Mambo 10 yanayothibitisha kwamba Mungu yupo

Mambo 10 yanayothibitisha kwamba Mungu yupo

OK. Kwa ufupi, Mungu ni Muumba wa mbingu na dunia. Yeye ni mmoja tu, mwenye nguvu zote, upendo usio na kipimo, na mwenye haki. Mistari hii ya Biblia itakusaidia zaidi kujua Mungu ni nani:
  • Mwanzo 1:1: "Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na dunia."
  • 1 Yohana 4:8: "Mungu ni upendo."
  • Isaya 45:5: "Mimi ni Bwana, hakuna mwingine, hakuna Mungu mwingine ila Mimi."
  • Mfalme 1:18: "Bwana ni Mungu wa wote, na hakuna mwingine ila Yeye."
  • Yeremia 10:10: "Bali Bwana ni Mungu wa kweli; Yeye ni Mungu aliye hai, Mfalme wa milele."
  • Yohana 4:24: "Mungu ni Roho, na wale wamwabuduo Yeye lazima wamwabudu katika roho na kweli."
  • Isaya 46:9: "Kumbukeni mambo ya zamani, maana mimi ni Mungu, wala hakuna mwingine, mimi ni Mungu, wala hakuna kama mimi."
  • Yohana 3:16. "Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe wa pekee, ili kila aaminiye katika Yeye asipotee, bali awe na uzima wa milele."
Kama unapenda Mungu akuokoe sawa sawa na andiko hilo la Yn 3:16 fuatisha sala hii kwa dhati:
Omba hivi:
"Ee Mungu, nimetambua wewe ni nani. Natubu dhambi zangu zote na kuziacha. Naamini wewe ndiye uliyeniumba na wewe ndiye uliyemtuma Yesu aje duniani atuokoe. Naamini kuwa Yesu ni Bwana na Mwokozi wetu. Nampokea Yesu sasa hivi kwa imani ndani ya moyo wangu atawale maisha yangu kuanzia leo. Katika Jina la Yesu Kristo. Amen"


Kama umeomba sala hiyo kwa dhati. Mungu amekusamehe na sasa unayo ahadi ya kuingia katika uzima wa milele. Ili ujifunze zaidi habari za Mungu na kazi zake, jiunge na kanisa lolote linalokiri wokovu na kufundisha utakatifu. Mungu akubariki. Nakutakia heri ya mwaka mpya.
Nashukuru kwa majibu, Kulingana na maelezo yako ni kwamba Mungu ndiyo chanzo cha sisi na ulimwengu kuwepo si ndiyo?

Sasa Ningependa usichoke kunijibu maswali zaidi sababu nataka kujua;

1. Ikiwa Mungu ni mwenye upendo na mwenye nguvu zote kama ulivyoandika hapo kwa nini kuna dhiki na maumivu duniani?

2.Je, unaweza kuelezea kwa nini Mungu aliruhusu maovu kutokea, Wakati Yeye anapenda uzuri na ni mwenye haki?

3. Kwa nini watu wana imani tofauti kuhusu Mungu na dini, ikiwa Mungu ni mmoja tu?

4. Je, Mungu anajua kila kitu kinachokwenda kutokea? kwanini hua hadhibiti mapema mambo mabaya yanayokwenda kuwatokea watu wake mfano vimbunga, matetemeko, ajali, magonjwa n.k?

5. Je, alitokea wapi? Na kwasasa yuko wapi?
 
Sounds crazy lkini
Lakini pia unaweza ukaangalia kwa kina eneo hili-ndugu yetu Setfree ana claim dunia itafika mwisho.

Jiulize, Je dunia ita-dissapear kwenda wapi? Ama itayeyuka itakuwa upepo?

Hapo sasa utagundua lengo kuu la Huyo Mungu kuiumba dunia ni kuidestroy.

Je kulikua na umuhimu gani wa kui-create if siku moja amepanga kuidesroy?
 
Lakini pia unaweza ukaangalia kwa kina eneo hili-ndugu yetu Setfree ana claim dunia itafika mwisho.

Jiulize, Je dunia ita-dissapear kwenda wapi? Ama itayeyuka itakuwa upepo?

Hapo sasa utagundua lengo kuu la Huyo Mungu kuiumba dunia ni kuidestroy.

Je kulikua na umuhimu gani wa kui-create if siku moja amepanga kuidesroy?
Ila biblia inasema God will destroy earth with fire and create new heaven and earth

Ndo utakuwa mwisho w Dunia
 
Hivi vitu ni complicated...tuta.argue mwisho wa siku mwafaka hufikiwi
Ni sisi ndiyo tunalazimisha viwe complicated sababu tunaunda Illusions kwenye vichwa vyetu bila sababu ya msingi.

Infact, Tunatakiwa tuiache dunia iende kama inavyotaka yenyewe.

Tufanye vitu sahihi vitavyoleta matokeo mazuri maishani, Jifunze falsafa bora za maisha mfano - Stoicism, Hii ina mafundisho bora kuliko dini.

Dini zinafundisha hofu, Hii inafundisha kutumia nguvu zako za ndani kuwa mtu bora.
 
Ni sisi ndiyo tunalazimisha viwe complicated sababu tunaunda Illusions kwenye vichwa vyetu bila sababu ya msingi.

Infact, Tunatakiwa tuiache dunia iende kama inavyotaka yenyewe.

Tufanye vitu sahihi vitavyoleta matokeo mazuri maishani, Jifunze falsafa bora za maisha mfano - Stoicicm, Hii ina mafundisho bora kuliko dini.

Dini zinafundisha hofu, Hii inafundisha kutumia nguvu zako za ndani kuwa mtu bora.
Somo ntalipata lini?!
 
Soma vizuri hizo points. Umeanzia kwenye equation? By the way, hatushindani na mtu. Mimi nimeeleza tu ninayoyajua na kuyaamini.
HAYA.
SHIDA HAYA MAMBO YA DINI MNATAKA KU-PROVE!

HILO NI KOSA,MUNGU HAYUKO ILI MTU AWEZE KUTAKA KUMUHAKIKISHA YUKO NDIO,MSINGI WA IMANI HAUNA HUU UPOTOVU.

UKIELIMISHWA,ELIMIKA PIA.
 
where did these laws originate?
evolution

Rafiki unaamini kuwa kuna "mtu"/roho??? inaishi, ina uhai iko somewhere in the universe ndiyo inadictate kila kinachoendelea na tukifa tunakuta 'dude" kubwa hilo linatuongelesha......

1735702694647.png


Evolution by Stages​

Evolution involves gradual changes from simple to more complex forms. Humans are believed to have developed from simpler forms. Evolution is hypothesized to have begun in the oceans billions of years ago. Darwin gave the theory of evolution. In his book -The Origin of Species, Darwin has stated that evolution has come through a series of natural selection. The theory emphasized the following points:​

  • Natural Selection
  • Variation
  • Struggle To Exist
  • Survival of the Fittest
Evolution is the outcome of the interaction amongst the following five processes:

  • Mutation
  • Genetic Recombination
  • Chromosomal Abnormalities
  • Reproductive isolation
  • Natural Selection
 
Huoni Mungu ni mjinga/Muovu kwa mantiki hii kwa Nini akuumbe akupe Uhuru wa kuamua unachotaka Lakini akuchome moto kwa kufanya unachotaka?
halafu wanasema Mungu alimtoa mwanawe akatufia msalabani, aliupenda ulimwengu.....akafa msalabani. Mungu huyto huyo anaumba bacteria, vuruses diseae causing organisms for that matter vimtese mwanadamu anayempenda kwa kufa msalabani....contradiction...
Final analysis ni kuwa Mungu ni invention za watu baada ya kushindwa kusolve problems zao in earth and went to seek some solutions in natural powers and hence the question f GOd!
 
Wale wasioamini kwamba Mungu yupo, someni kwa makini sababu hizi 10 zinazothibitisha uwepo wa Mungu. Asiyeelewa lugha iliyotumika atumie google translator, itampa tafsiri ya Kiswahili:

1. Orderly Laws of Nature
Science reveals that the universe operates under unchanging natural laws, such as gravity, planetary motion, and the speed of light. This order suggests the presence of a supreme Designer(God) who established and sustains these principles.

Scientific Example: Einstein's equation, E=mc², demonstrates the precise balance between energy and matter, pointing to an intelligently structured universe.

2. Fine-tuning of the Universe
Fundamental constants like gravitational force, the mass of electrons, and the expansion rate of the universe are finely calibrated to support life. Such precision implies an intelligent Creator(God).

Scientific Example: The "Anthropic Principle" highlights that slight changes in these constants would make life impossible.

3. Origin of Life
Life depends on DNA, a highly complex system containing detailed genetic instructions. The existence of such intricate "code" raises the question of who or what authored it - God.

Scientific Example: DNA stores billions of instructions in a microscopic structure, functioning like sophisticated software.

4. Human Consciousness
Human abilities like reasoning, dreaming, and moral awareness transcend physical processes, suggesting a higher source of intellect and soul - God.

Scientific Example: Science has yet to explain how biological impulses alone could produce self-awareness.

5. Moral Laws
Universal moral values shared across cultures reflect an inherent sense of right and wrong, hinting at a moral Lawgiver(God).

Scientific Example: The consistency of moral principles across societies, regardless of cultural differences, supports the argument for a universal source.

6. Fossil Records
The fossil record shows a progression of life forms in a way that suggests a purposeful plan rather than random evolution.

Scientific Example: The absence of transitional "missing links" in the evolutionary chain supports the concept of creation.

7. Origin of the Universe
The Big Bang theory indicates that the universe had a beginning, prompting the question: What or who caused it? God. Scientific Example: The law of cause and effect states that everything with a beginning must have a cause.

8. Beauty and Order in Nature
The natural world displays remarkable beauty and order, from ecosystems to galaxies, suggesting intentional design. Who designed? God.

Scientific Example: Photosynthesis is a highly complex and efficient process vital for life, reflecting intelligent planning.

9. Complexity of the Human Brain
The human brain is one of the most intricate systems known, capable of reasoning, creativity, and problem-solving at an unparalleled level. Who created it? God.
Scientific Example: The brain’s trillions of neurons enable advanced functions such as learning and memory.

10. Personal Experiences
Millions of people testify to spiritual experiences that affirm the existence of God. I am one of them. While not strictly scientific, such testimonies are impactful due to their transformative effects on individuals. I was under the bondage of sin, but now I am set free!

Scientific Example: Studies on prayer and faith have shown positive effects on mental and physical health.

Kama kuna mtu bado tu anahitaji uthibitisho zaidi ya huo, asubiri siku ya hukumu ambapo kila goti litapigwa mbele za Mungu. Ila wakati huo itakuwa "too late" kuamini kwamba Mungu yupo.

Wasioamini watatupwa katika moto wa milele. Wanaoamini wataingia mbinguni katika raha ya milele.

Tusikubali shetani atupotoshe. Yeye anajua Mungu yupo na anajua mbingu ipo. Shetani ameishahukumiwa kwenda motoni ndio sababu anajaribu kutushawishi tusiamini ili tuangamie pamoja naye. Tumpinge kwa Jina la Yesu.
Existence of God theories zina defy common sense, ligic , intuition, reasoning..........Final analysis ni kuwa Mungu ni invention za watu baada ya kushindwa kusolve problems zao on earth and went to seek some solutions in super natural powers and hence the question of GOd!
 
Nimeshakuambia sina cha kukujibu wewe ila ndani ya uzi wako nitaweza kujibu wengine wengi tu wenye kuweza kujua imani ni kitu gani licha ya uthibitisho tu , sijui unaelewa?
IMANI NI KUAMINI , BILA MASHAKA YOYOTE, KUWA JAMBO LA FULANI NI LA KWELI, KWELI KABISA BILA KUWA NA USHAHIDI WA KISAYANSI
 
Back
Top Bottom