Mambo ambayo sikuwa nayafahamu kuhusu Israel kabla ya "Gaza war"!

Mambo ambayo sikuwa nayafahamu kuhusu Israel kabla ya "Gaza war"!

cassavaleaves ungepitia hiyo video,ungeongeza kitu kwenye mengi unayoyajua!

Nikipata muda Mkuu, Maana ukiingia Youtube na Tiktok kila mtu ana narrative yake, hivyo sipendi mno kutumia naarratives za wengine kujenga hoja! Huwa naangalia sana, then I make my own independent judgment....
 
Kwa haya niliyofahamu,basi US na allies wake ni wanafiki wakutupwa na wamejaa double standards!
Huu ndio ukatili wa Israel kwa wapalestina!

1.Israel ndio nchi pekee duniani ambayo watoto wanapelekwa mahakama za kijeshi na kuhukumiwa!

2.Israel Wana administrative detention,hii wanaitumia kuwaweka ndani wapalestina kwa muda wowote watakao bila kushitakiwa!Unaweza kukaa miaka na miaka!

3.Mtoto wa kipalestina wa miaka 8,9,10 anaweza kuhukumiwa Hadi miaka 20 jela kwa kosa la kurusha jiwe kwa waislaeli!Adhabu hii ni kubwa ukilinganisha na Adhabu anayoweza kupata muislael kwa kumuua mpalestina!

4.Mpalestina akifa kabla hajamaliza kifungo basi mwili wake unahifadhiwa bila kuzikwa mpaka maiti ikamilishe kifungo!Mpaka sasa Kuna maiti zaidi ya 394 zinatumikia kifungo Huko kwenye majokofu ya Israel!Na zinapomaliza vifungo basi zinazikwa na kubandikwa namba badala ya jina!

5.Kuna binti kaachiwa,alikuwa anatumikia kifungo cha miaka 10,kosa lake lilikuwa kumsogelea kwa karibu Askari wa Israel!Ametoka akiwa ametumikia miaka 7 gerezani!

Hayo yote ni kinyume na Sheria za kimataifa ambazo Marekani na washirika wake wamekuwa wakiziwekea nchi nyingine vikwazo kwa kukiuka haki za binadamu!
It's a shame!
Hivi kule Syria walifanwaje watoto kwa usimamizi wa Rusia au unajifanya hujui na.hakuna.taifa lolote la kiislam lilisema kitu!
 
Kwa haya niliyofahamu,basi US na allies wake ni wanafiki wakutupwa na wamejaa double standards!
Huu ndio ukatili wa Israel kwa wapalestina!

1.Israel ndio nchi pekee duniani ambayo watoto wanapelekwa mahakama za kijeshi na kuhukumiwa!

2.Israel Wana administrative detention,hii wanaitumia kuwaweka ndani wapalestina kwa muda wowote watakao bila kushitakiwa!Unaweza kukaa miaka na miaka!

3.Mtoto wa kipalestina wa miaka 8,9,10 anaweza kuhukumiwa Hadi miaka 20 jela kwa kosa la kurusha jiwe kwa waislaeli!Adhabu hii ni kubwa ukilinganisha na Adhabu anayoweza kupata muislael kwa kumuua mpalestina!

4.Mpalestina akifa kabla hajamaliza kifungo basi mwili wake unahifadhiwa bila kuzikwa mpaka maiti ikamilishe kifungo!Mpaka sasa Kuna maiti zaidi ya 394 zinatumikia kifungo Huko kwenye majokofu ya Israel!Na zinapomaliza vifungo basi zinazikwa na kubandikwa namba badala ya jina!

5.Kuna binti kaachiwa,alikuwa anatumikia kifungo cha miaka 10,kosa lake lilikuwa kumsogelea kwa karibu Askari wa Israel!Ametoka akiwa ametumikia miaka 7 gerezani!

Hayo yote ni kinyume na Sheria za kimataifa ambazo Marekani na washirika wake wamekuwa wakiziwekea nchi nyingine vikwazo kwa kukiuka haki za binadamu!
It's a shame!
Baba umeweka chumvi nyingi chakula hakiliki
 
Hii vita imesababisha bendera za mashoga zisionekane tena
Wazungu na mbinu za kuibadilisha Israel nchi ya mashoga walifanikiwa kwa asilimia kubwa, na wanaounga mkono ushoga Israel ni 60% hizi ni takwimu zao wenyewe sio mimi
Kuna mtu alisema ukichukua kopo ukawaweka siafu weusi na wekundu pamoja watatulia kwa amani ila ukitikisa kopo kwa nguvu kila mmoja ataona mwenzie ndio mchokozi na wataanza kupigana
Hapo naona mmeelewa nani alietikisa kopo

Hata ushoga wameusahau kwa mda
 
Joe biden anaongea live muda huu

Key notes:
Innocent palestinians
Humanitarian aid
Extension of ceasefire deal
Two state solution
 
Huyu mzee bado mwaka mmoja ofisini kabla ya uchaguzi, sjajua kama anamaanisha au anajipigia pande
Joe biden anaongea live muda huu

Key notes:
Innocent palestinians
Humanitarian aid
Extension of ceasefire deal
Two state solution
 
wewe hujui na hutak kujua , hapo wayaudi walikwepo tangu zamani ila waarab wanakudanganyen wajinga nyiny kuwa wote walikuja mwaka 1861 hadi 1948 , sasa wayaudi waislam wangetokea wap? wayaudi walikwepp hapo na hao ndo wanahalilisha kwa kugawanywa kwa taifa la palestina baina ya waarab na wayaudi na eneo walilopewa wayaudi ndo wakapeleka wazayuni mf leo pakistan apeleke wazungu kama raia halaf India aseme hapana eneo hilo ni langu sio la wazungu wkt washangawana tyr eneo , UKIWASIKILIZA WAISLAM HUTOELEWA LOLOTE , FUATILIA PIA NA UPANDE WA PILI UELEWE
Hii ndo mnadanganwa na wachungaji kobweteere .history haijawahi kudanganya

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, nashukuru kwa sehemu kukubaliana na kutokubaliana. Lakini Mkuu umeona mahali popote nimeingiza Dini? Nimekupa facts ambazo hazikataliki, Hamas is religous organization, hilo halipingiki. Nimekupa narrative yangu, angalau kuanzia 1947, na wewe umeleta ramani za mgao wa UN hapo mahali, nimeandika angalau matukio ya Vita ambayo yamefanya expansion ya Wayahudi.

Ni kweli mkuu, lazima uwe na huruma tunachoona kinatokea Gaza na Israel pia! Mtu mwenye akili timamu huwezi kushabikia mauji yoyote yale, Middle East especially swala la Waarabu na Wapelestina ni complex mno! Lina dini, lina historia, lina interests za mataifa ya nje, Waarabu na Marekani, sio leo from Second World 2. Ukichanganya hayo yote, ni vigumu kulitatua.

Kumbuka kuna mikutano mingi mno ya kimataifa imeshindwa! Hata Waarabu wenyewe kuna mahali wanatofautiana kabisa, in actually sense kuna ushahidi huwa wanauza siri za Palestine Kwa Israel...Ni confusion tupu mkuu!

Mimi mtazamo wangu ni kuwa Wote Waarabu na Wayahudi wana historical attachment hapo! Hilo halipingiki! Dini zao Islam na Judaism zina mambo kwa sehemu zinashabikiana, ingawa tena radically zinatofautiana kabisa, akili za Mwarabu ziko radically different, Mwarabu anaongozwa kwa Jazba, Myahudi anakaa na kutakari (Mtazamo wangu) Hii inachangai mno katika kutatua ugomvi huo.

Hivyo let me pause here kwenye hii Mada, labda tuone hii cease fire italeta nini. Thanks to engage with you.
Hapa sawa , kikubwa solution ipatikane, ukipata muda sikiliza speech ya biden ya leo (japo huyu mzee uchaguzi inakaribia ila kaanza kua soft ni matumaini)
 
Hapa umepuyanga
Mkuu ulitaka mtazamo wangu uwe sawa na mtazamo wako? Mbona Jamii Forum ingepwaya hata...That is my perspective.....we see things differently, Ndio Maana kuna vita hii, Mwarabu (Mpalestine) Kila upande una narrative yake!
Hutakiwi kukubaliana na mwazo yangu mkuu.
 
Mkuu ulitaka mtazamo wangu uwe sawa na mtazamo wako? Mbona Jamii Forum ingepwaya hata...That is my perspective.....we see things differently, Ndio Maana kuna vita hii, Mwarabu (Mpalestine) Kila upande una narrative yake!
Hutakiwi kukubaliana na mwazo yangu mkuu.
Kumekucha mkuu, acha nifute comment
 
Hivi kule Syria walifanwaje watoto kwa usimamizi wa Rusia au unajifanya hujui na.hakuna.taifa lolote la kiislam lilisema kitu!
Umeelewa mada lakini?Maana naona uko nje kabisa!
 
Kwa haya niliyofahamu,basi US na allies wake ni wanafiki wakutupwa na wamejaa double standards!
Huu ndio ukatili wa Israel kwa wapalestina!

1.Israel ndio nchi pekee duniani ambayo watoto wanapelekwa mahakama za kijeshi na kuhukumiwa!

2.Israel Wana administrative detention,hii wanaitumia kuwaweka ndani wapalestina kwa muda wowote watakao bila kushitakiwa!Unaweza kukaa miaka na miaka!

3.Mtoto wa kipalestina wa miaka 8,9,10 anaweza kuhukumiwa Hadi miaka 20 jela kwa kosa la kurusha jiwe kwa waislaeli!Adhabu hii ni kubwa ukilinganisha na Adhabu anayoweza kupata muislael kwa kumuua mpalestina!

4.Mpalestina akifa kabla hajamaliza kifungo basi mwili wake unahifadhiwa bila kuzikwa mpaka maiti ikamilishe kifungo!Mpaka sasa Kuna maiti zaidi ya 394 zinatumikia kifungo Huko kwenye majokofu ya Israel!Na zinapomaliza vifungo basi zinazikwa na kubandikwa namba badala ya jina!

5.Kuna binti kaachiwa,alikuwa anatumikia kifungo cha miaka 10,kosa lake lilikuwa kumsogelea kwa karibu Askari wa Israel!Ametoka akiwa ametumikia miaka 7 gerezani!

Hayo yote ni kinyume na Sheria za kimataifa ambazo Marekani na washirika wake wamekuwa wakiziwekea nchi nyingine vikwazo kwa kukiuka haki za binadamu!
It's a shame!
Na wewe kuwa kama Israel hupangiwi wala huzuiwi Israel ni nchi huru na wewe ni nchi huru, so fanya mambo yako kivyako 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwenye hii vita pamoja na ukatoliki wangu lakini naungana na katibu mkuu wa umoja wa mataifa aliyesema anacho fanya Israel ni genocide
 
Sheria za ugaidi ndizo zinazofanya kazi hiyo hata Tanzania mlilazimishwa kutunga sheria zinazoendana na mdundo huo baada ya kimbembe cha kujilipua kilipotokea mwaka 1998 Dar Es Salaam kwenye ubalozi wa Marekani.

Kwa hiyo hapa wala usisingizie Israel ambayo imezungukwa na nchi zenye jamii ya kijicho, chuki na uchokozi karibu asilimia 80% ya pande zote ikimaanisha Lebanoni, Syria, Jordan, Gaza strip, West bank zikihanikizwa viburi na Iran, Iraq, Yemen na Uturuki.

Nchi za kiarabu zenye watu wenye roho isyo na visasi dhidi ya Israel ni Qatar, Saudi Arabia, UAE na kwa mbali Egypty

Wewe huijui mgogoro wa Israel na parestina , hoja yako haitofautiani na wafia dini wa kiislam, na wewe ni mfia dini wa kilokole kaeni pembeni watu waiadili Kwa hoja na sio mihemuko ya kimani
 
Back
Top Bottom