakuna mtu aliyemuona Mungu ana kwa ana, watu walimuona Yesu Kristo, aliyekuja kwetu na "kuvaa" mwili wa kibinadamu. Yesu Kristo alisema: “Aliyeniona mimi amemwona Baba.” (Yohana 14:9)
Kwahiyo kutokumuona Mungu sio uthibitisho kwamba hayupo. Ni kama vile tusivyoweza kuuona upepo lakini athari ya upepo tunaiona. Matendo ya Mungu tunayaona: Vipofu wanaona, viwete wanatembea, wenye dhambi wanaokoka nk nk. Anza leo kumtafuta Mungu kwa imani utaona atakavyojidhihirisha kwako.
Ukitaka kuwathibitishia atheists uwepo wa Mungu watakusumbua na utakuwa unacheza muziki wao, Mungu ni wa kuaminiwa na si kuthibitishwa. Yapo mengi sana ya kutufanya tuamini Mungu bila shaka, ila atheists kwanza wanapinga imani sasa utamueleza vp Mungu nje ya imani? Yani wewe unamuamini Mungu ila wao wanataka umthibitishe Mungu nje ya imani.Nataka kuanza kuepukana na atheists kwenye mijadala coz Hawa jamaa usipokuwa na imani thabiti wanakutoa nje ya imani bila kujijua. Neno lisilo na uzima ndani yake linapotamkwa huanza kufanya kazi hapohapo, hata uwe na imani kiasi gani bado utakuta chembe za athari ndani yake.
Kitu kinachonisaidia pekee Ni kwamba tayari nimeshafika hatua yakuthibitisha uwepo wa Mungu pasina mashaka yeyote so inapokuja suala tetereshi juu ya imani huwa narejea matendo makuu na kwa hiyo najikuta kuwaona atheists Kama wahuni Fulani hivi wasio na uchaguzi Bora katika maisha yao.
Japo huwa nawasikitikia atheists wachanga ambao ni matokeo yakusikia neno lisilo na uzima kabla ya Mungu kuwathibitishia uwepo wake.
Kwahiyo huo ndio uthibitisho unaokusudia pale unapodai uthibitisho wa kuwepo Mungu?Nataka aje mwenyewe ajidhihirishe na kujiongelea mwenyewe kama ana huo uwezo.
Sio nyie kupiga blah blah bla! Humu kumuelezea.
Kitu hakiwi hakipo kwa sababu wewe umesema hakipo, mimi mbona naweza kukuthibitishia kwenye account yangu ya Yas by mix hakuna kiasi cha pesa cha milioni moja.Unataka proof gani kwa kitu ambacho hakipo?
Ndio.Kwahiyo huo ndio uthibitisho unaokusudia pale unapodai uthibitisho wa kuwepo Mungu?
Kama hicho kitu kipo, onyesha kipoje.Kitu hakiwi hakipo kwa sababu wewe umesema hakipo,
Kuthibitisha kwenye account yako ya "Mixx by Yas" hakuna kiasi cha pesa cha million moja, Si una onyesha balance ya account ndio tunapata uthibitisho na kuhakikisha kwamba kweli huna hicho kiasi cha millioni moja.mimi mbona naweza kukuthibitishia kwenye account yangu ya Yas by mix hakuna kiasi cha pesa cha milioni moja.
Kama ni hivyo sasa humu unafanya nini?Ndio.
Napinga madai yenu ya kusema kuna Mungu.Kama ni hivyo sasa humu unafanya nini?
Wewe umesema haiwezekani kuthibitisha kisichokuwepo ndio nimekwambia inawezekana kuthibitisha kisichokuwepo kwa mfano wa kuweza kuthibitisha kutokuwepo kwa milioni moja kwenye Mix by Yas.Kama hicho kitu kipo, onyesha kipoje.
Sasa wewe unakataa kitu hakipo, Lakini kuonyesha kipoje huwezi.
Sasa unataka kitu kisiwepo, ilhali wewe mwenyewe umeshindwa kuthibitisha kipoje?
Sasa unataka nini?
Onyesha huyo Mungu yupoje?
Kuthibitisha kwenye account yako ya "Mixx by Yas" hakuna kiasi cha pesa cha million moja, Si una onyesha balance ya account ndio tunapata uthibitisho na kuhakikisha kwamba kweli huna hicho kiasi cha millioni moja.
Sasa na huyo Mungu onyesha uwepo wake, yeye kama yeye, Yupo kwa namna gani?
Ii tuhakikishe uwepo wake.
Umejuaje hawezi kujidhirisha? Maana hapa tunajadiliana tu sisi.Napinga madai yenu ya kusema kuna Mungu.
Ilhali huyo Mungu hawezi kujidhihirisha mwenyewe yeye kama yeye kwamba yupo.
Ni ninyi tu mnahangaika kumwelezea na kufosi uwepo wake.
cursedSio tuseme hayupo ni hayupo kweli.
Kwa sababu Hayupo.Umejuaje hawezi kujidhirisha?
Huyo Mungu angekuwepo kweli Kusingekuwa hata na haja ya kuhoji uwepo wake.Maana hapa tunajadiliana tu sisi.
Nimekwambia hivi, ili ithibitike kwamba huna million moja kwenye akaunti yako ya Mixx by Yas ni mpaka uoneshe salio/balance ya akaunti yako.Wewe umesema haiwezekani kuthibitisha kisichokuwepo ndio nimekwambia inawezekana kuthibitisha kisichokuwepo kwa mfano wa kuweza kuthibitisha kutokuwepo kwa milioni moja kwenye Mix by Yas.
Mbona Magufuli alikuwepo kipindi alipokuwa anatuhumiwa kuagiza kushambuliwa kwa Lissu ila hakujitokeza kujibu mwenyewe hizo tuhuma? Sasa iweje utake Mungu ajitokeze kisa sie tunabishana kuhusu yeye na kuhitimisha kuwa kwa sababu hajitokezi basi basi hayupo?Kwa sababu Hayupo.
Angekuwepo angesha jitokeza kujidhihirisha na kufuta haya mabishano kuhusu uwepo wake.
Huyo Mungu angekuwepo kweli Kusingekuwa hata na haja ya kuhoji uwepo wake.
Kila mtu angejua kwa uhakika kabisa kwamba Mungu yupo.
Ndio nimekwambia kwamba jambo la kuthibitisha kutokuwepo kwa milioni moja kwenye account ya mix by yas inawezekana, sasa wewe mbona unadai haiwezekani kuthibitisha kisichokuwepo?Nimekwambia hivi, ili ithibitike kwamba huna million moja kwenye akaunti yako ya Mixx by Yas ni mpaka uoneshe salio/balance ya akaunti yako.
Usipo onyesha salio la akaunti yako haitawezekana kuthibitisha kwamba huna million moja kwenye akaunti yako ya Mixx by Yas.
Vivyo hivyo kwa huyo, Mungu ukishindwa kuonyesha yupoje, Ni kwamba umeshindwa kuthibitisha yupoje.
Hivyo hayupo.
Magufuli yupo na ilithibitika yupo.Mbona Magufuli alikuwepo kipindi alipokuwa anatuhumiwa kuagiza kushambuliwa kwa Lissu ila hakujitokeza kujibu mwenyewe hizo tuhuma? Sasa iweje utake Mungu ajitokeze kisa sie tunabishana kuhusu yeye na kuhitimisha kuwa kwa sababu hajitokezi basi basi hayupo?
Magufuli alijulikana na kila mtu yupo na ilithibitika yupo, Na ushahidi wa uwepo wa Magufuli upo. Hata kaburi lake lipo.Kwa nini unaona ilitakiwa kuwa ni lazima kila mtu kujua uwepo wake? Kipi kinafanya iwe lazima iwe hivyo?
Bila akaunti yako ya Mixx by Yas kuwepo, Hatuwezi kuthibitisha kwamba huna million moja kwenye hiyo akaunti yako ya Mixx by Yas.Ndio nimekwambia kwamba jambo la kuthibitisha kutokuwepo kwa milioni moja kwenye account ya mix by yas inawezekana, sasa wewe mbona unadai haiwezekani kuthibitisha kisichokuwepo?