Uchaguzi 2020 Mambo 5 niliyoyabaini uzinduzi wa kampeni kanda ya Nyasa CHADEMA

CDM nawaonea huruma sana. Utamlinganisha CHAUROPOKAJI na alivyokuwa EL mwaka 2015?
Kama mwaka 2015 CDM walishindwa, uchaguzi wa mwaka huu 2020 watashindwa mara 2 zaidi ya mwaka 2015.
Wafanye wafanyavyo, lakini kwa upande wa Urais VVU(Vyama Vya Upinzani) bado saaaaaaaaana tena saaaaaaaaana.
 
'Imeshapenya' hiyo 'Mpuuzi' mkubwa usiyejua vyema Majina ya akina Farhia Middle na Dotto Bulendu na kuwaita Midle na Burendu na Ukaumbuka.
Cheki sasa unavyowashwa washwa hilo puru, nimeshalala mkuu, siwezi kukukuna muda huu, piga tu moyo konde ulale
 
Lissu anakuchanganya wewe tu. Mtu saa zote kuongelea kisa cha kupigwa risasi badala ya hoja na ilani ya chama chake. Saa zote kufoka na kutoa uongo.
 
Pamoja na kwamba tunaona Umati ni mkubwa na kujipa Moyo Kushinda ila tusijisahaulishe kuwa wengi ya hawa Watu hawajajiandikisha kwa Kura.
Ila wale wanaohudhuria mikutano ya CCM ndio wamejiandikisha eeeh! Mama kweli kuna watu viazi kweli kweli
 
Pamoja na kwamba tunaona Umati ni mkubwa na kujipa Moyo Kushinda ila tusijisahaulishe kuwa wengi ya hawa Watu hawajajiandikisha kwa Kura.
Waliojianfikisha wanahudhuria mikutano ya ccm tu.
Au waliohudhuria wakiwa wachache ndo wanakuwa wamejiandikisha
 
Pamoja na kwamba tunaona Umati ni mkubwa na kujipa Moyo Kushinda ila tusijisahaulishe kuwa wengi ya hawa Watu hawajajiandikisha kwa Kura.
Mimi nina uhakika wengi wa hawa watu au watanzania wengi wamejiandikisha kutokana na kitambulisho cha mpiga kura kuwa na umuhimu mkubwa sana kwani kuna mambo ulikuwa mtu huwezi kufanya bila ya kuwa na hicho kitumbulisho cha mpiga kura.
 
Bwana mdogo huwa nakufananisha na malaya wangu mmoja wa Sinza Mori,ana msanga a.k.a msambwanda kama wako.

Naona umeamua kabisa Kututajia na eneo Kuu ambalo 'Basha' wako Yule Mwarabu Koko anaishi na huwa unampelea Nyabe na Anakunyabenga tu.
 
Pamoja na kwamba tunaona Umati ni mkubwa na kujipa Moyo Kushinda ila tusijisahaulishe kuwa wengi ya hawa Watu hawajajiandikisha kwa Kura.
Wakijaa kwenye fiestra za ccm hata kama wameletwa kwa kulazimishwa kama mama yetu alivyosema kule Musoma ni wapiga kura, lakini wakija kwenye mikutano ya wapinzani hawajajiandikisha. Mnatia huruma nyie lakini, basi tu hamna namna!
 
Pamoja na kwamba tunaona Umati ni mkubwa na kujipa Moyo Kushinda ila tusijisahaulishe kuwa wengi ya hawa Watu hawajajiandikisha kwa Kura.
How do you know this is something I really wish to know... Any research to back up your story??
 
Wote waliokuwapo hapo chumbani wamesomeshwa namba kila mtu kwa wakati wake.
 
Hahaha na anamkera kweli jiwe huko aliko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…