Mambo ambayo biblia, Yesu, quran, Allah na Mohamed walidaganya wafuasi wao

Mambo ambayo biblia, Yesu, quran, Allah na Mohamed walidaganya wafuasi wao

Ya,Nimekisoma kwa umakini Mkubwa, Kitabu kilinichukua zaiidi ya Mwezi,Kurasa za kitabu zaidi ya 800,Ni shughuli nzito, kitabu kilinijuza mengi Ya Biblia/Agano la kale.

Katika harakati za kutafuta na kufahamu machache katika bahari ya Maarifa,au katika kutafuta "Kweli"...! Kama asemavyo Yuvan Noah Harari kwamba Kweli/TRUTH...

"If you want to go deeply into any subject,you alot of time and in particular you need the privilege of wasting time, you need to experiment with unproductive path to explore dead Ends ,to make space of doubts and boredom,If you cannot Afford waste of time you will never find Truth."

&

"Also If you really Want Truth you need to escape the black holes of power and allow yourself to waste alot of time wandering here and there on the periphery, Revolution knowledge rarely makes it to the center, because the center is built on existing knowledge, That's why you need to waste so much on the periphery, They may contain some brilliant revolution insights,but they are mostly fully of uninformed guesses, debunked models, ridiculous conspiracy theories."

Baada ya kuwapitia Jesus Seminars,Friedman Elliot Richard, William G dever(Did God have a wife..??) Na Israel Frinkelstien & Neil Asher (The bible unearthed),huku na huku nikakutana na post Yako ya James l. Kugel.

James l kugel -Profesa Havard University,Nilimtambua kupitia post Yako(Shukran kwako) ukimuulezea na uliweka cover ya kitabu -How to read the bible Miaka zaidi ya Saba(7) Sasa imepita.

Hivyo nilimupitia na kutazama kazi zake nyingi na interviews.

Waumini ngumu kusoma,mpaka wajivishe ujasili wa kutafuta ukweli wa Mambo..!

Forums kama Jf (Jamii forums) walau Waumini wanapata Moja mbili Tatu kuhusu vitabu vyao vilivyoandikwa katika Ignorant, Superstitious na Cruel Age.
Mkuu nimefurahi sana kusikia kuna mtu mwingine JF kasoma kazi kama hizi, hususan Kugel.

Yani umenitoa katika upweke fulani mara nyingine naona kama naongea mambo ninayoyaelewa mwenyewe tu, nataja ma scholar ambao hakuna mtu anayewasoma au hata kuwajua.
 
Mavi ya mama'ko?

Siwezi kukuuliza kama ni ya baba'ko kwa kuwa nnaamni haumfahamu.

Hakuna aliyelelewa na baba'ke mwenye lugha yako.
Umethibisha umavimavi wako kwa kujibu kwa hisia kali.Ngoja niondoke usije ukajitoa muhanga.
 
Aliyeambiwa hayo manen
Yesu hajawahi kuongopa.

Alikuja mala ya Kwanza kupitia tumbo la Mariamu mamaye

Akafundisha akahidi kurudi kabla ya wanafunzi wake hawajafa, wakati huo Yesu alikuwa akikaribiwa na watu na wanafunzi wake hata kumgusa waliweza.

Akateswa akasuribiwa akafa akazikwa.
Akaondoka zake Mbinguni na yule mtu aliye sulubiwa naye upande wa kulia. Kwa kumwahidi
"Leo hii utakuwa nami mahali pema peponi"

Akarudi tena mala ya pili kupitia alipofufuka Kaburini, na akawakuta tena wanafunzi wake kabla hawajafa kama alivyo waahidi, na kuwaagiza wakaihubiri Injiri kwa kila Kiumbe.

Katika ujio ule wa mala ya pili hakutaka kabisa kuguswa na watu wakiwemo wanafunzi wake isipokuwa alimruhusu Tomaso ambaye hakuamini macho yake alipomwona tena mala ya pili baada ya kufa na Kuzikwa, hata hivyo hakumgusa kwakua mwisho wake alimwamini.

Akaondoka tena kwa mtindo wa kupaa Mbinguni mbele ya macho Yao na kuahidi kurudi tena mala ya Tatu.

Ujio wa Yesu utakuwa ni kwa mala ya tatu, kama mtu anasoma maandiko kwa kutaka kuyae
 
Vitabu vyote Kuna watu wa kawaida wanaosema uongo.

Ila Yesu Kristo pekee hajawahi kusema Uwongo.
Na alisema hadharani mbele za watu kuwa;

"Ni nani anishuhudiaye kati yenu kuwa mimi ni mwenye dhambi"

"Mimi ndio Njia, Kweli na Uzima"

Na hukujawahi tokea mtu yeyote hadi hii leo aliyempinga.
Mwaminini huyo.

Pamoja na kuwa mimi ni muumini wa mrengo Tofauti ila nakubaliana na wewe kuwa, hakuna mtu aliyempinga Yesu, TATIZO ni watu kutafsiri kauli zake kwa kupotosha au kwa ajili ya kupata ujumbe wanaoutaka wao....Na hapo ndipo siku za MWISHO Yesu atakapo wakana wengi wanaojiita wafuasi wake kuwa HAWATAMBUI!!!
 
Kilanunachoandika kuhusu Qur'an au mafundisho ya Kiislam weka na ushahidi wa ulipoyatowa kwenye Qur'an ili tukuelimishe, bila hivyo itabaki kuwa ni uongo wako tu.
Jua linazama matopeni.
 
Nyinyi wagalatia mnadanywa sana Hadi mmekuwa kama matahira wa kihindi

Quran ipi inayolazimisha watu waiamini?

Mbona Quran inasema hakuna kulazimishana katika dini

Yani wewe ukitaka iamini Quran kama hutaki endelea na maisha yako ya Kigalitia na Muislam akikushikia panga Ili uiamini Quran automatically anakuwa sio Muislam maana anakuwa anapingana na Quran

Quran 2:256 -
Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua.
Kwa uchache.

Surah 3:151: "We shall cast terror into the hearts of those who disbelieve (all non-Muslims) ..

Surah 2:191: "And kill them (non-
Muslims) wherever you find them. ..kill
them. Such is the recompense of the
disbelievers (non-Muslims).'

Surah 9:5 And when the forbidden months have passed, kill the idolaters wherever you find them and take them prisoners, and beleaguer them and lie in wait for them at every place of ambush. But if they repent and observe Prayer and pay the Zakat, then leave their way free. Surely, Allah is Most Forgiving,
Merciful.


2. Twende kwenye hadith

Sahih Bukhari (52:260) -"...The Prophet said, 'If somebody (a Muslim) discards his religion, kill him."

Sahih Bukhari (83:37) - "Allah's Apostle never killed anyone except in one of the following three situations: (1) A person who killed somebody unjustly, was killed (in Qisas,) (2) a married person who committed illegal sexual intercourse and (3) a man who fought against Allah and His Apostle and deserted Islam and became an apostate.

Sahih Bukhari (84:57) - In the words of] "Allah's Apostle, 'Whoever changed his Islamic religion, then kill him.""

Sahih Bukhari (89:271) - A man who embraces Islam, then reverts to Judaism is to be killed according to "the verdict of Allah and his apostle.'

Hii ndio dini ya Allah
 
Yesu aliwaambia watu wa enzi zake kwamba atarudi kabla kizazi kile hakijakufa. Yani itakuwa mwisho wa dunia.

Watu wakaona hakuna haja ya kufanya kazi, kulima, kujenga, dunia inaisha katika miaka michache ijayo.

Mpaka leo zaidi ya miaka 2000 bado hajarudi.

Yesu alikuwa muongo kweli.
Mkuu hapa uliingia chaka.

Ukisoma kuanzia mistari ya nyuma kidogo utaona Yesu alikuwa anazungumzia Mtini.

Kwamba ukiona mtini umechipuka na kuota basi yupo karibu na kurudi kwake.

Kibiblia taifa la Israel ndio mtini wenyewe na ulichipuka tena mwaka 1948 baada ya taifa hilo kuharibiwa mwaka 70AD.

Sasa, taifa la Israel litafikisha miaka 100 ifikapo mwaka 2048 na hicho kitakuwa ni kizazi kimoja.

Yesu alisema kizazi hicho hakitapita kabla unyakuo haujatokea.

Kwahiyo ndani ya miaka 24 hii uwe makini na ni heri ukaupokea wokovu wa Kristo Yesu.

Pitia mada yangu hii uendelee kuelimika Tukio la kupotea kwa watu wengi hapa duniani kwa wakati mmoja limekaribia sana kutokea
 
Yesu aliwaambia watu wa enzi zake kwamba atarudi kabla kizazi kile hakijakufa. Yani itakuwa mwisho wa dunia.

Watu wakaona hakuna haja ya kufanya kazi, kulima, kujenga, dunia inaisha katika miaka michache ijayo.

Mpaka leo zaidi ya miaka 2000 bado hajarudi.

Yesu alikuwa muongo kweli.
Aiseeee, Yesu hana kizazi wewe. Yeye ni wa Milele ndio maana aliwaambia Kabla ya Ibrahimu kuweko yeye alikuwepo akasema "Kabla ya Ibrahimu mimi NIKO"
 
Kwa uchache.

Surah 3:151: "We shall cast terror into the hearts of those who disbelieve (all non-Muslims) ..

Surah 2:191: "And kill them (non-
Muslims) wherever you find them. ..kill
them. Such is the recompense of the
disbelievers (non-Muslims).'

Surah 9:5 And when the forbidden months have passed, kill the idolaters wherever you find them and take them prisoners, and beleaguer them and lie in wait for them at every place of ambush. But if they repent and observe Prayer and pay the Zakat, then leave their way free. Surely, Allah is Most Forgiving,
Merciful.


2. Twende kwenye hadith

Sahih Bukhari (52:260) -"...The Prophet said, 'If somebody (a Muslim) discards his religion, kill him."

Sahih Bukhari (83:37) - "Allah's Apostle never killed anyone except in one of the following three situations: (1) A person who killed somebody unjustly, was killed (in Qisas,) (2) a married person who committed illegal sexual intercourse and (3) a man who fought against Allah and His Apostle and deserted Islam and became an apostate.

Sahih Bukhari (84:57) - In the words of] "Allah's Apostle, 'Whoever changed his Islamic religion, then kill him.""

Sahih Bukhari (89:271) - A man who embraces Islam, then reverts to Judaism is to be killed according to "the verdict of Allah and his apostle.'

Hii ndio dini ya Allah
Kwa hiyo kwa maelezo yako, kipindi cha mtume makka na madina kwenye utawala wao ukiwa kafiri unauliwa kwa sababu ya imani yako?
Kwa nini mnapenda kuchukua aya moja kisha mnaikata?



Na piganeni katika Njia ya Mwenyezi Mungu na wale wanao kupigeni, wala msianze uadui. Kwani Mwenyezi Mungu hawapendi waanzao uadui.
(Qur'an 2:190)
 
Vitabu vyote Kuna watu wa kawaida wanaosema uongo.

Ila Yesu Kristo pekee hajawahi kusema Uwongo.
Na alisema hadharani mbele za watu kuwa;

"Ni nani anishuhudiaye kati yenu kuwa mimi ni mwenye dhambi"

"Mimi ndio Njia, Kweli na Uzima"

Na hukujawahi tokea mtu yeyote hadi hii leo aliyempinga.
Mwaminini huyo.

Wakati akisema haya ulikuwepo? Mbona unaongea kwa uhakika sana
 
Katika vitabu vya hadithi za kidini, quran ni kitabu chenye hadithi za kitoto na zisizo na kichwa wala miguu kuliko vitabu vingine vyote.

Mohamed kugundua kwamba kitabu chake kimejaa childish stories, akatishia watu mtu yoyote atakaehoji hizo hadithi zake za kitaahira auwawe.

Dini ni stori za kutunga ila kwenye quran zilitumgwa na watu wasio na akili yoyote.

Upo subjective
 
Vilaza huwa hawajui kuwa Sayansi huwa inaiga uumbaji wa Mungu.

Wanasayansi huwa ni matapeli tu.

Mungu alishafanya kila kitu.
Toka nijiunge jf hii ndo coment angu pekee uliyocomment imeshiba ..
Nakubaliana nawe 100 kwa 100..
Yes nimeisoma qur an well na sasa nasoma biblia well(agano la kale)
Kwa mkutadha wa niliyoyasoma Mungu alimaliza kila kitu..
Wanaadamu wanatudanganya sanaa hasa kwa kuweka mambo katika mfumo wa codes na kupachika majina yao kipekee.
 
Hapana.

Mnaungaunga tafsiri mnazotaka wenyeee.

Kimsingi Yesu aliwaambia wale watu kwamba hawatakufa kabla yeye hajarudi tena duniani. Mwisho wa dunia.

Sasa hivi zaidi ya miaka 2,000 Yesu hajarudi, na mtasubiri sana harudi.

Sure , Na hili ndio tatizo kubwa la dini zote ;

kama kitu haki make sense , watatafuta njia ili kimake sense.

This is what we call cognitive dissonance, even if they’re presented with facts They will ridicule for as long as it doesn’t suit their faith .

Ni Tatizo kubwa

Tena wakati mwingine watakuambia ooh ili kuelewa hili, you need Roho mtakatifu, huwezi kuelewa kwa akili ya kawaida.

What the hell !

Truth is simple and clear, it has to be understood in a very simple way .anything that requires ROHO MTAKATIFU to be understood, hiyo ni aina nyingine ya deception and manipulation


1+1 =2 , it does not equal to anything else hata kama kukiwa na majibu 100 tofauti but one plus one is equal to two .

Problem of religion and faith
 
Sure , Na hili ndio tatizo kubwa la dini zote ;

kama kitu haki make sense , watatafuta njia ili kimake sense.

This is what we call cognitive dissonance, even if they’re presented with facts They will ridicule for as long as it doesn’t suit their faith .

Ni Tatizo kubwa

Tena wakati mwingine watakuambia ooh ili kuelewa hili, you need Roho mtakatifu, huwezi kuelewa kwa akili ya kawaida.

What the hell !

Truth is simple and clear, it has to be understood in a very simple way .anything that requires ROHO MTAKATIFU to be understood, hiyo ni aina nyingine ya deception and manipulation


1+1 =2 , it does not equal to anything else hata kama kukiwa na majibu 100 tofauti but one plus one is equal to two .

Problem of religion and faith

Naam.

Katika ulimwengu ulioumbwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, ugumu katika kumuelewa huyo Mungu una contradict uwepo wa huyo Mungu.

Yani ni hivi, katikanulimwengu huo, haitawezekana kuwapo na mjadala wowote kuhusu uwepo wa Mungu.

Kwa sababu, kila kiumbe kitajua Mungu yupo bila hata chembe ya shaka, kwa uhakika.

Ukiona mjadala wowote kuhusu uwepo wa Mungu huyu, huo ni ushahidi kuwa Mungu huyo hayupo.

Kwa sababu, angekuwepo, mjadala huo usingewezekanankuwepo.

Kwa hiyo, hata huu uzi ni ushahidi kwamba Mungu huyo hayupo.

Angekuwapo, uzi huu usingewezekana kuwapo.
 
Back
Top Bottom