kingundya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 2,000
- 3,352
AmekaririHuyu hajui hata anachozungumza kuna watu wana amini japo hawana uthibitisho ,ukijadili nao tu unaweza kuendelea kuwasikiliza.
Anaogopa kuhoji
Ameambiwa ni dhambi
Anaogopa kwelikweli
Kwamba Tuamini kabla ya wazungu kuja Afrika hakukuwa na Mungu?
So Mungu huyu alichagua kuzungumza na weupe tu!