Mambo ambayo sikuwa nayafahamu kuhusu Israel kabla ya "Gaza war"!

Mambo ambayo sikuwa nayafahamu kuhusu Israel kabla ya "Gaza war"!

Muisrael mwenye miaka 5 uwezo wake wa akili anamzidi Mtanzania mwenye miaka 40 na Wapalestina ni hivyo hivyo

Wenzenu mambo ya umri siyo kigezo tena!
sawa scientist mweusi wakiisrael...huo utafiti wako kuhusu ulichokiandika bila shaka uliufanyia gongo la mboto kwa mama zai
 
Hapo gaza si hata chakula kinachoingia anakikontrol Israel ? Jaman mbona hamtaki ukweli ? Roadblock za jeshi kila sehemu yan mtu aje Dar ambae sio mtanzania aweke road block magomeni mapipa, hakuna kwenda kigogo bila yeye kujua, hakuna kwenda posta, hakuna kwenda kinondoni alafu anaesema hivyo sio mtanzania we utakubali ? Wakuu ebu tuwe serious kidogo na hizi allegations mnazowapa wapalestina every now and then, mbona hawapo huru hata hapo gaza penyewe ?

Ndugu toughlendon:

Mkuu nimerudia tena na tena, Gaza ilirudishwa mikononi mwa Wapalestina 22 Septembar 2005, kumbuka hata wakawa na serikali hao hata wakafanya uchaguzi na kuchukua Madaraka June 14, 2007, na Mwenyekiti wa PLO Mahmoud Abbas akaikataa serikali inayoongozwa na kundi la Hamas na kumchagua Salam Fayyad kama Waziri mkuu.
Hivyo ndugu yangu baada ya Hamas kuchukua madaraka Gaza, baada kushughulikia maswala ya Maendeleo, serikali na nguvu zake zote ziliwekeza kurusha roketi, kuchimba Mahandaki nk! Hizo blocked baada kuingiza vifaa vya ujenzi, nk ikawa njia yakuingiza silaha, hii ikaaipa mkono Israel kuwa inaingia mara kwa mara kuleta disruption.
Hamas toka wachukue Gaza hawajatulia, wao mchana usiku ni kuwaza kuondoa Israel.....Hiyo ndio tabu mkuu.
 
Ndugu toughlendon:

Mkuu nimerudia tena na tena, Gaza ilirudishwa mikononi mwa Wapalestina 22 Septembar 2005, kumbuka hata wakawa na serikali hao hata wakafanya uchaguzi na kuchukua Madaraka June 14, 2007, na Mwenyekiti wa PLO Mahmoud Abbas akaikataa serikali inayoongozwa na kundi la Hamas na kumchagua Salam Fayyad kama Waziri mkuu.
Hivyo ndugu yangu baada ya Hamas kuchukua madaraka Gaza, baada kushughulikia maswala ya Maendeleo, serikali na nguvu zake zote ziliwekeza kurusha roketi, kuchimba Mahandaki nk! Hizo blocked baada kuingiza vifaa vya ujenzi, nk ikawa njia yakuingiza silaha, hii ikaaipa mkono Israel kuwa inaingia mara kwa mara kuleta disruption.
Hamas toka wachukue Gaza hawajatulia, wao mchana usiku ni kuwaza kuondoa Israel.....Hiyo ndio tabu mkuu.
Okay, ila niseme kitu kinoja katika watu woote wanaotetea Israeli at least wewe una reasoning nzuri isoingiza mambo ya dini, good work, wengi wanaoona palestina anakosea wanakuja na mambo ya dini wamesimuliwa kanisani na msikitini hilo swala mimi nimekuwa nalikwepa every now and then na wanahusisha dini wanadhan inahusisha uislam na ukristo wakati wayahudi sio wa kristo. Anyways you have got details, KUDOS.
 
Okay, ila niseme kitu kinoja katika watu woote wanaotetea Israeli at least wewe una reasoning nzuri isoingiza mambo ya dini, good work, wengi wanaoona palestina anakosea wanakuja na mambo ya dini wamesimuliwa kanisani na msikitini hilo swala mimi nimekuwa nalikwepa every now and then na wanahusisha dini wanadhan inahusisha uislam na ukristo wakati wayahudi sio wa kristo. Anyways you have got details, KUDOS.

Mkuu, nashukuru kwa sehemu kukubaliana na kutokubaliana. Lakini Mkuu umeona mahali popote nimeingiza Dini? Nimekupa facts ambazo hazikataliki, Hamas is religous organization, hilo halipingiki. Nimekupa narrative yangu, angalau kuanzia 1947, na wewe umeleta ramani za mgao wa UN hapo mahali, nimeandika angalau matukio ya Vita ambayo yamefanya expansion ya Wayahudi.

Ni kweli mkuu, lazima uwe na huruma tunachoona kinatokea Gaza na Israel pia! Mtu mwenye akili timamu huwezi kushabikia mauji yoyote yale, Middle East especially swala la Waarabu na Wapelestina ni complex mno! Lina dini, lina historia, lina interests za mataifa ya nje, Waarabu na Marekani, sio leo from Second World 2. Ukichanganya hayo yote, ni vigumu kulitatua.

Kumbuka kuna mikutano mingi mno ya kimataifa imeshindwa! Hata Waarabu wenyewe kuna mahali wanatofautiana kabisa, in actually sense kuna ushahidi huwa wanauza siri za Palestine Kwa Israel...Ni confusion tupu mkuu!

Mimi mtazamo wangu ni kuwa Wote Waarabu na Wayahudi wana historical attachment hapo! Hilo halipingiki! Dini zao Islam na Judaism zina mambo kwa sehemu zinashabikiana, ingawa tena radically zinatofautiana kabisa, akili za Mwarabu ziko radically different, Mwarabu anaongozwa kwa Jazba, Myahudi anakaa na kutakari (Mtazamo wangu) Hii inachangai mno katika kutatua ugomvi huo.

Hivyo let me pause here kwenye hii Mada, labda tuone hii cease fire italeta nini. Thanks to engage with you.
 
Mateka wa kujitakia....Gaza imerudishwa mikononi mwao Sept 22, 2005......Mamilion ya fedha from UN through UNRWA na nchi za kiarabu, wangeweza kuifanya kuwa Hongkong, wao wakaamunua kuchimbia Mahandaki, na harakati za kisiasa, nani wa kumlaumu! Pesa yote na akili zao kimekuwa obsessed na destruction of Israel....
Eti iwe hongkong,wakati Gaza iko under Israel control kitambo!yaani Israel anaamua nini kiende Gaza!Hata miundombinu anawapangia,mfano amezuia hakuna kujengwa uwanja wa ndege Gaza!
Hayo ndio maisha kweli?
 
Borne-e:

Unapozungukwa na Mataifa almost 22 yamedhamiria kukuangamiza.....na yamejaribu kukuangamiza....si mara moja au mara mbili....ni measures gani utatumia? Unapoamua kutumia Vita kama ndio mojawapo hayo ndio matokeo...!

Mbona huwa hamzungumzi Mfalme wa Jordan, King Hussein aliwauwa Wapelestine wangapi Septembar 1970? Au mnasahau historia.

Kwa nini hamjiulizi kwa nini nchi za Kiarabu hazitaki kabisa kukaribisha Wapelestine katika Nchi zao? Unadhani Egpty ni wapumbavu? Ziko Nchi kama 22 Kiarabu...na kati yao zina utajiri mkubwa mno! Lakini huwa zinajua Kukaribisha Wapelestina ni kufungulia mlango wa matatizo.....Israel inalijua hilo ndio maana ina measures kama hizo!
Haya muisrael wa buza kwa mpalange
 
View attachment 2825359



View attachment 2825361

And this below is worthy of your time.


View: https://x.com/MadridPanther/status/1722547066453254535 t=jD2bF5zDsB21mRcxcRuh_A&s=09

Kwa wale wakristo wanaotetea Israel Kwa hoja kuwa ni taifa teule, they don't give a damn about you guys, kwao nyie ni garbage and it says a lot what they tried to did to Jesus PBUH, your hatred of Muslims veils you to see that Palestine was a nation long before UK and allies decided otherwise, and yet you think that now the colonized, oppressed are terrorists and the Israel's oppressors have a Right to defend themselves. Alhamdulillah the world knows and one day Palestine will be liberated and Jews will taste the fury they once tasted in Adolph Hilters hands.

cassavaleaves ungepitia hiyo video,ungeongeza kitu kwenye mengi unayoyajua!
 
Mkuu, nashukuru kwa sehemu kukubaliana na kutokubaliana. Lakini Mkuu umeona mahali popote nimeingiza Dini? Nimekupa facts ambazo hazikataliki, Hamas is religous organization, hilo halipingiki. Nimekupa narrative yangu, angalau kuanzia 1947, na wewe umeleta ramani za mgao wa UN hapo mahali, nimeandika angalau matukio ya Vita ambayo yamefanya expansion ya Wayahudi.

Ni kweli mkuu, lazima uwe na huruma tunachoona kinatokea Gaza na Israel pia! Mtu mwenye akili timamu huwezi kushabikia mauji yoyote yale, Middle East especially swala la Waarabu na Wapelestina ni complex mno! Lina dini, lina historia, lina interests za mataifa ya nje, Waarabu na Marekani, sio leo from Second World 2. Ukichanganya hayo yote, ni vigumu kulitatua.

Kumbuka kuna mikutano mingi mno ya kimataifa imeshindwa! Hata Waarabu wenyewe kuna mahali wanatofautiana kabisa, in actually sense kuna ushahidi huwa wanauza siri za Palestine Kwa Israel...Ni confusion tupu mkuu!

Mimi mtazamo wangu ni kuwa Wote Waarabu na Wayahudi wana historical attachment hapo! Hilo halipingiki! Dini zao Islam na Judaism zina mambo kwa sehemu zinashabikiana, ingawa tena radically zinatofautiana kabisa, akili za Mwarabu ziko radically different, Mwarabu anaongozwa kwa Jazba, Myahudi anakaa na kutakari (Mtazamo wangu) Hii inachangai mno katika kutatua ugomvi huo.

Hivyo let me pause here kwenye hii Mada, labda tuone hii cease fire italeta nini. Thanks to engage with you.
Thanks mkuu, unajua hii platform ni nzuri watu wako free sana kujieleza na kutoa maoni na hii ni kwasababu ya anonymity, sasa basi ni rahis sana kumjua mtu anaeweza kujenga hoja, anaechangia kwa jazba na aliesimuliwa yeye kaja kujisemea hovyo hovyo. Huku jf sio lazima uwaambie watu umesoma ndio tujue umesoma sababu uko free kusema lolote utakaposema tu tutajua huyu mtu hajasoma na hata kama alisoma basi hakuelimika, wenye busara tunawajua tu kwa maandishi yao, kina gigy money tunawaona humu lakin tunakausha yan ni tafrani mkuu

huku jf nimejifunza mambo mengi sana, and of-course mengi yamenijenga sababu the negative stufs huwa naweka pembeni, sideal nazo kabisaa, asante sana mkuu.
Mkuu, nashukuru kwa sehemu kukubaliana na kutokubaliana. Lakini Mkuu umeona mahali popote nimeingiza Dini? Nimekupa facts ambazo hazikataliki, Hamas is religous organization, hilo halipingiki. Nimekupa narrative yangu, angalau kuanzia 1947, na wewe umeleta ramani za mgao wa UN hapo mahali, nimeandika angalau matukio ya Vita ambayo yamefanya expansion ya Wayahudi.

Ni kweli mkuu, lazima uwe na huruma tunachoona kinatokea Gaza na Israel pia! Mtu mwenye akili timamu huwezi kushabikia mauji yoyote yale, Middle East especially swala la Waarabu na Wapelestina ni complex mno! Lina dini, lina historia, lina interests za mataifa ya nje, Waarabu na Marekani, sio leo from Second World 2. Ukichanganya hayo yote, ni vigumu kulitatua.

Kumbuka kuna mikutano mingi mno ya kimataifa imeshindwa! Hata Waarabu wenyewe kuna mahali wanatofautiana kabisa, in actually sense kuna ushahidi huwa wanauza siri za Palestine Kwa Israel...Ni confusion tupu mkuu!

Mimi mtazamo wangu ni kuwa Wote Waarabu na Wayahudi wana historical attachment hapo! Hilo halipingiki! Dini zao Islam na Judaism zina mambo kwa sehemu zinashabikiana, ingawa tena radically zinatofautiana kabisa, akili za Mwarabu ziko radically different, Mwarabu anaongozwa kwa Jazba, Myahudi anakaa na kutakari (Mtazamo wangu) Hii inachangai mno katika kutatua ugomvi huo.

Hivyo let me pause here kwenye hii Mada, labda tuone hii cease fire italeta nini. Thanks to engage with you.
Pamoja sana
 
Back
Top Bottom